IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,317
mimi nahisi mkuu wa kaya atakuwa amewatuliza ccm hapo dodoma waachane na hizo propaganda za kura ya waziMkuu, kama wamekubaliana hivyo ni jambo jema kuliko kuendelea kusuguana kwa jambo dogo kama hili la kura.
Mkuu Chabruma Asante kwa up dates
Siku zote tukiacha uongo ujitanue nasi pia tutaonekana waongo.
Ebu tuache kukubali uwongo utuongoze, Huyu Simiyu Yetu ni mjumbe kweli wa bunge maalmu la katiba?
Pili aliemteuwa ni nani?
Tatu aliemteua alizingatia vigezo gani?
Nne Simiyu Yetu anastahili kweli?
Tano mjumbe wa bunge maalumu la katiba anapata wapi muda wa kubishana humu jamvini wakati vikao vikiendelea?
Pia tukimpima uwezo wake wa kufikiri kupia the way anavyopost
humu ndani nadhani jibu lipo wazi
Napenda kudeclare interest kuwa sina ugomvi wowote na Simiyu Yetu wala chuki binafsi/wivu.
Unataka nikisimama niseme kuwa mie ndiyo simiyu yetu?we mbona huungi mkono hoja uatachangia lini katika bunge hili?
Mkuu, sina hakika na hilo?Naunga mkono hoja! Jana nilisema kama Simiyu Yetu ni mjumbe wa bunge hili ni aibu kwangu kuendelea kujiita Mtanzania. Ndugu Chabruma una uthibitisho mwingine zaidi ya maneno ya Simiyu Yetu? Ukithibitisha naanza harakati za kuusaka uraia wa nchi nyingine kuliko kutungiwa katiba na watu aina ya Simiyu Yetu. Ni bora kwenda hata Somaliland.
Jusa anaeema kuwa maslahi ya Zanzibar na yatalindwa. Uwepo wa theluthi mbili kwa Zanzibar katika kufanya maamuzi ni ishara tosha kuwa Zanzibar inaheshimiwa
Ndiyo sindiyo uwazi wenyewe mnaoupiganiaUnataka nikisimama niseme kuwa mie ndiyo simiyu yetu?