mshumbue-soi
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 1,842
- 1,148
fafanua ni raia mwenzako wa Tanganyika au zenjibar????
Lukuvi anaongea sasa
Kuna mbunge anasema kuwa wazo la Oluoch ni jema ila lina tatizo pia. Badala ya kutumia kura ya siri kuamua aina ya kura itakayotumika, mbunge anapendekeza ipigwe kura ya wazi kuamua ama kura ya wazi au ya Siri itumike
Naona olesendeka anakimbia