Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumanne, Tarehe 11 Machi 2014

Mtikila leo asubuhi wakati wa kupitisha kanuni za Bunge maalum asimama na kumtaka M/kiti wa muda Bunge maalum la katiba,A.Kificho ampe nafasi ya kusema.Amwambia anambagua,hamtendei haki.

Ametengeneza mazingira ya kumtisha mwenyekiti ajaye ili ampe nafasi ya kuzungumza kila atakapoihitaji.
 
Sidhani kama ni sawa kwa bunge kufanya kazi kwa saa moja tu na kufungwa!

Bunge leo lilianza saa tatu na wajumbe wakakubali kupitisha kanuni zitakazotumika..

Cha kushangaza saa 4 kasoro bunge limeahirishwa hadi kesho saa 10 jioni!

Mwenyekiti Pandu Ameer Kificho alitangaza kwamba kesho ni uchaguzi wa mwenyekiti wa kudumu, hivyo wanaotaka kugombea wakachukue fomu kwa katibu wa bunge.

Upotezaji wa muda

Hivi kwa nini wajumbe wasingechukua fomu leo kuanzia saa 4 na jioni saa 11 uchaguzi wa kumpata mwenyekiti ukafanyika?

Na kesho asubuhi wakamchagua makamu mwenyekiti?

KWA NINI WANAAMUA KUPOTEZA MUDA HIVYO..
Wanapokea laki 3 kwa kazi ya saa 1 kweli..

Hii ni DHAMBI.
 
mwenyekiti anawapa nafasi sana wanasiasa, kama bunge lao wakati kuna makundi mbalimbali. bntutaendelea kuona meni kwenye bunge hilki la katiba ya mipasho.
 
Hivi hao watu hizo kanuni bishani zinawashinda kuelewana kivipi? mpaka sasa nimesha loose trust na wanachokifanya huko bungeni. Hawa watu waoga si sijui kwa nini huwa wanapata bahati ya kwenda huko bungeni
 
Pindu Ameir Kifiro kanisikitisha, kamnyima Mtikila HAKI ya kuchangia.
 

Kufumba macho si kukwepa ngumi ya usoni...
 
Mtikila leo asubuhi wakati wa kupitisha kanuni za Bunge maalum asimama na kumtaka M/kiti wa muda Bunge maalum la katiba,A.Kificho ampe nafasi ya kusema.Amwambia anambagua,hamtendei haki.

Ni kweli, mwenyekiti amekuwa akiwapa kuzungumza walewale, Lipumba, Mbowe, pinda, Ana Abdallah, mbatia,Werema, Lukuvi, wengine hawapi kabisaaa... HATENDI HAKI, HIVI KAMA LEO KAAHIRISHA BUNGE SAA 4 SI ANGEWAPA WAJUMBE NAFASI HATA MPAKA SAA 5.

NAsema hafai kabisaaa...
 
Maana yangu ni kuwa kama tatizo ni muda bac angeruhusu watu waongee hadi hapo muda utakapokuwa umekwisha. Kusema muda hautoshi wakati kikao kimefungwa karibu masaa matatu kabla ni uongo wa wazi. So guy you are trying to divert the point.
 
Hivi hao watu hizo kanuni bishani zinawashinda kuelewana kivipi? mpaka sasa nimesha loose trust na wanachokifanya huko bungeni. Hawa watu waoga si sijui kwa nini huwa wanapata bahati ya kwenda huko bungeni
Mkuu, labda ni katika kuleta maridhiano maana kama wakiamua iwe ya siri au ya wazi, ni wazi kuwa watakuwa wamevurugana
 
Hivi huko Dodoma nini kinaendelea mpaka sasa hivi?
 
Mtikila leo asubuhi wakati wa kupitisha kanuni za Bunge maalum asimama na kumtaka M/kiti wa muda Bunge maalum la katiba,A.Kificho ampe nafasi ya kusema.Amwambia anambagua,hamtendei haki.

Mbona unaandika juu juu tu utadhani watu wote tumeona hilo tukio husika
 
Swali ndiyo hilo wadau bunge limepitisha kura gani SIRI au WAZI maana kanuni zimeshaa pita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…