Yaliyojiri katika Chaguzi Ndogo: Uchaguzi wa ubunge jimbo la Dimani na madiwani Tanzania Bara

Wasishiriki how,wataonekana wanaogopa.
 
Haya pelekeni hoja bungeni ya kutokuwa na imani na Rais ili mumbandue na picha halisi mmeona. Zitto angaikia kukuza chama chako acha kusherehekesha mikutano
 
Wapiga kura wakiamini Wizi ndio unatoa Mshindi,Kuna siku tutalia na kusaga Meno.

Leo tunazungumzia Matokeo ya Uchaguzi huu sio mambo ya hiyo Siku unayoota kusaga meno kwani Tukiwa Vibogoyo kuna Shida gani?

Acha Maneno weka Muziki
 
CHADEMA Wameshinda kukata line [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Wapiga kura wakiamini Wizi ndio unatoa Mshindi,Kuna siku tutalia na kusaga Meno.
Wana zaidi ya hilo? Wao watembelee masoko, misiba JPM ana shughuli nyingi za kuwatumikia wananchi wake. Wao hawana kazi
 
Kwani kabla ya ushindi huu, Dimani lilikua jimbo la chama gani vile? Sasa kabla ya Leo ina maana hao vijana wa Mwanza walikuja pia? Gebwe we!
 
Wewe ulitegemea nani atashinda? Kama yule mwingine alishinda mchana kweupe wakaweka mpira kwapani, sembuse huu mdogo?
Mrudisheni Ben eight o'clock kwanza, hata ma members wenu wamewashtukia! Machadema ovyo kabisa!
 
Mbowe kila kukicha anatajwa kukwepa kodi ya wananchi.

Je nani mwenye akili ataendelea kuamini chadema itakomboa watanzania???


Watanzania wanaipenda nchi yao hawawezi kuikabidhi kwa wakwepa kodi
 
Jamani huku Arusha tayari CCM wameshinda matevesi nasikia na ngarenanyuki pia CCM wameshinda
 
Mwaka 2020 Tutamwomba Mungu ashuke mwenyewe asitume malaika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…