Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Wewe sema tu wanalinda maiti ya Magufuli.Mkuu hao usione wamesimama tu
Wanaangalia mengi sana hapo
Wanaweza kuona mambo mengi kwa kutazama uso wako tu
By the way wanalipa hera ndefu sana san sana
Acha wasimame tu
AKishazikwa watakuwa wanalamba mshahara flat ambao hauna marupurupu/per diem.Mkuu hao usione wamesimama tu
Wanaangalia mengi sana hapo
Wanaweza kuona mambo mengi kwa kutazama uso wako tu
By the way wanalipa hera ndefu sana san sana
Acha wasimame tu
Walimu pale Mchikichini tuition centre wanasimama kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 12 jioni tangu January mpaka June kwa ajili ya pre form 5. Wanasimama likizo ya mwezi wa 6 na ya wa 12. Hata wewe unawezaWakuu wakati tukiendelea na maombolezo, nimewaza tu na kujiuliza maswali kichwani kisha nkajikuta nipandishe uzi huu.
Tangu nimeanza kufuatlia hili tukio kupitia luninga nmekuwa nawaona hawa jamaa wamesimama pembeni ya mwili kutwa, hii imekaaje kiafya kusimama kutwa tena kila siku au ni mazoezi tu? Anyway Mwenyenzi Mungu awabariki kwa kazi yao.
R. I. P JPM.
[emoji1787][emoji1787]
Kila unayemjua yupo ila Mbowe na Mbatia ndio sijawaona!
Hapana tunataka kujuzwa kwa uzuriSidhani hilo ndio lengo kuu la picha!
Dah noma kweliToka maombolezo yaanze kule Dar moja ya mafanikio ya Marehemu yaliyoimbwa sana ni Elimu Bure kumbe ni Bure Elimu kwani mpaka leo mwenyewe ameshaondoka bado kuna waliomaliza Darasa 7 hawajui kusoma. Miaka 6 ya Magufuli iliyopotea!
AmeeeeenWatu wanaonea wivu mpk maiti. Looh! Haijalishi alikua mbaya au mwema kiasi gani tujifunze kukaa kimya maana hata ukimdhihaki ndo ashakufa hvyoo!