hapo kwenye kura ya siri lazma ccm wasilie tena olesendeka amekimbia
Mkuu, hilo la kupigana halipo. Nipo hapa ila watu wanataka kutetea misimamo ya vyama vyao
Naska neno b.weg.e
Mwalimu Ezekiel Oluoch anapendekeza ipigwe kura ya Siri ili kuamua aina ya kura inayotakiwa.