Yaliyofanyika Chato yatafanyika zaidi Kizimkazi, samaki ni wale wale kilichobadilika ni mapishi tu

Yaliyofanyika Chato yatafanyika zaidi Kizimkazi, samaki ni wale wale kilichobadilika ni mapishi tu

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Kizimkazi festival Haina ubaya wowote ni nzuri kwa maendeleo ya eneo husika na kwa historia ya kiongozi wetu hasa Huko paje! Basi yafanyike Yale yenye manufaa haswaa! Kwa nchi nzima, tuwe makini na upendeleo uliopita kiasi.

Kizimkazi festival ni endelevu maana yake itafanyika kila mwaka mpaka pale utawala utakapobadilishwa Kwa mujibu wa katiba 2030. Ikiwa Kila mwaka itakuwa kizimkazi festival basi akimaliza muhula wake wa utawala kizimkazi itakuwa London! Sitegemei kuyaona ya Chato lakini naamini tutaona mengi mazuri na hovyo kabisa.
 
Angekuwepo Nyerere, angeshaitwa Butiama..

Hatujawahi kuona Nyerere akienda kufanya festival Butiama..

Mwinyi akienda kufanya festival kwao...

Mkapa akienda kufanya festival Nang'wanda..

Kikwete akienda kufanya festival Msoga...
Hapa mama hajafund hii nadhani Kuna watu wamejipendekeza kupeleka hili tamasha huko
 
Hiyo festovo kwani imeanza Rais alipoingia madarakani?
 
Angekuwepo Nyerere, angeshaitwa Butiama..

Hatujawahi kuona Nyerere akienda kufanya festival Butiama..

Mwinyi akienda kufanya festival kwao...

Mkapa akienda kufanya festival Nang'wanda..

Kikwete akienda kufanya festival Msoga...m

Hapa mama hajafund hii nadhani Kuna watu wamejipendekeza kupeleka hili tamasha huko
Mcheza kwao hutuzwa umeuliza ghalama za maandalizi ya festival? Ni mabi na mabi
 
Angekuwepo Nyerere, angeshaitwa Butiama..

Hatujawahi kuona Nyerere akienda kufanya festival Butiama..

Mwinyi akienda kufanya festival kwao...

Mkapa akienda kufanya festival Nang'wanda..

Kikwete akienda kufanya festival Msoga...
Mcheza kwao hutuzwa
 
Weka ushahidi hapa
IMG_20230830_083403.jpg
 
Mim ni m bara ila nashangaa sana kuona huko kizimkaz wat roho zinawapaparika. Nataman pageuke hata dubai mana wataofaidika ni watu wote.nenda mahotel yot ya kitalii zanzibar waliojaa housing keeping ni vijana kutoka bara arusha huko sasa nasemaa nataman hata dubai nzima iende kizimkaz si hatujui fursa wezetu wana akili
 
Angekuwepo Nyerere, angeshaitwa Butiama..

Hatujawahi kuona Nyerere akienda kufanya festival Butiama..

Mwinyi akienda kufanya festival kwao...

Mkapa akienda kufanya festival Nang'wanda..

Kikwete akienda kufanya festival Msoga...

Barabara ya Chalinze Msoga imejengwa Juzi Juzi tu.

Funga kazi alikuwa JIKONO JANDAMA kwa kuifanya CHATTLE kuwa GBADOLITE.
 
Kizimkazi festival Haina ubaya wowote ni nzuri kwa maendeleo ya eneo husika na kwa historia ya kiongozi wetu hasa Huko paje! Basi yafanyike Yale yenye manufaa haswaa! Kwa nchi nzima, tuwe makini na upendeleo uliopita kiasi..

Kizimkazi festival ni endelevu maana yake itafanyika kila mwaka mpaka pale utawala utakapobadilishwa Kwa mujibu wa katiba 2030! Ikiwa Kila mwaka itakuwa kizimkazi festival basi akimaliza muhula wake wa utawala kizimkazi itakuwa London! Sitegemei kuyaona ya Chato lakini naamini tutaona mengi mazuri na hovyo kabisa..
Nyie kima nani aliyewaroga? Unazungumziaje habari za 2030 ilhali hata 2025 hujui kama atapita achilia mbali uhai? Mnatia kinyaa sana nyie.
 
Mim ni m bara ila nashangaa sana kuona huko kizimkaz wat roho zinawapaparika. Nataman pageuke hata dubai mana wataofaidika ni watu wote.nenda mahotel yot ya kitalii zanzibar waliojaa housing keeping ni vijana kutoka bara arusha huko sasa nasemaa nataman hata dubai nzima iende kizimkaz si hatujui fursa wezetu wana akili
Au sio mmbebe
 
Back
Top Bottom