Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 10 Machi 2014

Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Jumatatu, Tarehe 10 Machi 2014

Kuna mbunge anasikika akitumia neno -----.Hapa tunapotezeana muda tu..hakuna kinachoendelea..
 
Jamani mliofatilia bunge la katiba kuna mjumbe ametukana sana mpaka nikashangaaa

~Tena kwa kusikika eti anamuita mwenzake "ili ----- kweli, wee kaachini bwegweee kweliiiii"

~Sasa sijui alikuwa namtukana nani, kwani mwenyekiti ndio alikuwa naongea
Na sijui mjumbe gani

Bunge limehairishwa sasa
 
Lakini kwanini Wabunge waitane Mabwege? Ningekuwa mimi ningefuatilia hakika na mkufunisha adabu......haya mambo yana tia kinyaa!
 
Hawa wahuni wa CHADEMA watuharibia bunge letu
 
Tayari nimepoteza imani na mchakato mzima kutokana na maamzi kuhodhiwa na watu wenye kujiona wao ndio wenye haki ya kuamua.
 
Kuna mjumbe anasema we ----- sana ,k**a wewe! Unadhani tumekuja kucheza hapa! Hili bunge linahtaji al shabaab wa westgate wale. Walipuliwe tu tumechoka
 
Na wewe pia ni mshenzi na muhuni mkubwa kumbe mnatambuana mburulas
 
Sitaki tena kumwamini mwenyekiti, anapendelea wale wabunge wa siku zote na kuwaacha kabisa wawakilishi wetu wasio wabunge kama Mwalimu Oluwochi. Aise!
 
Bunge linaahirishwa hadi saa 10 jioni ambapo watakuja kwa utaratibu wa Bunge Maalum la Katiba. Wabunge wameambiwa wavae kwa utaratibu wa kibunge
Huu ni uhuni wakiendelea na
Utaratibuu huu wa funika kombe mwanaharamu apite bunge halitafanikiwa! Mwenyekiti anaendesha seminar kwa maelezo ya watu, bcz alikuwa tayari kuwapa nafasi wabunge wachangie then akaletewa kikaratasi na muhudumu, ghafla anasema anahahirisha bunge...
 
Lakini kwanini Wabunge waitane Mabwege? Ningekuwa mimi ningefuatilia hakika na mkufunisha adabu......haya mambo yana tia kinyaa!

kwani uongo wabunge ccm wengi si mabwege. Wakitishiwa kufukuzwa chama wanafyata ulimi.
 
Bunge linaahirishwa hadi saa 10 jioni ambapo watakuja kwa utaratibu wa Bunge Maalum la Katiba. Wabunge wameambiwa wavae kwa utaratibu wa kibunge
The word 'b.w.e.g.e' sounds relevant kwetu kwa maana ingekuwa kwenye watu makini wakianza kuongea masuala nyeti kama haya hawaendi hata lunch na wanaweza kukaa hadi usiku wa manane. Sisi dakika tano, "tunaahirisha bunge...". Inachosha na kuaibisha sana.
 
Ndo maana huwa sitaki kuwa mpuuzi kwa kujifanya mwanachama wa CCM.
Huwezi kwenda against na mawazo ya wananchi ambao wamewapeleka Wabunge kuwawakilisha. Ikiwa wananchi tayari wanaonesha ktk kura za maoni wanataka serikali tatu, nashangaa kitu gani kinawafanya (Wabunge) wawe na msimamo tofauti na huo vile vile nahisi kura ya wazi ni mpango mahsusi wanaoupanga ili kuhujumu matakwa ya wananchi na kuingiza matakwa ya chama chao (CCM).

Kuna mtu aliwahi kusema kuwa ukiwa na ugonjwa wa uchizi ni heri ufe lakini kuwa Mwana CCM ni heri uwe mzoga......Sasa naamini alichokuwa anamaanisha.
 
bunge la katiba kwanza limechelewa kuanza,alafu kamati iliyochaguliwa imeshindwa kabisa kueleza wazi uamuzi utapitishwa kwa kura ya namna gani, kwa maoni yangu ni bora wapige kura eliyozoeleka ya siri kuamua ni kura ya namna watakuwa wanaitumia. vinginevyo ni kuwaogopa ccm

ni wazi hii ni katiba ya ccm na si ya watanzania. ni ajabu ccm kuogopa kura ya siri kwa kuwa anaamini wafusi wake japo walilishana yamini lakini hawajiamini kwan watu mamboleo hawaamini ushirikina wao ccm. ila all in all tujiapage kuikataa ccm iwapo itatuangusha kt suala la katiba mpay
 
Hii kula ya wazi kwa nani? Yule Mbunge wa Singida anayekaa sana karibu na Lowassa anaonekana yale aliyokuwa akisema ya kula ya wazi hata nafsi yake inamsuta. Dawa ya hawa wabunge sasa hata mambo yao yawekwe wazi. Mikataba mbalimbali ya serikali kwenye Bunge letu la Muungano ilikuwa ya siri leo kuamua jambo liwe wazi. Huku Pinda Akihimiza Mjumbe yeyote atake pinga kura ya siri basi atanyang'anywa kadi ya chama ( CCM). Je Maswali ya kujiuliza CCM wanataka nini?
 
Kama wanataka uwazi isiwe tu kwenye upigaji kura bali kila kikao including vikao vya kamati viwe wazi. Si wanataka wananchi waone wanawakilishwa vipi? Basi kila kitu kiwe wazi.
 
Ni wazi Bunge limekushinda. Huwezi kushawishi wajumbe kubadili misimamo ya vyama vyao. Huna nguvu yoyote ya kimaamuzi.Jiuzulu sasa ulinde heshima yako
 
Back
Top Bottom