Yaliyo Mbele na Nyuma ya Simba SC -Last Part

Yaliyo Mbele na Nyuma ya Simba SC -Last Part

Napenda kuchukua fulsa hii kuwaomba radhi wapenzi wote wa Timu ya mpira wa miguu wa Yanga.
Kwa kosa kubwa lililofanywa na Timu ya mpira wa miguu ya Simba.
Kwa kitendo cha kufika hatua ya Robo Fainali ya Club Bingwa Africa.
Hakika kama Simba ingelijua hapo awali kuwa kitendo hicho kingeliwaudhi namna hii wapenzi wa Yanga,
Isingethubutu kushiriki hayo mashindano ya mpira had hatua hiyo.
Hata hizo pesa ambazo Simba watapewa baada ya kufikia hiyo hatua,
Simba itazichukua kwa shingo upande tu, kwakuwa tu CAF wanalazimisha kuzichukua, la sivyo, Simba wangelizisusia.
WANGELIZISUSIA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Trust me una uwezo mdogo wa kuelewa.

Nyie ndo wale Makapi wasioelewa alichosema Zahera, tremblement de terre.

Nikusaidie kuelewa,

Nimemaanisha hivi,

kiuhalisia kwanza mnatakiwa kufanya Investment ili kuwa na matokeo kwa asilimia kubwa, lakini haimaanishi kwamba hamtokuja kufungwa au kutolewa Kwenye michuano japo mme invest. Football ni mashindano na anything can happen.

Kuilinganisha Al ahly na Simba kwa Sababu zote zimetolewa ni uwendawazimu.

1. Inachukua muda gani simba kushiriki mashindano haya , nyie kushiriki mashindano haya ni sherehe kwa timu kama Al ahly kuvuka kwenye makundi ni kawaida sana, unajua kwa nini ?

3. Al ahly ina nyota 8 , ilikuwa kwenye mbio za kutafuta nyota ya tisa, Simba haina nyota hata moja, na ilikuwa inatafuta japo kushiriki nusu fainal tu inatosha, unajua ni kwanini ?

3. Al ahly imetolewa kimpira, kwamba pamoja na Investment, sometimes yes sometimes no , Simba haijatolewa kimpira, Simba imetolewa kwa Sababu hai deserve Kuendelea kuwepo, sio level zake. Simba ilikuwa ipo Kwenye kujifunza na sio Kwenye kusaka Kombe, that is naked truth, Gadem!

Simba inakikosi ambacho mchezaji anapata nafasi 5 za yeye na kipa, na hashindi hata moja, TP Mazembe au Al ahly haiwezi kumpanga mtu kama huyo, anatia hasara timu.

Ni mara ngapi Mchezaji kama Bocco anapata nafasi yeye na kipa zaidi ya tatu na hashindi hata moja, lakini ndo mchezaji pendwa, ndo ujue simba inahitaji Mapinduzi na sio unazi.

Kama siku ile Bocco angekuwa ni mchezaji makini mngeipiga Mazembe goli tatu bila na mngesonga mbele. Mmekazana na Mungu saidia, sijui nini na nini, Trust me mnapoteza muda.

namba 3. Al Ahly imetolewa kimpira, Simba hailkutolewa kimpira but rather, because it doesn't deserve! What do you mean? Is there any criteria to deserve apart from meeting the set criteria? How has thus the club ranking of Tanzania has reached 18, allowing for 4 teams to participate in 2020/21 CAF tournaments?

Unashauri eti Simba ifanye investment .......what are you advising the other more than 10 soccer clubs in the TPL? preferably start with the "historical champions" then AZAM or vice-versa.
 
namba 3. Al Ahly imetolewa kimpira, Simba hailkutolewa kimpira but rather, because it doesn't deserve! What do you mean? Is there any criteria to deserve apart from meeting the set criteria? How has thus the club ranking of Tanzania has reached 18, allowing for 4 teams to participate in 2020/21 CAF tournaments?

Unashauri eti Simba ifanye investment .......what are you advising the other more than 10 soccer clubs in the TPL? preferably start with the "historical champions" then AZAM or vice-versa.

Mimi sijui English, kindly niandikie Kiswahili.

Ahsante.
 
Napenda kuchukua fulsa hii kuwaomba radhi wapenzi wote wa Timu ya mpira wa miguu wa Yanga.
Kwa kosa kubwa lililofanywa na Timu ya mpira wa miguu ya Simba.
Kwa kitendo cha kufika hatua ya Robo Fainali ya Club Bingwa Africa.
Hakika kama Simba ingelijua hapo awali kuwa kitendo hicho kingeliwaudhi namna hii wapenzi wa Yanga,
Isingethubutu kushiriki hayo mashindano ya mpira had hatua hiyo.
Hata hizo pesa ambazo Simba watapewa baada ya kufikia hiyo hatua,
Simba itazichukua kwa shingo upande tu, kwakuwa tu CAF wanalazimisha kuzichukua, la sivyo, Simba wangelizisusia.
WANGELIZISUSIA.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hujaelewa Mada .
 
Trust me una uwezo mdogo wa kuelewa.

Nyie ndo wale Makapi wasioelewa alichosema Zahera, tremblement de terre.

Nikusaidie kuelewa,

Nimemaanisha hivi,

kiuhalisia kwanza mnatakiwa kufanya Investment ili kuwa na matokeo kwa asilimia kubwa, lakini haimaanishi kwamba hamtokuja kufungwa au kutolewa Kwenye michuano japo mme invest. Football ni mashindano na anything can happen.

Kuilinganisha Al ahly na Simba kwa Sababu zote zimetolewa ni uwendawazimu.

1. Inachukua muda gani simba kushiriki mashindano haya , nyie kushiriki mashindano haya ni sherehe kwa timu kama Al ahly kuvuka kwenye makundi ni kawaida sana, unajua kwa nini ?

3. Al ahly ina nyota 8 , ilikuwa kwenye mbio za kutafuta nyota ya tisa, Simba haina nyota hata moja, na ilikuwa inatafuta japo kushiriki nusu fainal tu inatosha, unajua ni kwanini ?

3. Al ahly imetolewa kimpira, kwamba pamoja na Investment, sometimes yes sometimes no , Simba haijatolewa kimpira, Simba imetolewa kwa Sababu hai deserve Kuendelea kuwepo, sio level zake. Simba ilikuwa ipo Kwenye kujifunza na sio Kwenye kusaka Kombe, that is naked truth, Gadem!

Simba inakikosi ambacho mchezaji anapata nafasi 5 za yeye na kipa, na hashindi hata moja, TP Mazembe au Al ahly haiwezi kumpanga mtu kama huyo, anatia hasara timu.

Ni mara ngapi Mchezaji kama Bocco anapata nafasi yeye na kipa zaidi ya tatu na hashindi hata moja, lakini ndo mchezaji pendwa, ndo ujue simba inahitaji Mapinduzi na sio unazi.

Kama siku ile Bocco angekuwa ni mchezaji makini mngeipiga Mazembe goli tatu bila na mngesonga mbele. Mmekazana na Mungu saidia, sijui nini na nini, Trust me mnapoteza muda.
Kama kuna MTU hajamuelewa mleta Uzi, basi Huyo ni kichwa maji. Wachezaji wa Simba wa sasa siyo wa kiwango cha michuano husika.
 
Last para, Same advise should go for all clubs in TPL especially those participating in international tournament.
namba 3. Al Ahly imetolewa kimpira, Simba hailkutolewa kimpira but rather, because it doesn't deserve! What do you mean? Is there any criteria to deserve apart from meeting the set criteria? How has thus the club ranking of Tanzania has reached 18, allowing for 4 teams to participate in 2020/21 CAF tournaments?

Unashauri eti Simba ifanye investment .......what are you advising the other more than 10 soccer clubs in the TPL? preferably start with the "historical champions" then AZAM or vice-versa.
 
Ajabu; utasikia wanamtaka Ibrahim Ajibu na Gadiel Michael. Hivi hapo watani zangu mnataka kusonga mbelee au ndiyo mnarudi nyuma (mna- reverse). Hakika huu ushauri ukizingatiwa na kufanyiwa kazi mtatoboa, ila kwa usajili huu wa kukomoana mtani wenu, tens akiwa ktk hali mbaya kiuchumi, mkisikia kaongea na mchezaji flank faster mnamsajili hata bila matakwa ya bench I LA ufundi, hakika HAMTOBOI.
 
Trust me una uwezo mdogo wa kuelewa.
Nyie ndo wale Makapi wasioelewa alichosema Zahera, tremblement de terre.
Nikusaidie kuelewa,
Nimemaanisha hivi,
kiuhalisia kwanza mnatakiwa kufanya Investment ili kuwa na matokeo kwa asilimia kubwa, lakini haimaanishi kwamba hamtokuja kufungwa au kutolewa Kwenye michuano japo mme invest. Football ni mashindano na anything can happen.
Kuilinganisha Al ahly na Simba kwa Sababu zote zimetolewa ni uwendawazimu.
1. Inachukua muda gani simba kushiriki mashindano haya , nyie kushiriki mashindano haya ni sherehe kwa timu kama Al ahly kuvuka kwenye makundi ni kawaida sana, unajua kwa nini ?
3. Al ahly ina nyota 8 , ilikuwa kwenye mbio za kutafuta nyota ya tisa, Simba haina nyota hata moja, na ilikuwa inatafuta japo kushiriki nusu fainal tu inatosha, unajua ni kwanini ?
3. Al ahly imetolewa kimpira, kwamba pamoja na Investment, sometimes yes sometimes no , Simba haijatolewa kimpira, Simba imetolewa kwa Sababu hai deserve Kuendelea kuwepo, sio level zake. Simba ilikuwa ipo Kwenye kujifunza na sio Kwenye kusaka Kombe, that is naked truth, Gadem!
Simba inakikosi ambacho mchezaji anapata nafasi 5 za yeye na kipa, na hashindi hata moja, TP Mazembe au Al ahly haiwezi kumpanga mtu kama huyo, anatia hasara timu.
Ni mara ngapi Mchezaji kama Bocco anapata nafasi yeye na kipa zaidi ya tatu na hashindi hata moja, lakini ndo mchezaji pendwa, ndo ujue simba inahitaji Mapinduzi na sio unazi.
Kama siku ile Bocco angekuwa ni mchezaji makini mngeipiga Mazembe goli tatu bila na mngesonga mbele. Mmekazana na Mungu saidia, sijui nini na nini, Trust me mnapoteza muda.
umeongea point
 
kwani investiment ya as vita ni kiasi gani kulinganisha na Simba na bado waliondolewa nyie sasa hivi mnachangishana na bakuli kupata bilioni moja na nusu ili mshindane na timu gani tuachieni simba yetu kila mtu ashinde mechi zake
 
It can be both unakuja eti TP mazembe kikosi chao 20bilion while simba sijui 2.5 bilion hiyo siyo sababu Al Ahly kapigwa 5 nil kikosi chake cha bilion ngapi?? Woverhmpton kikosi chake cha Bei gani mbona kawapiga vigogo epl?? Analysis yako angetakiwa aongee barabarani mtu ambaye ni extremely idiot siyo kutuletea humu

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujua thamani ya kikosi cha mbao.

not but pray.
 
Kama kuna MTU hajamuelewa mleta Uzi, basi Huyo ni kichwa maji. Wachezaji wa Simba wa sasa siyo wa kiwango cha michuano husika.
Mkuu yaani kuna ushabiki wa ajabu kweli nchini kwetu yaani watu hawataki kuambiwa ukweli ama ushauri tu zaidi wanataka wasifiwe tu ! Mambo yako wazi soka letu bado sana wenzetu wamepiga hatua kila idara, sisi tunajisifu kujaza uwanja hovyo kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwani investiment ya as vita ni kiasi gani kulinganisha na Simba na bado waliondolewa nyie sasa hivi mnachangishana na bakuli kupata bilioni moja na nusu ili mshindane na timu gani tuachieni simba yetu kila mtu ashinde mechi zake
Mikia mna investment gani? ? Hivi MO ameshadeposit 20B?? ? Hela inatoka mfukoni kwa MO ndio maana anataka hati ya Jango la klabu akakope Malaysia
 
Back
Top Bottom