Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siasaaa kama siasa nyingine
Kwani umelazimishwa?Sawa tusubiri kesho tuone wachaga mtakavyoandama maana wasio wachaga ni wajinga.
Maandamano ya ukabila ngoja tuone.
We papai kaliwe huko Kimboka...Dr. Sisimizi
Wakati Bunge la Tanzania likijiandaa kujadili muswada wa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, Chadema kwao ni tofauti muda huu wao wanafanya kikao kwa ajili ya kupanga namna gani kufanya vurugu Januari 24, 2024.
Kikao hicho kinachoendelea muda huu kinaongozwa na Katibu John Mnyika akiwa pamoja na Wenyeviti wa CHADEMA wilaya zote za Dar es salaam na Kata zake.
Moja ya ajenda yao ni kuhakikisha ni kwa namna gani Maandamano hayo yataanzisha vurugu kwa kuchoma matairi, kuharibu miundombinu ili kuzihadaa Jumuiya za Kimataifa ambazo walienda kuwaomba hela ili kuwezesha maandamano hayo, hivyo kiufupi wanataka kuhalalisha matumizi ya Milioni 500 walizopewa kwa ajili ya maandamano.
Moja ya wajumbe ambao wako ndani ya hicho kikao (Jina tumelihifadhi), alihoji kuwa hiyo sio Plan nzuri maana inaweza kupelekea Chadema kionekane Chama kisichofaa, Mjumbe huyo alitishiwa kuwa anyamaze na alipohoji kuhusu haki yake ya kuchangia kwenye kikao, Mwenyekiti wa kikao John Mnyika na Makamu Mwenyekiti Benson Kigaia aliamuru atolewe nje.
Watanzania wenzangu tuwe makini sana na hii siku inayoitwa ya Maandamano, maana si maandamano bali kilichopo nyuma yake ni kuhamasisha vurugu.
Mwisho niwaombe Jeshi la Polisi, ni kweli mmewaruhusu hawa watu wafanye maandamano ya amani, lakini wenzenu hawana nia ya amani wanalenga kuvuruga amani, hivyo tunaomba na nyinyi muwe macho kwenye kipindi hiki, kama mlikuo mnapumzika mchana, sasa msipumzike tena, wekeni watu wenu kila kona ya Dar es salaam, maana lolote linaweza kutmlikuo
Ewe mchumia tumbo.Dr. Sisimizi
Wakati Bunge la Tanzania likijiandaa kujadili muswada wa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, Chadema kwao ni tofauti muda huu wao wanafanya kikao kwa ajili ya kupanga namna gani kufanya vurugu Januari 24, 2024.
Kikao hicho kinachoendelea muda huu kinaongozwa na Katibu John Mnyika akiwa pamoja na Wenyeviti wa CHADEMA wilaya zote za Dar es salaam na Kata zake.
Moja ya ajenda yao ni kuhakikisha ni kwa namna gani Maandamano hayo yataanzisha vurugu kwa kuchoma matairi, kuharibu miundombinu ili kuzihadaa Jumuiya za Kimataifa ambazo walienda kuwaomba hela ili kuwezesha maandamano hayo, hivyo kiufupi wanataka kuhalalisha matumizi ya Milioni 500 walizopewa kwa ajili ya maandamano.
Moja ya wajumbe ambao wako ndani ya hicho kikao (Jina tumelihifadhi), alihoji kuwa hiyo sio Plan nzuri maana inaweza kupelekea Chadema kionekane Chama kisichofaa, Mjumbe huyo alitishiwa kuwa anyamaze na alipohoji kuhusu haki yake ya kuchangia kwenye kikao, Mwenyekiti wa kikao John Mnyika na Makamu Mwenyekiti Benson Kigaia aliamuru atolewe nje.
Watanzania wenzangu tuwe makini sana na hii siku inayoitwa ya Maandamano, maana si maandamano bali kilichopo nyuma yake ni kuhamasisha vurugu.
Mwisho niwaombe Jeshi la Polisi, ni kweli mmewaruhusu hawa watu wafanye maandamano ya amani, lakini wenzenu hawana nia ya amani wanalenga kuvuruga amani, hivyo tunaomba na nyinyi muwe macho kwenye kipindi hiki, kama mlikuo mnapumzika mchana, sasa msipumzike tena, wekeni watu wenu kila kona ya Dar es salaam, maana lolote linaweza kutmlikuo
Mna propaganda za kipumbavu Sana sijapata kuonaMoja ya ajenda yao ni kuhakikisha ni kwa namna gani Maandamano hayo yataanzisha vurugu kwa kuchoma matairi, kuharibu miundombinu ili kuzihadaa Jumuiya za Kimataifa ambazo walienda kuwaomba hela ili kuwezesha maandamano hayo, hivyo kiufupi wanataka kuhalalisha matumizi ya Milioni 500 walizopewa kwa ajili ya maandamano
Hawaamini wako kwenye DENIAL STAGEEwe mchumia tumbo.
Katiba ya Tanzania inatambua na kuruhusu maandamano.
Wewe ni una mamlaka gani kupinga haki ya kikatiba?
Hahahaha 😆 uchaga tena?Sawa tusubiri kesho tuone wachaga mtakavyoandama maana wasio wachaga ni wajinga.
Maandamano ya ukabila ngoja tuone.
Watanzania wenzangu tuwe makini sana na hii siku inayoitwa ya Maandamano, maana si maandamano bali kilichopo nyuma yake ni kuhamasisha vurugu.
Nilishakujibu kule, umekimbia umekuja huku with the same question, Una Tatizo mahali.Hivi hayo maandamano ni ya nini?
Does not make sense, logically haiwezekani,Amani Golugwa, Katibu wa chadema kanda ya kaskazini,
Amani!Hivi hayo maandamano ni ya nini?
Huyo malaya anatafuta watejaKama unahisi una ushahidi, jeshi la polisi lipo nenda katoe taarifa wao wanaita intelijensia...
Kuja kupuyanga JF kwa taarifa kama hizi ni ubabaishaji wa kutafuta likes...
Ulivyotabiri ndivyo hivyo leo?Dr. Sisimizi
Wakati Bunge la Tanzania likijiandaa kujadili muswada wa mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, Chadema kwao ni tofauti muda huu wao wanafanya kikao kwa ajili ya kupanga namna gani kufanya vurugu Januari 24, 2024.
Kikao hicho kinachoendelea muda huu kinaongozwa na Katibu John Mnyika akiwa pamoja na Wenyeviti wa CHADEMA wilaya zote za Dar es salaam na Kata zake.
Moja ya ajenda yao ni kuhakikisha ni kwa namna gani Maandamano hayo yataanzisha vurugu kwa kuchoma matairi, kuharibu miundombinu ili kuzihadaa Jumuiya za Kimataifa ambazo walienda kuwaomba hela ili kuwezesha maandamano hayo, hivyo kiufupi wanataka kuhalalisha matumizi ya Milioni 500 walizopewa kwa ajili ya maandamano.
Moja ya wajumbe ambao wako ndani ya hicho kikao (Jina tumelihifadhi), alihoji kuwa hiyo sio Plan nzuri maana inaweza kupelekea Chadema kionekane Chama kisichofaa, Mjumbe huyo alitishiwa kuwa anyamaze na alipohoji kuhusu haki yake ya kuchangia kwenye kikao, Mwenyekiti wa kikao John Mnyika na Makamu Mwenyekiti Benson Kigaia aliamuru atolewe nje.
Watanzania wenzangu tuwe makini sana na hii siku inayoitwa ya Maandamano, maana si maandamano bali kilichopo nyuma yake ni kuhamasisha vurugu.
Mwisho niwaombe Jeshi la Polisi, ni kweli mmewaruhusu hawa watu wafanye maandamano ya amani, lakini wenzenu hawana nia ya amani wanalenga kuvuruga amani, hivyo tunaomba na nyinyi muwe macho kwenye kipindi hiki, kama mlikuo mnapumzika mchana, sasa msipumzike tena, wekeni watu wenu kila kona ya Dar es salaam, maana lolote linaweza kutmlikuo