Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Elections 2015 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA/UKAWA, Edward Lowassa

Hv UKAWA mnajitambua kweli?Kila concern yenu ni nyomı,mafuriko.Hata watu wakiwa kumi utasikıa nyomi hatare.Hao watu wa Chato wala si wengı kwa idadi ya ajabu,tungetafuta wangetupa idadi then tukangoja John aende huko ili tufanye ulinganifu.Maneno km hayo yalifanyika Jangwani na Moro.Mnajisıfıa kwa vıtu ambavyo havpo,sema hamhudhurii mikutana ya wenzenu kuona uhalisia.Mlizidiwa Jangwani,Moro na Tabora lakn mkawa mnakazana kuwa mnajaza watu.Hata hvyo mtapata watu kwenye mikutano wenye kiu ya kujiridhsha na uwezo wa mtu wenu kihoja na kinguvu.Bahati mbaya anashndwa kuprove,anawa-disappoint.
Hapo vepeeeeee am so windazi
 

Attachments

  • 1442417941070.jpg
    1442417941070.jpg
    21.9 KB · Views: 1,133
ha ha,halafu nasikia hata hakuongea....

nasikia kahama pia aliwakalisha kuanzi asubuhi mpaka saa kumi na moja,alipotua tu na helcopter akakimbilia kwenye gari na kuwahishwa kunako choo,,,,aliporudi toka chooni akaishia kusema,"ahsanteni sana piiiipo".
kisha huyo kwenye chopa akatimua...
 
mnalipwa bei gani na mzee wenu?
Kungekuwepo na malipo, unafikiri wale wasanii (Aunt na Ray) wangejifanya misukule? Wangebaki na mzee. Wamekuta kumbe hakuna malipo bali ni kwamba wananchi wanajituma na wanataka mabadiliko -liwe jua iwe mvua. Wamelipwa chao na ccm na kujifanya wamerejea nyumbani. Sijui ni lini walikuwa magambas kabla ya hapo!
 
wakuu hapa Geita ilikuwa Elnino ya watu mpaka vipaza sauti zimeshindwa kuhimili na mkutano umehairishwa nina vedio kibaao nashindwa kuweka alie na whatsup anipe namba aweke yeye.

0714729805 nitumie
 
Ukawa huwa wanapaki yao mbali wanaelekea eneo la tukio kwa miguu, CCM hakuna usanii na maigizo tunajiamini tunachokifanya, tupo wazi, kama hapo unaona jamaa wamefika salama kabisa mkutanoni.

Boy,
unaongea kwa hisia tu.
 
Sawa kabisa ukawa.ccm imeua huduma za jamii.maisha bora waliyotuahidi yako wapi.mabadiriko lazima.mbona malawi.zambia na kenyw imezekana.ccm
 
Yaani nchi tumkabidhi fisadi!!hapana haiwezekani

Hakika tumejifunza sana, Escrow na richmond ni za mwenyekiti, tembo ni katibu mkuu...mtibwa sugar,nbc,kiwira coal mine za mwenyekiti mtangulizi; Loliondo ya mwenyekiti wa miaka ileee ya juzi.

Kweli,haiwezekani tena kabisa.Tumechoka,tunataka mabadiliko,,..
 
Duh Lowasa sasa hii sifa mzee wangu,mbona umemuumiza mwenzio nyumbani kwao mbele ya wazazi wake?
 
Jaman tusipoteze muda Lowassa ndio rais wa jamuhur ya muungano anayesubiri kuapishwa
 
Ukitaka kujuwa Magufuli ni mzigo kwa Ccm ni mkutano Lowassa aliofanya Chato leo.
Watu hawamtaki magufuli kila mtu lowassa na mabadiliko.
Ina maana kama Lowassa amepata ushindi mkubwa namna hii nyumbani kwa Pombe nani tena wakumzuia asiingie ikulu.
 
Back
Top Bottom