Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spika Makinda atatoa utaratibu kuwa Lisomwe kwanza Azimio, wabunge waridhie, watoe maoni yao namhatimaye wapige kura. Utaratibu umepokelewa na sasa amwenyekiti wa Kamati ya Kanuni anasoma Azimio
Yote kwa yote tunamshukuru mkuu Chabruma kwa kazi nzuri humu Jamvini.Mkuu ni kwanza aChabruma
sante kwa kazi nzuri unayoifanya ya kutujunza kinachoendelea toka Dom, Pili kuwa mwawazi tuu na ukubali kuwa wewe ni mmoja kati ya wageni wanaokaa viti vilivyopo pembeni/nje ya wajumbe wa bunge maalumu (maalumu kwa wasikilizaji)
Juzi nilipokuambia kuwa wewe sio mmoja kati ya wajumbe ulinibishia, japo kuwa mbunge wa kuteuliwa na JK is not an ensue.
Kwa wale wanaojua kusoma picture (photo graphic/ photo rider) wanaelewa kuwa mleta mada, kwa kusoma picture hizi yupo ndani au nje ya ukumbi ?
![]()
Dana dana hzo mpaka lini?Mwenyekiti wa Kamati ya Kanuni anasema kuwa suala la upigaji kura linaendelea kushughulikiwa na litawekwa kwenye kanuni husika baada ya kushughulikiwa