Yaliyojiri BMK, Ndiyo Maana Huwa Siwaamini Sana Wanawake

Yaliyojiri BMK, Ndiyo Maana Huwa Siwaamini Sana Wanawake

MKuu, kilio chako kinaeleweka. Kwa kifupi hujaridhishwa na kilicho afikiwa na Bunge Maalum la Katiba.
Hata hivyo, kwa mtazamo wangu ume wa-"single out" wanawake kama watu ambao si wa kuaminiwa.Kwa maoni yako lakini.

Swali la muhimu: Ni wanawake pekee waliopiga kura katika BMK ili kuzipata theluthi mbili zilizotakiwa?
Linganisha idadi ya wanawake katika BMK dhidi ya ile ya wanamaume; kimantiki wanaume "sisi" ndiyo ambao si wa kuaminiwa kabisa....

Rejea nukuu moja wapo ya mwenyekiti wa Baraza hilo, Mh.Sitta alimwambia mke wake,"Ungekosea hiyo, ungepata taabu sana".

Nadhani anamaanisha zaidi ule ushangiliaji ulioonekana. Infact wanawake walio wengi hasa viti maalum huwa wapiga makofi,wazomeaji na waitikiaji wa ndiyoo!
 
Tusisahau kuwa kama katiba hii itapitishwa wanawake wengi wanakuja kuachwa na wanaume hasa hawa ambao wameenda shule za nadharia maana wataanza kudai 50/50 hata kwa waume zao.
Kwa kifupi wote waliopitisha katiba walikuwa wamepofushwa na 2/3 kwa walishindwa kufanya tafakari ya kina na matokeo ya utekelezaji wake kuanzia kwenye ardhi, elimu, haki za binadamu, mamlaka za uongozi n.k
Tusubiri majibu kama matokeo ya kilichopitishwa Dodoma.
 
Mleta mada umenena sawia,hata mie juzi juzi tu nilichangia thread moja hapa jf na kusema kweli kabisa,wanawake sasa hivi wamepoteza dira na hawana mwelekeo,hawajuhi hata nini wanataka na nini hawataki in short wapowapo tu,leo wanasema hiki kesho wanataka kile ..mfano,sikumwona yeyote akisema katiba iingize kipengele muhimu kuheshimu utamaduni wa kuhenzi mavazi ya mtanzania ili kudhibiti mamiss kutembezwa uchi huku eti wakitulaumu sie wanaume ya kwamba tunawadhalilisha,kama kweli mnadhalilishwa mbona hamuonekani kukereka na mkachukua hatua mkiwa uwanjani hapo BMK? sasa nyie ni watu wa aina gani basi,wamekuwa kama kuku aliyekatwa kichwa hawajuhi kipi sawa na kipi si sawa kwao
 
Wanawake waliokuwa wajumbe wa BMK wamewaangusha wenzao.Wengi walikuwa hawajitambui walichokuwa wanafanya na kilichowapeleka bungeni.Ndiyo maana baada ya kupatikana kwa 2/3 walifurahi na kushangilia wasichokifamu,kuimba taarabu na mipasho

Hawajui Mambo yao mengi yaliyoingizwa kwenye katiba ilikuwa nikuwawin tu sababu ya uwingi wao lakini ni danganya toto.Wao waligeuzwa mtaji ili tu ipatikane akidi na watumike katika kuwashawishi wanawake wenzao ili waje kuipitisha baadaye.

Inashangaza wao kama waathirika wakubwa katika harakati mbalimbali za kimaisha kufurahia na kuiunga mkono katiba eti tu kwasababu imetaja asilimia 50/50 na wanaume.vipi kuhusu wenzao wanaoteseka vijijini? vipi kuhusu vijana na watoto wao? Vipi kuhusu uzazi na afya zao? Je ni kwasababu wao wako mijini wamewasahau wenzao wanaoteseka vijijini!

Katika siasa za Tanzania CCM huwaweka wanawake madarakani ili kuwatumia kwa maslahi ya kisiasa tu na si vinginevyo,huwatumia kwakuwa kwakuwa wao ni rahisi kupokea maelekezo tu bila kuhoji(Chunguza wote utaona).Huongozwa kwa Remote.

Wanawake walipaswa kutazama maslahi mapaya ya nchi na si mambo yao tu kwa kuwa wao ndiyo huwa wahanga wakubwa wamatukio mengi yanayoikumba jamii.Wao ndiyo wangekuwa wa kwanza kuipinga.

Sasa hivi tayari katiba hii imeshaleta mgawanyiko mkubwa ambao wao pia wamechangia.Chochote kibaya kikitokea wajue kuwa wao watakuwa wahanga wa kwanza.
..wanawake waliokuwa bungeni wameng'ang'ania 50/50 kwenye katiba kwa matakwa yao ya kisiasa tu...maana wengi wao wanajua kuwa miaka ijayo itakuwa ngumu kwao kugombea na kupata madaraka nchi hii...haswa pale upinzani utakapokuwa umechukua dola....maana wengi wao hawa wamekua wanapewa madaraka kwa kuwavulia chu.pi watawala..sasa wameona mwisho wa offer za madaraka unakaribia kwisha ndio maana wanataka 50/50.....Hawafanyi hivi kwa kuwajali wenzao maskini vijijini bali matakwa ya matumbo yao na wanao....
 
Hata Mugabe kule Zimbabwe aliwambia kuwa hawawezi kuchaguliwa nafasi yoyote kama mtu hakufanya bidii yake mwenyewe, wengi ni vilaza sana wanamaamuzi ya kubadilika badilika kirahisi sana hawana msimamo..
 
Kila mmoja anajukumu la kulaumiwa na sio vingnevyo.. Tatizo kubwa n ubinafsi na uchu tuu ndo unasumbua viongoz wetu na ndio maana wanazdi kutafuta namna na njia mbalimbali just kwa maslai&manufaa yao.. Na 50/50 kiuhalisia wil never hapen., wanalifahamu hilo na kwamba n vtu vngi vimefichwa ndani ya mwamvuli huo. Mungu anaakili mara zote na ndio maana haitatokea mwanaume eti mbiombia kajisikia hajandogo afke achutame ili ajisaidie au mwanamke kujsaidia kasimama (atajikojolea tuu).. Chamsingi ni kuelimshana na kuelezana kwa jinsi itavowezekana ili tuijenge vema Tanzania yetu.. Vngnevyo tutaendelea kufa kihoro tuu, wachache wanazidi kunawili..
 
true true

Ndo maana Plato aliwahi kusema wanawake ni sawa na nyasi.....

Hao wabunge wa BLK, tutawawinda mitaani kama vicheche

MKuu, kilio chako kinaeleweka. Kwa kifupi hujaridhishwa na kilicho afikiwa na Bunge Maalum la Katiba.
Hata hivyo, kwa mtazamo wangu ume wa-"single out" wanawake kama watu ambao si wa kuaminiwa.Kwa maoni yako lakini.

Swali la muhimu: Ni wanawake pekee waliopiga kura katika BMK ili kuzipata theluthi mbili zilizotakiwa?
Linganisha idadi ya wanawake katika BMK dhidi ya ile ya wanamaume; kimantiki wanaume "sisi" ndiyo ambao si wa kuaminiwa kabisa....

Rejea nukuu moja wapo ya mwenyekiti wa Baraza hilo, Mh.Sitta alimwambia mke wake,"Ungekosea hiyo, ungepata taabu sana".

Sawa mkuu. Nakuelewa. Jambo moja muhimu la kuzingatiwa, shughuli nzima inayoendeshwa na BMK walioshika mpini ni wanaume.Wanawake wakibebeshwa lawama itakuwa kuwaonea tu.

Tazama hata uteuzi wao,wanayoyafanya ni sehemu tu ya kulipa fadhila kwa waliowateua. Wakifanya vinginevyo,300,000 wanayoifaidi sasa itaishia kuwa ndoto ya alinacha.

Kinamama bwana! Mwanamke anaweza kulala na katoto kadogo nyumba kuuubwa usiku kucha akiamini katamwokoa wezi wakija,,ili mradi asilale peke yake.

Sasa kwanini wanakata viuno wakati hiyo rasimu ya sita haijaja kwa wananchi?

Wanawake ni majanga kabisa wala hujakosea mleta mada,hawa ndiyo wanaokwamisha harakati za kuwang'oa mafisadi madarakani kwaajili ya ujinga wao.Natamani kungekuwa na sheria ya kuwakataza wanawake kushiriki siasa (kupiga kura) ili haya mafisadi yakose mahala pa kujiokolea!!Japo si wanawake wote!

Mwanamke shupavu na jasiri ni Salma said ambaye amepiga hapana.
 
Nadhani anamaanisha zaidi ule ushangiliaji ulioonekana. Infact wanawake walio wengi hasa viti maalum huwa wapiga makofi,wazomeaji na waitikiaji wa ndiyoo!

Tuko pamoja. Hiyo inatokana na namna walivyopata hizo nafasi za viti maalumu.Fadhila zinalipwa kwa kupiga makofi, kuzomea, ikibidi hata kwa mipasho.Chimbuko la yote: mfumo dume...
 
Mmh jamani hamuwi fair, yaani hizi kura zote za ndiyo ni za wanawake? Haya hao wanaume waliokuwa na nafasi kubwa ya kuweza kuifanya rasimu hii isipite wamefanya nini kama sio juhudi kubwa waliwekeza kuhakikisha kuwa inapita?
Hebu msimalizie hasira zenu kwa hao wanawake bwana, wachunguzeni kwanza hao kaka zenu mliowapa madaraka.
 
Wanawake ni majanga kabisa wala hujakosea mleta mada,hawa ndiyo wanaokwamisha harakati za kuwang'oa mafisadi madarakani kwaajili ya ujinga wao.Natamani kungekuwa na sheria ya kuwakataza wanawake kushiriki siasa (kupiga kura) ili haya mafisadi yakose mahala pa kujiokolea!!Japo si wanawake wote!

nasikia kuna nchi zingine hawaruhusiwi hata kuendesha magari, noma sana wanawake hawa.
 
Mmh jamani hamuwi fair, yaani hizi kura zote za ndiyo ni za wanawake? Haya hao wanaume waliokuwa na nafasi kubwa ya kuweza kuifanya rasimu hii isipite wamefanya nini kama sio juhudi kubwa waliwekeza kuhakikisha kuwa inapita?
Hebu msimalizie hasira zenu kwa hao wanawake bwana, wachunguzeni kwanza hao kaka zenu mliowapa madaraka.

Dina, wanawake wanawaangusha, hawakuwa na sababu ya kunengua vile kwenye issue serious kama hii hata kama nasimu yao imepitishwa.
 
Dina, wanawake wanawaangusha, hawakuwa na sababu ya kunengua vile kwenye issue serious kama hii hata kama nasimu yao imepitishwa.

Aah bro..sasa wale wanaume wahitimu wa twanga waliojitoa ufahamu kuliangusha bungeni wao mmewasapoti? Tukubali tu kuwa wawakilishi wetu wametuangusha kwenye suala zima la Katiba, bila kujali kama ingeweza kuwa mhimili mwema kwa miaka hamsini ijayo; si wanaume wala wanawake.
 
Mwanamke shupavu na jasiri ni Salma said ambaye amepiga hapana.

Umenena maneno maneno saba yenye akili.Kwa kweli bila kuzungusha Salma Said anastahili pongezi.Hakusubiri kuwezeshwa ametenda kulingana na mawazo yake huru.Ni wale wanawake wachache wanaohitajika leo kwa ajili ys kutetea Taifa lao kutoka kwa hawa mchwa wanaolimaliza.
 
Back
Top Bottom