Kuna uwezekano wa kusogeza mbele ratiba? naona kuna fununu hizo.Hope ratiba bado ile ile ili kesho tumalize ama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna uwezekano wa kusogeza mbele ratiba? naona kuna fununu hizo.Hope ratiba bado ile ile ili kesho tumalize ama?
Toka maombolezo yaanze kule Dar moja ya mafanikio ya Marehemu yaliyoimbwa sana ni Elimu Bure kumbe ni Bure Elimu kwani mpaka leo mwenyewe ameshaondoka bado kuna waliomaliza Darasa 7 hawajui kusoma. Miaka 6 ya Magufuli iliyopotea!Picha kwa niaba tusio jua kusoma
Pole sanaRip jpm.nimeumia kweli
Walianza kuweka watu ndani kwa kusherehekea kifo.kama siyo kuogopa watu wangelijimwaga ungeliona maajabu ya furaha
Msibani Chato: Aliyeongoza familia kutoa heshima za mwisho ni mtoto wa kiume wa marehemu, Michael Magufuli.
Nani alimfuata Yesu katika mitume wake? Zaidi ya Judah ambaye alikuwa msaliti wake?Mlimpenda mpaka Kumuita Mheshimiwa Mungu! Nabii, Yesu, sasa utaachaje kuambana na Mh. Mungu? Mimi ningelikuwa nam-perceive Jiwe kama mungu ningelimfuata hata kwa kujiua!
Mazoezi kama yote yapo hapobaunsa!!!
Hivi si nilisikia yuko kwenye comma! Je wamemweleza? Namuonea huruma sana yyle mama kuzika wanayeMpe pole sana bibi. Kwa kuondokewa na mwanae
Mayanga Construction.Huyu rais wa wanyonge amekufa akiwa na utajiri wa kufuru.
🤣🤣🤣🤣yaan wewe na imhotep mm nawagawaaaaaa...hahahahhaaa..kwamba mnanyimwa uhuru wa kujispoil🤣🤣🤣Mjitahidi basi hiyo kesho mumpumzishe mapema ili maisha yaendelee. Maana kwa sasa hata sherehe tu, haturuhusiwi kufanya kwa sababu ya huo msiba.
Sijaingia huko..duh lini hiyo kakata🔥Kigogo amesema na yeye kakata moto.
Sijaingia huko..duh lini hiyo kakata🔥
Msibani Chato: Aliyeongoza familia kutoa heshima za mwisho ni mtoto wa kiume wa marehemu, Michael Magufuli.
Isije kuwa anapigania uhai maana ni hatari ,dunia haitaki majilabu na majigambo naskia kuna msiba hapo hapo ,haijulikani ni kweli ,CCM jifunzeni kuishi na watu kwa kufanya mambo ya kutenda haki epukeni zuluma,hapa si Ulaya ,tunamtegemea Mungu na kwake tunamshitakia halafu unakuta dua za wenye kuzulumiwa hazina pazia,mashee wetu wapo jela nao tunaomba aliewaweka jela arudishe namba haraka ,hapa si Ulaya.Katibu Mkuu Kiongozi yupo Chato? Sijamsikia kakangu yule.