Yaliyojiri bungeni Dodoma: Alhamisi tarehe 11 Septemba, 2014 - Kikao cha 38

BungelaKatiba2014tz

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2014
Posts
1,231
Reaction score
649
Majadiliano ya Taarifa za Kamati za Bunge Maalum la Katiba yanaendelea leo tarehe 11/09/2014.

=====

 
Reactions: gsu
Duh, hawa misukule hawajui kusoma alama za nyakati au wanatufanyia makusudi?, Rasilimali zetu chache zinaendelea kufujwa kwa ishu ambayo iko wazi kuwa haitakuwa na tija.
 
Mchangiaji kwanza ameanza na ibara iliyotawala mjadala siku ya jana ya Uraia Pacha. Pia amesema Mbunge lazima awe na angalau elimu ha kidato cha nne
 
Edit heading yako kaka, leo ni tarehe 11 Sept.....
 
Madamu UKAWA wamekubaliana na Mkuu wa nchi na kuona Bunge liendelee , sidhani kama sisi tunaweza kusema lisiendelee. UKAWA na Rais ni wawakilishi wetu katika hilo, hatuna budi kukubaliana nao
 
Pamoja na Uzuri wa Uraia Pacha, lakini Chonde Chonde, Katika Uraia huo Pacha, kuwe na kipengele kitakacho sema kua, ili Raia Pacha awe kiongozi, lazima awe raia wa kuzaliwa Tanganyika au Zanzibar kwa Uasili wa Wazazi wake Wote au angalau Mmoja.

Wasiwasi wangu isije tukajikuta, Bunge lote limejaa Wachina na Rais wa Tanzania ni Mchina Mheshimiwa Hu jin che
 
Ahsante kwa tarifa mkuu endelea kutujuza kila kinachojiri pamoja sana.
 
Madamu UKAWA wamekubaliana na Mkuu wa nchi na kuona Bunge liendelee , sidhani kama sisi tunaweza kusema lisiendelee. UKAWA na Rais ni wawakilishi wetu katika hilo, hatuna budi kukubaliana nao

Naungana na wewe kwa dhati kabisa tunasonga mbele mungu awe na sisi.
 
Mahakama ya Kadhi bado ni agenda kuu kwenye majadiliano haya, busara , kuvumiliana lazima vitawale katika hili.
 
Najiuliza hii katiba isipopatikana hawa wajumbe waliomo humo ndani watatuambia nini.......maskini Tanzania na Watanzania wake.
 
Umenena points sana.
Uraia pacha unaweza kuturudisha utumwani tukawa na makaburu kama wa kule South wanaojiita wazawa
 
Ni dhahiri uwakilishi wa wanawake, watu wenye ulemavu katika Bunge la jamhuri ya Muungano na vyombo vingine vya maamuzi vimepewa uzito sana katika mijadala na niseme tu kwamba ibara hizi zitaungwa mkono takribani na wabunge wote.
 
Hivi nyie huko dodoma mnajuwa kuwa mnatukera sana?
Haki ya nani ngoja tuje huko na bakora tu ndo mtaelewa kuwa tumewachoka.
Mnakula pesa yetu for nothing.......... grrrrrrp!!!!!!!!!!
 
Hivi nyie huko dodoma mnajuwa kuwa mnatukera sana?
Haki ya nani ngoja tuje huko na bakora tu ndo mtaelewa kuwa tumewachoka.
Mnakula pesa yetu for nothing.......... grrrrrrp!!!!!!!!!!
Mimi nawajuza kinachoendelea jamani, suala la ni halali Bunge liendelee au la nadhani tungewauliza UKAWA waliokutana na Rais na kukubaliana liendele, huwenda wameona kuna sababu za msingi kwa Bunge kuendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…