Pre GE2025 Yaliyojificha nyuma ya pazia maandamano ya CHADEMA Januari 24

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
We papai kaliwe huko Kimboka...
 
Kweli mtu mzima ukatunge uongo kisa kuitetea ccm inayotuumiza kila siku..... Sawa unaweza ukawa unalamba asali ila je familia na kizazi chako wanalamba pia na je unanifaika nini nchi ikiendelea kunyonywa

Hakuna faida ya uongo jitahidi usionyeshe ujinga wako.


Jina nina mashaka nalo nahisi limepungua herufi nayo ni A
 
Ewe mchumia tumbo.
Katiba ya Tanzania inatambua na kuruhusu maandamano.

Wewe ni una mamlaka gani kupinga haki ya kikatiba?
 
Mna propaganda za kipumbavu Sana sijapata kuona
 
Watanzania wenzangu tuwe makini sana na hii siku inayoitwa ya Maandamano, maana si maandamano bali kilichopo nyuma yake ni kuhamasisha vurugu.

Kama unahisi una ushahidi, jeshi la polisi lipo nenda katoe taarifa wao wanaita intelijensia...

Kuja kupuyanga JF kwa taarifa kama hizi ni ubabaishaji wa kutafuta likes...
 
Amani Golugwa, Katibu wa chadema kanda ya kaskazini,
Does not make sense, logically haiwezekani,
CDM wana utaratibu wao na msemaji wao na viongozi wa ngazi za juu wenye kuweza kuisemea CDM, kwa nn Amani Golugwa akisemee chama wakati hana hiyo mandate? Uongo huo!!
 
Ulivyotabiri ndivyo hivyo leo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…