Yaliyojiri: Chato wamuaga Hayati John P. J. Magufuli

Yaliyojiri: Chato wamuaga Hayati John P. J. Magufuli

Akiwa kwenye vazi la jadi la kihadzabe mzalendo huyu halisi amemsindikiza Hayati John Pombe Magufuli kwa kutuma ujumbe wa Uzalendo.
Huyu tapeli wa lumumba tangu dar yupo afu mwanza ameletwa uwanjan na vx kali Sana anajifanya mnyonge kuvaa kimaskini kifua wazi kumbe tapeli bepari
 
Bwashee tupe update ya viewers wa leo ,vipi wameshafika Bilioni 6?

GBADOLITE.jpg
 
Just imagine watu elfu tatu
Ngoja waje wazee wa exponential utafurahi
 
bwashee mbona nyumbani kwa mpendwa wetu Chato, wanyonge hawalii na kugaragara chini kama huko walipotoka??

halafu pia wanyonge hao ni wachache foleni inaenda kwa kusuasua kusubiri watu!.
 
bwashee mbona nyumbani kwa mpendwa wetu Chato, wanyonge hawalii na kugaragara chini kama huko walipotoka??

halafu pia wanyonge hao ni wachache foleni inaenda kwa kusuasua kusubiri watu!.
Bwashee ulitaka watu wasiishe

Hapa Chato utaratibu ni mzuri sana leo ilikuwa ni siku ya wananchi pekee kutoa heshima za mwisho kuanzia mapema asubuhi!
 
Back
Top Bottom