Kitila Mkumbo alikuwa Katibu Wizara ya Maji na ndiye aliyewaletea Ubungo Maji hayoKitila apata aibu kubwa mkutanoni, ni baada ya kuwauliza akina Mama kama wana maji, wakamjibu Ndio! Alitegemea jibu la hapana ili amu-outsmart Mnyika na Chadema....kaumbuka
kuna tetesi kwamba Bony karejeshwa
Kamanda Nyumbu uwe unauliza kwanza...Waulize ACT nani kamuwekea Jacobo pingamizi?
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na wewe ulijiunga kwa ajili ya Mlevi wa Konyagi khe khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee aibu sana!yaani wewe ulijiunga jf kwa ajili ya kitila tu ! ni aibu sana
Ahahaha umepanic mkuu!yaani wewe ulijiunga jf kwa ajili ya kitila tu ! ni aibu sana