Yaliyofanyika Chato yatafanyika zaidi Kizimkazi, samaki ni wale wale kilichobadilika ni mapishi tu

Yaliyofanyika Chato yatafanyika zaidi Kizimkazi, samaki ni wale wale kilichobadilika ni mapishi tu

Kizimkazi festival Haina ubaya wowote ni nzuri kwa maendeleo ya eneo husika na kwa historia ya kiongozi wetu hasa Huko paje! Basi yafanyike Yale yenye manufaa haswaa! Kwa nchi nzima, tuwe makini na upendeleo uliopita kiasi..

Kizimkazi festival ni endelevu maana yake itafanyika kila mwaka mpaka pale utawala utakapobadilishwa Kwa mujibu wa katiba 2030! Ikiwa Kila mwaka itakuwa kizimkazi festival basi akimaliza muhula wake wa utawala kizimkazi itakuwa London! Sitegemei kuyaona ya Chato lakini naamini tutaona mengi mazuri na hovyo kabisa..
Nawe hutaki Kizimkazi kuwa hiyo "London" usemayo ?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Hata yale ya Chato yako "overrated" kisiasa tu....

Chato nao ni raia....

Kizimkazi nao ni raia....hawastahili maendeleo?!!!

Kumpeleka Rais nyumbani kwao ni kumpumzisha na "kurelax" mind yake....kazi yao ni TIRESOME zaidi ya mbeba zege kila siku....atapumzika mule Ikulu Dar tu?!!
Atapumzika Ikulu Dar tu?!!

Hata Rais ukiwa wewe....ninakuombea uwe na "festival" huko kwenu kwa sababu ya afya ya mwili na akili...


Festival sawa....ila pia ni kwa ajili ya hiyo "recreational"....
 
Hata
Hata sisi huku tunamatamasha mengi ya utamaduni hata kule kwetu busokelo ni matamasha yetu ....hili la Sasa na Hilo uliloweka hapo ni tofauti hili la Sasa ni la kitaifa ndio maana unaona Kila cellebr ameenda Huko hili lilitakiwq lifanywe kama zamani na wazawa kwa desturi zao kama zamani
 
Angekuwepo Nyerere, angeshaitwa Butiama..

Hatujawahi kuona Nyerere akienda kufanya festival Butiama..

Mwinyi akienda kufanya festival kwao...

Mkapa akienda kufanya festival Nang'wanda..

Kikwete akienda kufanya festival Msoga...
Huyo Nyerere angeishi miaka 1000 kuwaona marais wote wa muda huo?!!

Zama zinabadilika....baadhi ya mambo pia....

Hao uliowataja lini walicheza filamu ?!!

Mbona mama yetu ameyasababisha mafuriko ya watalii nchini ?!!

Hili halikushangazi ?!!

Mathalani Makunduchi wana zile sherehe zao nyingine za kitamaduni ziitwazo MWAKAKOGWA(kuoga mwaka)....
 
Mim ni m bara ila nashangaa sana kuona huko kizimkaz wat roho zinawapaparika. Nataman pageuke hata dubai mana wataofaidika ni watu wote.nenda mahotel yot ya kitalii zanzibar waliojaa housing keeping ni vijana kutoka bara arusha huko sasa nasemaa nataman hata dubai nzima iende kizimkaz si hatujui fursa wezetu wana akili
[emoji2956][emoji2956]
 
Barabara ya Chalinze Msoga imejengwa Juzi Juzi tu.

Funga kazi alikuwa JIKONO JANDAMA kwa kuifanya CHATTLE kuwa GBADOLITE.
Mkuu si chumvi hii ?!![emoji1787]

Yaani unaifananisha Chato na Gbadolite ?!! [emoji1787]

Umeamua kuwaonea wanachato...
 
Ila Chato ilivuka mipaka. Ni moja ya eneo shujaa wetu alituangusha.
 
Kizimkazi festival Haina ubaya wowote ni nzuri kwa maendeleo ya eneo husika na kwa historia ya kiongozi wetu hasa Huko paje! Basi yafanyike Yale yenye manufaa haswaa! Kwa nchi nzima, tuwe makini na upendeleo uliopita kiasi.

Kizimkazi festival ni endelevu maana yake itafanyika kila mwaka mpaka pale utawala utakapobadilishwa Kwa mujibu wa katiba 2030. Ikiwa Kila mwaka itakuwa kizimkazi festival basi akimaliza muhula wake wa utawala kizimkazi itakuwa London! Sitegemei kuyaona ya Chato lakini naamini tutaona mengi mazuri na hovyo kabisa.
Nasikia na hospital inagengwa huko wakati afya haimo kwenye orodha ya wazara za muungano.

Sent from my Infinix X689F using JamiiForums mobile app
 
Hilo jukwaa la hovyo kinona, wanashindwa hata na wakina fiesta, wasafi na tv E.
 
Back
Top Bottom