Uchaguzi 2020 Yaliyojijiri katika uzinduzi wa Kampeni za Prof. Kitila Mkumbo

Uchaguzi 2020 Yaliyojijiri katika uzinduzi wa Kampeni za Prof. Kitila Mkumbo

Kitila apata aibu kubwa mkutanoni, ni baada ya kuwauliza akina Mama kama wana maji, wakamjibu Ndio! Alitegemea jibu la hapana ili amu-outsmart Mnyika na Chadema....kaumbuka
Kitila Mkumbo alikuwa Katibu Wizara ya Maji na ndiye aliyewaletea Ubungo Maji hayo
Hakumaanisha Mnyika ila ni yeye kajipigia debe
 
Kamanda Nyumbu uwe unauliza kwanza...Waulize ACT nani kamuwekea Jacobo pingamizi?

Hiyo ni janja ya nyani ya ccm waonekane sio wao!!!! Inshallah dua za wenye nchi zitafanya kazi na Bonny atarudi ulingoni na ndipo mtakapoipata fresh ya shamba!!!
 
yaani wewe ulijiunga jf kwa ajili ya kitila tu ! ni aibu sana
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na wewe ulijiunga kwa ajili ya Mlevi wa Konyagi khe khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee aibu sana!
 
Pale karibu na mabibo hosteli leo katis huruma nadhani amejuwa hatakiwi ubungo
 
Back
Top Bottom