Mwenyekiti anaeleza kuwa kwa vile kamati ya mashauriano inaendelea na kazi yake, ni wazi kuwa mwenyekiti wa kamati asingesema zaidi ya yale aliyosema. Anasema kuwa nakala za kanui hizo zitapatikana kuanzia saa 9 Alasiri. Anasemamkuwa kazi ya kikao cha jioni ni kuridhia kanuni hizo kwa tamko litakalosomwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kanuni. Kwa sasa Mwenyekiti anasema kuwa kwa sasa bunge halina cha kujadili