Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Team picha hizo hapo za chato leo.
 

Attachments

  • chato 1.jpg
    90.6 KB · Views: 298
  • Chato hiyo.jpg
    87.9 KB · Views: 285
  • Chato.jpg
    84.9 KB · Views: 301
  • Lowasa Chato.jpg
    90.6 KB · Views: 307
Sawa mnatuonesha watu kwenye mikutano yenu, swali ni je wamewaelewa mnachowaambia, na mnauhakika kua watawapigia kura???
 
si watu wa chato tu hawana ubaguzi ni wasukuma na wanyamwezi wote hivyo tusitegemee magufuli kupata kura nyingi eti magufuli msukuma ila ar na kil yote kwa lowasa wale hawakopeshi
 
MAMAMAAAAAAAAAAAAAAAAA

DADEKIIIIIIIIIIIIIIIIII

MWALIMU WANGU LECTURER WANGU KIPENZI AKA DR BENEDICTO LUKANIMAAAAAAAAAAA
MBUNGE ANAYE SUBIRI KAPISHWA MAPEMA SANA NTAMUONA LEO CHATO WEWEEEEEEEEEEEEEE LOWASSA JUUUUU u
 
Safari hii mtu mzima ananyweshwa dawa na mgonjwa. Inapendeza sana.
 

Umesema maneno kuntu.
 
Hatuwezi kuwapa nchi Mafioso Mafisadi Unity MMU.
 
Bhulagagaaaaaaa,Lowasa mpaga gukaya iswe,

Harafu kuna mapimbi yanaeneza propaganda eti changueni Msukuma mwenzenu kwamba hata ukiwa na shida ni rahisi kwenda chato na kumweleza!!!! Bhanywano bhataleπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Picha hazipigi kura, jifunze

Umemaliza Kila Kitu Mkuu Asipokuelewa Anafanya Makusudi Tu. Asidhani Kuwa Wote Hapo Ni Watu Wa UKAWA Kwani Kuna Matahaira Vile Vile Wasioweza Kupiga Hata Kura Lakini Kama Haitoshi Na Kuna Wasiojiandikisha Kupiga Kura Na Kwa Kumalizia Tu Kuna Wengine Ambao Hujitokeza Kuja Tu Kuwaangalia Hao MAFISADI Na MAJIZI ( Lowassa Na Sumaye ) Ya Tanzania Yalivyo Ili Siku Ya Kupiga Kura Wawachinje Vizuri Na Wampigie Kura MZALENDO Na KIPENZI Cha Watanzania Wanaojitambua Dr. John Pombe Joseph Magufuli.
 
Harafu kuna mapimbi yanaeneza propaganda eti changueni Msukuma mwenzenu kwamba hata ukiwa na shida ni rahisi kwenda chato na kumweleza!!!! Bhanywano bhataleπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Wasukuma wana akili wanaangalia vigezo na si ukabila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…