Yaliyojiri Birthday Party ya Tanasha , Mama Diamond .

uandishi wa kisasa huu hata mimi unanikanganya. sijui walimu wa kiswahili hasa sura za insha wanakosea wapi jamani. loooh!

Kuna kitu wanaita Bait Heading, means heading itakayokuvutia kununua gazeti au ku-click ili uingie kwenye page husika.

Nadhani ndiyo style aliyoitumia Mbeya wetu mkuu Dada/Kaka warumi...!
 
warumi "now you have to deal with diamond and her dramatic family"
his not her, lugha ya watu hii
 
kuna keki ya mtu imeguswa hapa! haya maneno ya kudhania hayakujankwa kubahatisha bali kutafuta suuzo la roho kutoka kwa wanajamvi (public sympathy)
 
Mmh shoga kumbe Vera mbaya vile , yan bora angebak na weupe wake tu kwa kweli , Ana sura mbaya

Bina kajifanyaje [emoji12][emoji12][emoji12]kumbe mtu anaweZa kuwa mweusi [emoji23][emoji23]
 
ungefanya kazi ya kumshauli mtoto wa ndugu yako ,maisha yameiisha mshinda, unakalia kumshauli mtu mwwnye pesa zake,rumala
 
Hapa warumi ndio unaniachaga hoi, hivi mwanamke Malaya kama zari, kumwacha Ivan ndani, na watoto wakubwa vile akaenda kulaya na mdogo wake diamond hivi hizi ni akili au matope?
Mbaya zaidi akaona arudi kwa ivan apate mtoto Wa kiume amchomeke kwa diamond kisa kitanda hakizai haramu.
Zari kwa diamond hawezi Ku move on trust me.anamtaka kuliko unavyodhani coz anapenda show off za kijinga.

Nb. Sikiliza wimbo wa inama vizuri ndo utajua diamond ana watoto wa ngapi kwa zari.

Mengine yote uko sawa kwa kiasi . who knows? Things change tanasha can make it.
 
Hata ndio yaliyojiri?
 


Watoto wote ni wa kwake , kosa la diamond alikua akienda kutongoza wanawake ili aonekane saint na bado.ni Mbichi alikua anakana wale watoto wa zari

Hii tabia chafu ya kukana watoto kwa michepuko wakati anafatilia papuchi Wanayo wanaume wengi sana especially waliozaa hovyo
 
ukitaka kujua kama mtu ana tabia ya kukana mtoto,

angalia his past relationships.

.ukiona mtu hajaoa wakati ana umri wa kuoa na ana watoto mahali ..

.awe ame wakana ama hajawakana

..kitendo cha kutotaka kujicommit

into relationship ni tatizo

...sipendi kuongea sana but mliozaa na Diamond,

mnisamehe

but the truth is,

malezi ya Diamond yamechangia yeye kuwaignore watoto wake..

..hajakulia kwenye secured home,baba mama watoto..

hajawahi kumuona baba yake akimuhudumia.

.huyu mtu haoni jukumu la kulea mtoto ni lake.#

.sababu hakuona baba yake akimfanyia hivyo...

...tatizo wanawake huwaga tunaona red flags

..ila tuna zignore..hoping someone will change..

kumbe tunajiingiza matatizoni tuu..
 
Write your reply...
acha tu awagegede
warumi nawe si unampeodaga "diamond"
 
Write your reply...
acha tu awagegede
warumi nawe si unampeodaga "diamond"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…