Yaliyojiri BMK, Ndiyo Maana Huwa Siwaamini Sana Wanawake

Yaliyojiri BMK, Ndiyo Maana Huwa Siwaamini Sana Wanawake

The Worshiper

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
302
Reaction score
89
Wanawake waliokuwa wajumbe wa BMK wamewaangusha wenzao.Wengi walikuwa hawajitambui walichokuwa wanafanya na kilichowapeleka bungeni.Ndiyo maana baada ya kupatikana kwa 2/3 walifurahi na kushangilia wasichokifamu,kuimba taarabu na mipasho

Hawajui Mambo yao mengi yaliyoingizwa kwenye katiba ilikuwa nikuwawin tu sababu ya uwingi wao lakini ni danganya toto.Wao waligeuzwa mtaji ili tu ipatikane akidi na watumike katika kuwashawishi wanawake wenzao ili waje kuipitisha baadaye.

Inashangaza wao kama waathirika wakubwa katika harakati mbalimbali za kimaisha kufurahia na kuiunga mkono katiba eti tu kwasababu imetaja asilimia 50/50 na wanaume.vipi kuhusu wenzao wanaoteseka vijijini? vipi kuhusu vijana na watoto wao? Vipi kuhusu uzazi na afya zao? Je ni kwasababu wao wako mijini wamewasahau wenzao wanaoteseka vijijini!

Katika siasa za Tanzania CCM huwaweka wanawake madarakani ili kuwatumia kwa maslahi ya kisiasa tu na si vinginevyo,huwatumia kwakuwa kwakuwa wao ni rahisi kupokea maelekezo tu bila kuhoji(Chunguza wote utaona).Huongozwa kwa Remote.

Wanawake walipaswa kutazama maslahi mapaya ya nchi na si mambo yao tu kwa kuwa wao ndiyo huwa wahanga wakubwa wamatukio mengi yanayoikumba jamii.Wao ndiyo wangekuwa wa kwanza kuipinga.

Sasa hivi tayari katiba hii imeshaleta mgawanyiko mkubwa ambao wao pia wamechangia.Chochote kibaya kikitokea wajue kuwa wao watakuwa wahanga wa kwanza.
 
Ndo maana Plato aliwahi kusema wanawake ni sawa na nyasi.....
 
MKuu, kilio chako kinaeleweka. Kwa kifupi hujaridhishwa na kilicho afikiwa na Bunge Maalum la Katiba.
Hata hivyo, kwa mtazamo wangu ume wa-"single out" wanawake kama watu ambao si wa kuaminiwa.Kwa maoni yako lakini.

Swali la muhimu: Ni wanawake pekee waliopiga kura katika BMK ili kuzipata theluthi mbili zilizotakiwa?
Linganisha idadi ya wanawake katika BMK dhidi ya ile ya wanamaume; kimantiki wanaume "sisi" ndiyo ambao si wa kuaminiwa kabisa....

Rejea nukuu moja wapo ya mwenyekiti wa Baraza hilo, Mh.Sitta alimwambia mke wake,"Ungekosea hiyo, ungepata taabu sana".
 
MKuu, kilio chako kinaeleweka. Kwa kifupi hujaridhishwa na kilicho afikiwa na Bunge Maalum la Katiba.
Hata hivyo, kwa mtazamo wangu ume wa-"single out" wanawake kama watu ambao si wa kuaminiwa.Kwa maoni yako lakini.

Swali la muhimu: Ni wanawake pekee waliopiga kura katika BMK ili kuzipata theluthi mbili zilizotakiwa?
Linganisha idadi ya wanawake katika BMK dhidi ya ile ya wanamaume; kimantiki wanaume "sisi" ndiyo ambao si wa kuaminiwa kabisa....

Rejea nukuu moja wapo ya mwenyekiti wa Baraza hilo, Mh.Sitta alimwambia mke wake,"Ungekosea hiyo, ungepata taabu sana".

Ushabiki uliooneshwa na unaoendelea kuoneshwa na wanawake unakera kupindukia. Chunguza vizuri utaelewa upofu wa wanawake.
 
Ushabiki uliooneshwa na unaoendelea kuoneshwa na wanawake unakera kupindukia. Chunguza vizuri utaelewa upofu wa wanawake.

Sawa mkuu. Nakuelewa. Jambo moja muhimu la kuzingatiwa, shughuli nzima inayoendeshwa na BMK walioshika mpini ni wanaume.Wanawake wakibebeshwa lawama itakuwa kuwaonea tu.

Tazama hata uteuzi wao,wanayoyafanya ni sehemu tu ya kulipa fadhila kwa waliowateua. Wakifanya vinginevyo,300,000 wanayoifaidi sasa itaishia kuwa ndoto ya alinacha.
 
Sasa kwanini wanakata viuno wakati hiyo rasimu ya sita haijaja kwa wananchi?
 
Wanawake ni majanga kabisa wala hujakosea mleta mada,hawa ndiyo wanaokwamisha harakati za kuwang'oa mafisadi madarakani kwaajili ya ujinga wao.Natamani kungekuwa na sheria ya kuwakataza wanawake kushiriki siasa (kupiga kura) ili haya mafisadi yakose mahala pa kujiokolea!!Japo si wanawake wote!
 
Wakuu,

Unajua gazeti la maana kama Thisday kuiongelea Jamboforums kwa kiasi hiki na mafanikio makubwa sana kwa jamboforums. Hongera wote mlioifikisha hii forum hapa ilipo sasa.

Buzwagi contract finds its way onto Internet

-Chat room members refer to it as the ’Tanzanian song’

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

[/size]

Hujitambui we ukawa,,,,,,,,,
 
Sijawahi kuwaamini wanawake sitawaamini siwaamini,nawaheshimu tu wale watu wazima wakike ila siwaamini
 
Tofauti ya mwanaume na mwanamke haipo kwenye maumbile tu. Japo wanataka 50/50 lakini kwa asili mwanamke ni mtu wakuongozwa tu na hiyo ndio Nature tangu tulivyoumbwa. IQ ni tofauti hata asome hadi kuwa Prof. Na inawezekana wanawake wengi waliokuwa mle hata hawaelewi vema maudhui ya sura na ibara zilizokuwemo kwenye Rasimu ya kwanza na iliyopendekezwa na Bunge. Hata umuulize ni kwanini akikujibu basi itakuwa yale tu aliyokaririshwa na wenzake lakini hataweza kukupa ABC anavyoelewa yeye.
 
Wanasherekea nini,wakati ni masirai ya kisiasa tu,nani mwanamke atadai hiyo percent kwa mume wake kijijini apate?ulimwenguni kote hakuna hata beijing.
 
Na wengi wao ni chakula ya vigogo serikalini ambao wanajiita "ccm inawenyewe na wenyewe ndio sisi"
 
Ushabiki uliooneshwa na unaoendelea kuoneshwa na wanawake unakera kupindukia. Chunguza vizuri utaelewa upofu wa wanawake.
Nashindwa kuelewa Warioba na timu yake walikuwa na kilevi gani vichwani walipotuwekea upuuzi kwenye rasimu eti 50 kwa 50. Sijui haya maoni waliyapata wapi!
 
Ushabiki uliooneshwa na unaoendelea kuoneshwa na wanawake unakera kupindukia. Chunguza vizuri utaelewa upofu wa wanawake.
Nashindwa kuelewa Warioba na timu yake walikuwa na kilevi gani vichwani walipotuwekea upuuzi kwenye rasimu eti 50 kwa 50. Sijui haya maoni waliyapata wapi!
 
Wanawake waliokuwa wajumbe wa BMK wamewaangusha wenzao.Wengi walikuwa hawajitambui walichokuwa wanafanya na kilichowapeleka bungeni.Ndiyo maana baada ya kupatikana kwa 2/3 walifurahi na kushangilia wasichokifamu,kuimba taarabu na mipasho

Hawajui Mambo yao mengi yaliyoingizwa kwenye katiba ilikuwa nikuwawin tu sababu ya uwingi wao lakini ni danganya toto.Wao waligeuzwa mtaji ili tu ipatikane akidi na watumike katika kuwashawishi wanawake wenzao ili waje kuipitisha baadaye.

Inashangaza wao kama waathirika wakubwa katika harakati mbalimbali za kimaisha kufurahia na kuiunga mkono katiba eti tu kwasababu imetaja asilimia 50/50 na wanaume.vipi kuhusu wenzao wanaoteseka vijijini? vipi kuhusu vijana na watoto wao? Vipi kuhusu uzazi na afya zao? Je ni kwasababu wao wako mijini wamewasahau wenzao wanaoteseka vijijini!

Katika siasa za Tanzania CCM huwaweka wanawake madarakani ili kuwatumia kwa maslahi ya kisiasa tu na si vinginevyo,huwatumia kwakuwa kwakuwa wao ni rahisi kupokea maelekezo tu bila kuhoji(Chunguza wote utaona).Huongozwa kwa Remote.

Wanawake walipaswa kutazama maslahi mapaya ya nchi na si mambo yao tu kwa kuwa wao ndiyo huwa wahanga wakubwa wamatukio mengi yanayoikumba jamii.Wao ndiyo wangekuwa wa kwanza kuipinga.

Sasa hivi tayari katiba hii imeshaleta mgawanyiko mkubwa ambao wao pia wamechangia.Chochote kibaya kikitokea wajue kuwa wao watakuwa wahanga wa kwanza.
BAHATI MBAYA SANA WANAWAKE TULIO NAO KTK BMK NI VILAZA WALIOIBUA CCM KWASABABU YA VIPAJI VYA KUIIMBIA CCM LAKINI WENGI WAO I.Q NDOGO SANA KAMA UNABISHA. HEBU WAINGIZWE KWENYE TEST UTAONA WAKO BELO AVERAGE. SASA UNADHANI WATU KAMA HAWA WATATUSAIDIA NINI KTK KUJADILI HATMA YA NCHI YA MIAKA 200 IJAYO aah wapi mjomba?
 
Ndo maana Plato aliwahi kusema wanawake ni sawa na nyasi.....

Wanawake ni tatizo siku zote. Na kwa sasa moja ya mambo yanayotukwamisha ni hiyo dhana ya jinsi. Akili yao yote ni idadi sawa kwa gharama yoyote. Wanawake ni mama zetu lakini, ndiyo janga letu.
 
Back
Top Bottom