Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha haha ha ha ha ha ha ha! Mkuu nikipata mda wa kumsogelea nitamuuliza atwambie vema maswala anayotaka....wakuu' "Simiyu Yetu" na "Chabruma" naomba nyie mlio karibu na huyu bibie! MUULIZENI! "Amina, amesema yeye AMEACHIKA na ataki kupoteza muda, yeye anataka MASWALA! maswala gani hayo?
kbm,Mkuu' Ninamkubali "Mh. Sammuel John Sitta" ana jiamini achokifanya na anachokitamka; kwa mfano jana' "alipotamka' kuwa, ATASAIDIA KUWASHUGHULIKIA WANAOTAKA KUUVUNJA MUUNGANO" kauli hii ili wakera Wazanzibar wenye asili ya kishombeshombe (WAARAB), "kumbuka kauli hii alitoa kabla ya kupigwa kura za M/kiti, na bado akapata kura nyingi na kumpita mbali mpizani wake aliyesema yeye ana UJUZI WA KUUZA MAGARI, aliyepata 12.3%
Mkuu kama unaumri kati ya miaka 25-35 lazima awe mama wa kukuzaa jaribu kulinganisha sasa.Mimi nasikiliza kwenye radio ... ameachika lakini anaonekanaje ki mtazamo sura, shepu na umri
Kweli amehudumu kwenye wizara kwa mda mwingi anauzoefu wa kutosha kabisa.Kiukweli namfagilia sana huyu mama. Anajiamini sana na labda uzoefu wake kwenye serikali unamfanya ajiamini sana
Wanawake hawa wote wanajiamini na nimewapenda majibu yao ni short and clear!wametuwakilisha vema wanawake
Mkuu, kwa bahati mbaya ni kwamba hajatuambia kwa nini aliachika. Labda ni baada ya kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalum maana wakati wa semina kuna mbunge mzanzibari alisema kuwa kwa zanzibar ukiwa mbunge basi unahatarisha ndoa yakoMpunguze kuachika
Naaam namuona mtikila akipiga kura
Naaam namuona mtikila akipiga kura