ANASEMA BADO NYIE NI UNDERDOG ETI MTANI. πππDauda anasemaje?...
Wanasemaga utangulize Uzalendo eti.Na watapigwa mengi tu siishangiliii simba kamwe mm Wa Kongo tu ,,...
Sent using Jamii Forums mobile app
dah!Mwisho mwezi ujao ππ
Hamuwezi kushinda kwa Yes We Can
You can't
Mleta mada, katoa ushauri mzuri sana! Tatizo, kama isemavyo mara kwa mara, WATU WENGI HUZIPENDA TIMU SANA, KULIKO KUUPENDA MCHEZO WENYEWE. Kila mtu atoapo ushauri, hata uwe wa maana kiasi gani, wao humuona mtu huyo ni ADUI wa timu yao wanayoipenda.Umeongea point sana Simba n rahis kufungika nyumbani na rahis kufungika ugenini yaaani accurate 50/50 hi ni mbaya kwake kwa maana karibu mech zote kufungika home and away na ndio huwa timu ya kwanza kufungwa.
Aussen angalia hili jambo hiz mech zijazo ni home and away ukipigwa out hakuna namna mtu anakupiga 3 bila kwake anakuja kwako anatafuta 1 kwisha habar
Ukweli mchungu japo unauma simba anakikosi kizuri lakin kocha hana uwezo wa kupanga kipi kikosi cha away na kipi home.
Na hata ile sub ya nyonzima ilikuwa ni bahatisha tu mana ilkuwa ukidroo unatoka,ukifungwa unatoka ilikuwa 50/50 akachukua maamuzi magumu kabisa ya kumuwek niyo
Hapa ndipo mnapokosea nyinyi washabiki wa Simba....mtu akifanya analysis mnamuona adui??Kuna watu wanajfanya wanajua sana Mpira na analysis zao za kiboya mnatakiwa mjue kwamba kila game au mashindano yana plani yake..Kwa mfano. Kwenye makundi ilikua wazi kwamba game plan ya simba ilikua ni kushinda game za nyumbani zote,kitu ilichofanikiwa Kwa asilimia mia...sasa MTU unavyoleta analysis zako za kiuwendawazima watu tunaiushangaa,hivi kwenye tathmini zenu mbona amsemi tulivyowafunga Mbabane swallows gori NNE bila nyumbani kwao!?Mpira unamahesabu yake sio kuruka ruka tu..nabhaya mambo ya kutafuta sifa na mwenda kichwa kichwa ndo yanaua soka LA bongo..simba uko imara na uko determined kupata matokeo na kusonga mbele!!
Na ww upo kwenye kapu la Simba!!?Porojo tupu.
Waacheni vijana wa Simba wakifanya even mambo yao na wataalam wao.
Hatua waliyopo ni nzuri sana na hakuna cha mazembe wala mazombe.
Sijawahi kuona Mkenya akiitakia mema Tanzania.
Mpaka simba inaqualify kuingia group stage ilicheza mechi za ugenini nhapi? Na matokeo yake?endeleeni tu kutuombea mabaya
sasa hivi mmekuja na historia,mlinunua kanzu za mtumba ili kushangilia waarabu
Hatutaki ushauri wenu, mnataka eti Simba ikifanikiwa mseme "walizingatia ushauri wetu". Peleka huko takataka, mwambie Zahera akawashauri TP Mazembe, sio Simba. Wataalamu waliopo Simba wana akili kuliko nyie, sasa mnashauri kitu gani?1. Atapatikana mwana saikolojia ili awaandae wachezaji kisaikolojia kwamba wanauwezo wa kufanya lolote.
2. Kocha aangalie formula ambayo itazaa goli ugenini, ni lazima kushinda angalau goli ugenini hata akifungwa but awe na goli la ugenini. Formula alizotumia zote kwenye makundi hajafanikiwa kupata goli ugenini hata moja. This is BS.
3. Wachezaji ambao hawana experience na michuano ya kimataifa wasipangwe. Goli ambalo Chama alilifunga linahitaji utulivu wa akili na confidence kubwa kwa dakika kama zile, lakini mtoto Chama alitulia na akaweka mpira wavuni, kwa wachezaji wetu ambao hawana experience wangepaisha juu. Chama huyu huyu ndiyo aliyeipeleka Simba kwenye makundi kwa dakika zilezile.
Umeongea point sana Simba n rahis kufungika nyumbani na rahis kufungika ugenini yaaani accurate 50/50 hi ni mbaya kwake kwa maana karibu mech zote kufungika home and away na ndio huwa timu ya kwanza kufungwa.
Aussen angalia hili jambo hiz mech zijazo ni home and away ukipigwa out hakuna namna mtu anakupiga 3 bila kwake anakuja kwako anatafuta 1 kwisha habar
Ukweli mchungu japo unauma simba anakikosi kizuri lakin kocha hana uwezo wa kupanga kipi kikosi cha away na kipi home.
Na hata ile sub ya nyonzima ilikuwa ni bahatisha tu mana ilkuwa ukidroo unatoka,ukifungwa unatoka ilikuwa 50/50 akachukua maamuzi magumu kabisa ya kumuwek niyo
Takwimu za uongo hizi. Simba ameshashinda ugenini na ameshapata mabao 5 ugenini katika michuano hii ya CAF Champions League 2018/2019. Tena amezifunga na kuziondoa mashindanoni timu zilizoshiriki hatua ya makundi katika michuano ya CAF msimu uliopita. Sijui hizo takwimu zako umetoa wapi...Tumeona jinsi ambavyo simba ilivyopoteza michezo yote ya ugenini. Ni kipigo baada ya kipigo na kufanya jumla magoli kuwa 12 kwa ugenini tu. Simba imeonesha uwezo wa chini sana kwa mechi za ugenini na kitu kikubwa ambacho tumekiona ni wachezaji kushindwa kujiamini wakiwa ugenini.
Hamjaingia, sema Simba wameingia. Hii ni sifa kwa Simba, wala si kwa nyie wengine. Hata hizo dola 650,000/= (Tsh. bilioni 1.5) atapewa Simba, wala si klabu nyingine. Mbona mnataka kujiingiza kwenye mafanikio ya Simba? Cha ajabu, Yanga mna mechi na Alliance Academy kabla ya mechi ya Simba vs Mazembe, lakini mnazungumzia mechi ya Simba tu na kutoa ushauri uchwara. Tokeni hapa, nendeni mkajadili uchaguzi wa viongozi na ligi ya Bara. By the way tumeshavuka malengo tulioiwekea, hii ni ziada tu na wala hatuna papara nayo. Changishaneni hela za usajili huko...Sasa tumeingia Kwenye hatua ya uchu wa kombe, ni game ambazo full kukomoana, .
Ndio hvyo mkuu Tatizo ushabiki mwingi kuliko uhalisia wa mambo na mchezo wa mpiraMleta mada, katoa ushauri mzuri sana! Tatizo, kama isemavyo mara kwa mara, WATU WENGI HUZIPENDA TIMU SANA, KULIKO KUUPENDA MCHEZO WENYEWE. Kila mtu atoapo ushauri, hata uwe wa maana kiasi gani, wao humuona mtu huyo ni ADUI wa timu yao wanayoipenda.
Hatua waliyoifikia Simba, wanastahili pongezi. Lakini kwenye hatua hii, bila kujali itakutana na timu gani, kwa mbinu ile iliyokuwa ikitumika kusubiri ushindi nyumbani tu, ni hatari sana, hasa ukizingatia matokeo mabaya ya ugenini. Lakini, ukiwaangalia Simba walipokuwa wakicheza ugenini, walikuwa wanacheza KINYONGE sana. Ukifanyiwa kazi ushauri wa mleta mada, Simba inaweza kufika mbali!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyongo itwapasukiaNa watapigwa mengi tu siishangiliii simba kamwe mm Wa Kongo tu ,,...
Sent using Jamii Forums mobile app