kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,058
- 3,613
Ila nyie photographer sometimes mnaboa nimeona picha moja mmemuedit hayat kwenye picha kawa mweupeeee wakat ana rangi yake tu ,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wanyonge ni kina nani? Ninani huyo alie fanya wawe wanyonge?Rais halisi wa Wanyonge kaondoka
Sidhani hilo ndio lengo kuu la picha!Picha kwa niaba tusio jua kusoma
Je, ndio maana ni wa wanyonge, yaani share ya wanyonge ameichukua yeye?Huyu rais wa wanyonge amekufa akiwa na utajiri wa kufuru.
Awo wanyonge niakinanan??? Ninani uyo alie Fanya wawe wanyonge??
Huyu tapeli wa lumumba tangu dar yupo afu mwanza ameletwa uwanjan na vx kali Sana anajifanya mnyonge kuvaa kimaskini kifua wazi kumbe tapeli bepariAkiwa kwenye vazi la jadi la kihadzabe mzalendo huyu halisi amemsindikiza Hayati John Pombe Magufuli kwa kutuma ujumbe wa Uzalendo.
Aliwanyonga kweli kweli wanyonge na ukifungua mdomo unapotea au unapata kesi isiyo na dhamana.Je, ndio maana ni wa wanyonge, yaani share ya wanyonge ameichukua yeye?
Ekari 1,000 za ardhi Biharamulo.Mayanga Construction.
Mbaya wangu aliyemuua mwanangu Ben akifa nashangilia. This is the truth inside meWalianza kuweka watu ndani kwa kusherehekea kifo.
Namwelewagawana JF
Kwa nafasi ya
Makamu wa Rais...
Acheni wivu huyo ni mtumishi wa muda mrefu serekalini uwaziri miaka 20 bado nyuma ya hapo...Ekari 1,000 za ardhi Biharamulo.
Acheni wivu huyo ni mtumishi wa muda mrefu serekalini uwaziri miaka 20 bado nyuma ya hapo...
hv vichwa vyenu mmepewa kwa ajili ya kudangia tu!!??
Hivoo?Kama siyo kuogopa watu wangelijimwaga ungeliona maajabu ya furaha
Ben alikuwa mumeo pole sana kakuacha mjaneMbaya wangu aliyemuua mwanangu Ben akifa nashangilia. This is the truth inside me
like father like son!baunsa!!!
Bwashee ulitaka watu wasiishebwashee mbona nyumbani kwa mpendwa wetu Chato, wanyonge hawalii na kugaragara chini kama huko walipotoka??
halafu pia wanyonge hao ni wachache foleni inaenda kwa kusuasua kusubiri watu!.