Yaliyo Nyuma na Mbele ya Simba Sports Club

Kuna watu wanajfanya wanajua sana Mpira na analysis zao za kiboya mnatakiwa mjue kwamba kila game au mashindano yana plani yake..Kwa mfano. Kwenye makundi ilikua wazi kwamba game plan ya simba ilikua ni kushinda game za nyumbani zote,kitu ilichofanikiwa Kwa asilimia mia...sasa MTU unavyoleta analysis zako za kiuwendawazima watu tunaiushangaa,hivi kwenye tathmini zenu mbona amsemi tulivyowafunga Mbabane swallows gori NNE bila nyumbani kwao!?Mpira unamahesabu yake sio kuruka ruka tu..nabhaya mambo ya kutafuta sifa na mwenda kichwa kichwa ndo yanaua soka LA bongo..simba uko imara na uko determined kupata matokeo na kusonga mbele!!
 
Dua la wenye husda halimpati Mnyama MRIE TU!

 

Kwahiyo plan ilikuwa kushinda game zote za home, na kufungwa zote za ugenini, is that what you mean ?

Wenye macho wameona na kusikia, wewe endeleza ubishi.

Hii ni sms kwa SSC, kama inakuumiza, pole.


But game za ugenini timu ilifungwa kwa poor performance na kwa taarifa yako nilikuwa uwanjani katika mji wa Bechar kule Algeria, niliona magoli yote.

Tout Puissant ni timu ngumu lakini itafungika endapo simba itabadili mtazamo.
 
Kama kuna uwezakano wa kusajiri.. Basi hao wachezaji watatu..wawe beki wakati..kiungo mkabaji na mshambuliaji.
 
Kuwa uwanjani doesn't make a difference na Mimi niliekondar kwenye TV,tena inawezekana Mimi nilikua clear kuliko wewe.. Ngoja nikwambie kitu kimoja...football is mathematics,kam hujui hesabu huwezi kuwashabiki au mchezaji mzuri Wa Mpira..kama ungekuwa muungwana kwanza ungewapongeza simba for the work done haikuwa kazi rahisi,simba amepita kwenye kundi lenye mafinalist wawilo Wa makombe ya CAF,kwakuwe mmeumbwa na vinyongo you can't appreciate that..kwanini mkiongelea game za ugenini sisikii mkiwaongelea Mbabane!?this is another round with new tactics... Msitu mpya nyani walewale!!
 

Hujaelewa hata meseji yangu.

Huu ukweli mchungu wewe haukuhusu. Wewe huna moyo, wenye moyo wameshaelewa what was the main point.

Kapande kitandani ulale please, it’s too late .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…