Hapa mama hajafund hii nadhani Kuna watu wamejipendekeza kupeleka hili tamasha hukoAngekuwepo Nyerere, angeshaitwa Butiama..
Hatujawahi kuona Nyerere akienda kufanya festival Butiama..
Mwinyi akienda kufanya festival kwao...
Mkapa akienda kufanya festival Nang'wanda..
Kikwete akienda kufanya festival Msoga...
Angekuwepo Nyerere, angeshaitwa Butiama..
Hatujawahi kuona Nyerere akienda kufanya festival Butiama..
Mwinyi akienda kufanya festival kwao...
Mkapa akienda kufanya festival Nang'wanda..
Kikwete akienda kufanya festival Msoga...m
Mcheza kwao hutuzwa umeuliza ghalama za maandalizi ya festival? Ni mabi na mabiHapa mama hajafund hii nadhani Kuna watu wamejipendekeza kupeleka hili tamasha huko
Mcheza kwao hutuzwaAngekuwepo Nyerere, angeshaitwa Butiama..
Hatujawahi kuona Nyerere akienda kufanya festival Butiama..
Mwinyi akienda kufanya festival kwao...
Mkapa akienda kufanya festival Nang'wanda..
Kikwete akienda kufanya festival Msoga...
Jisemee ww kwamba hukuijua ila usijumuishe wengi. Labda limekua kubwa na kutangazwa sana kwakua muhusika wa eneo ni raisi ila hiyo mambo ipogoNani aliijua kizimkazi au paje shekhe?
Tupo mahakamani?Weka ushahidi hapa
Weka ushahidi hapa
Angekuwepo Nyerere, angeshaitwa Butiama..
Hatujawahi kuona Nyerere akienda kufanya festival Butiama..
Mwinyi akienda kufanya festival kwao...
Mkapa akienda kufanya festival Nang'wanda..
Kikwete akienda kufanya festival Msoga...
Ahsante sana!!
Nyie kima nani aliyewaroga? Unazungumziaje habari za 2030 ilhali hata 2025 hujui kama atapita achilia mbali uhai? Mnatia kinyaa sana nyie.Kizimkazi festival Haina ubaya wowote ni nzuri kwa maendeleo ya eneo husika na kwa historia ya kiongozi wetu hasa Huko paje! Basi yafanyike Yale yenye manufaa haswaa! Kwa nchi nzima, tuwe makini na upendeleo uliopita kiasi..
Kizimkazi festival ni endelevu maana yake itafanyika kila mwaka mpaka pale utawala utakapobadilishwa Kwa mujibu wa katiba 2030! Ikiwa Kila mwaka itakuwa kizimkazi festival basi akimaliza muhula wake wa utawala kizimkazi itakuwa London! Sitegemei kuyaona ya Chato lakini naamini tutaona mengi mazuri na hovyo kabisa..
Au sio mmbebeMim ni m bara ila nashangaa sana kuona huko kizimkaz wat roho zinawapaparika. Nataman pageuke hata dubai mana wataofaidika ni watu wote.nenda mahotel yot ya kitalii zanzibar waliojaa housing keeping ni vijana kutoka bara arusha huko sasa nasemaa nataman hata dubai nzima iende kizimkaz si hatujui fursa wezetu wana akili