Yalionikuta leo ni zaidi ya Yona alivyo mezwa na samaki

Hahahahahaaaa Pole, Siku Nyingine Jizuie Na Ukimbie Vishawishi Kama Yusufu Alivyokimbia Mke Wa Potifa Alipomshawishi Afanye Nae Uasherati
 
Nimekoma kwa kweli shetani huwa ana mbinu nyingi sana za kutulaghai
Umeepyshwa ukimwi mkuu ...mungu ana njia nyingi za kuokoa watu wake, baadhi huwa za maumivu kidogo kama hivyo.

Furahia ukombozi huo
 
Umechanganya changanya hiyo story na kauongo kidogo .Ila umeeleweka .lakini ilibidi wakuume na dushe lako ndiyo ujue uchungu wa radha ya ulichoepushwa nacho.leo
 
Hahahahahaaaa Pole, Siku Nyingine Jizuie Na Ukimbie Vishawishi Kama Yusufu Alivyokimbia Mke Wa Potifa Alipomshawishi Afanye Nae Uasherati
Kweli Mkuu.nimepata fundisho kubwa Leo.asante sana
 
Hahahahahaaaa Pole, Siku Nyingine Jizuie Na Ukimbie Vishawishi Kama Yusufu Alivyokimbia Mke Wa Potifa Alipomshawishi Afanye Nae Uasherati
Kweli Mkuu.nimepata fundisho kubwa Leo.asante sana
 
Nimecheka hadi basi [emoji35].
 
Umechanganya changanya hiyo story na kauongo kidogo .Ila umeeleweka .lakini ilibidi wakuume na dushe lako ndiyo ujue uchungu wa radha ya ulichoepushwa nacho.leo
Dah.Mkuu maumivu haya tu Niko hivi.wangegusa uko nahisi ningezimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…