Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kumbuka kura ni siri
Siri ya hao waliopigwa na kupiga hizo picha... Kura ni siri HATA KWA CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka kura ni siri
Haaaaaaaaaaaaaaa
Lewelelooooooooo
Watu wa chato hawana ubaguzi kama wale wa kiskazini. Watampokea na kumskiliza. Watu hawa si wale wanabaguana hata huko kwao jijini arusha kwa kuitana Arusha Asili na Arushamoshi. Hii tabia ya watu wa chato inanipa Tumaini kuwa Magufuli atawatumikia watanzania wote bila kuwabagua.
+++++++Jamaa yangu usidanganyike mabadiliko kupitia ccm ni ndoto ya mchana kweupe.. mi mwenyewe mwana ccm lakini kura yangu ni kwa lowasa... ikiwa ccm ilifutilia mbali maoni ya wananchi ktk katiba ni dhahiri kwamba ccm haitakuwa/haipo tayari kufanya mabadiliko yatakayoiumiza. Maana ili ufanye mabadiliko ni lazima ccm iumie kwani ccm inauroho wa madaraka sana...na vogogo na watoto wao wachache wa ccm ndio wanaomiliki uchumi wa nchi na raslimali.
<<<<usishangae jamaa yangu ni kwamba watanzania wameamua kwa dhati na kwa ujumla wao kuiadhibu ccm kutokana na mfumo wake wa kulindana na kuongeza maadui 2 zaidi Ufisadi na rushwa.>>> na kimsingi ukitazama kwa makini lowasa kaachia ngazi za kiserikali toka 2007 miaka 8 takribani lakini ufisadi umeongezeka maradufu kumbe tatizo sio lowasa ni mfumo ccm>>>>>>>>++++++
Picha hazipigi kura, jifunze
Bhulagagaaaaaaa,Lowasa mpaga gukaya iswe,
Picha hazipigi kura, jifunze
Picha hazipigi kura, jifunze
Wasukuma wana akili wanaangalia vigezo na si ukabilaHarafu kuna mapimbi yanaeneza propaganda eti changueni Msukuma mwenzenu kwamba hata ukiwa na shida ni rahisi kwenda chato na kumweleza!!!! Bhanywano bhatale😀😀😀😀