Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 22, 2021. Mahakama yatupilia mbali hoja tatu za utetezi. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 23, 2021

Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 22, 2021. Mahakama yatupilia mbali hoja tatu za utetezi. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 23, 2021

Maamuzi haya yalijulikana toka mwanzo. Anatimiza alichoagizwa. Anachohangaikia ni kitafuta mahali pa kujibanza ili atoe hukumu inayoendana na dhamira yake.

Kibatala na timu yako, nina hakika unafahamu kuwa huyu jahi ni miongoni mwa wale wasiojulikana waliopelekwa na marehemu mahakamani kuvuruga mfumo wa mahakama. Na sasa, hangaya anawatumia.

Lakini msikate tamaa. Endeleeni na mapingamizi kila inapostahili kwani haya yatakuja kusaidia huko mbeleni.

Mbowe, inapowezekana, endelea kuwakataa hawa wasiojulikana waliopachikwa mahakama, japo hata akitolewa huyu, sba atamweka mwingine kutoka kwenye kundi lao. Lakini ni vema waendelee kuwabadilisha ili list yao, umma uifahamu. Na wapo wengi. Ndiyo maana tukipata katiba mpya, na uongozi wenye weledi kuanzia serikalini na bungeni, mahakama inatakiwa kuundwa upya.
 
bac sawa ndugu Jaji tumeukubali uamuzi wako wa leo, naona sasa tunarudi tena Rau Madukani kwa mama Pendo.
 
Jaji kapindua meza,HII kali
Hahahah - mtaelewa tu kwamba hakuna kesi ndogo, kwamba serikali haina ushahidi, ana kwamba mawakili wa serikali na polisi ni watupu kichwani
 
Hii kesi ina hukumu tayari, tangu siku ile ya BBC na Sirro alivyosema walishaamua kumfunga Mbowe.
Nafsi zitawasuta wakimfunga Mh.Mbowe.Ewe Binadamu una khofu ya nini kama unamuamini Mola wako muumba wa nchi na mbingu...??
Ewe Binadamu elewa kwamba Mwenyezimungu hasemi uwongo..."Dhulma haidumu na ikidumu huangamiza"....dalili zipo nyingi na tumeziona.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Maamuzi haya yalijulikana toka mwanzo. Anatimiza alichoagizwa. Anachohangaikia ni kitafuta mahali pa kujibanza ili atoe hukumu inayoendana na dhamira yake.

Kibatala na timu yako, nina hakika unafahamu kuwa huyu jahi ni miongoni mwa wale wasiojulikana waliopelekwa na marehemu mahakamani kuvuruga mfumo wa mahakama. Na sasa, hangaya anawatumia.

Lakini msikate tamaa. Endeleeni na mapingamizi kila inapostahili kwani haya yatakuja kusaidia huko mbeleni.

Mbowe, inapowezekana, endelea kuwakataa hawa wasiojulikana waliopachikwa mahakama, japo hata akitolewa huyu, sba atamweka mwingine kutoka kwenye kundi lao. Lakini ni vema waendelee kuwabadilisha ili list yao, umma uifahamu. Na wapo wengi. Ndiyo maana tukipata katiba mpya, na uongozi wenye weledi kuanzia serikalini na bungeni, mahakama inatakiwa kuundwa upya.
Maamuzi haya yalijulikana toka mwanzo. Anatimiza alichoagizwa
Kwa hiyo humo mahakamani mnatafuta nini?
 
Kuna timu inapigwa magoli lakini mashabiki wake ndio wanashangilia! Mpaka sasa ni 9-1!
 
Mawakili wajitoe tu jaji awahukumu anavyotaka ili nafsi zao zofurahi
 
Leo tarehe 22/11/2021 kesi ya Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe inaendelea baada ya kuahirishwa siku siku ya Ijumaa, tarehe 18 Novemba, 2021.

Kujua kesi ilipoishia, soma: Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 18, 2021. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 22, 2021

Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.

=========

UPDATES:

JAJI AMEINGIA MAHAKAMANI


Kesi imetajwa..

Wakili wa Serikali Pius Hilla Anatambulisha Jopo la Mawakili wa Serikali

Esther Martin
Nassoro Katuga
Jenitreza Kitali
Tulimanywa Majige
Ignasi Mwinuka

Wakili Peter Kibatala anatambulisha Jopo la Mawakili wa Utetezi

Nashon Nkungu
John Malya
Dickson Matata
Seleman Matauka
Sisty Aloyce
Maria Mushi
Khadija Aron

Jaji anaita Majina ya Washtakiwa wote wanne,

Wanaitika

Wakili wa Serikali Pius Hilla: Shauri limekuja kwa ajili ya Kupokea Uamuzi na Tupo tayari Kuendelea na Shauri..

Kibatala: sisi pia Mh Jaji Shauri lilikuwa kwa ajili ya Uamuzi Mdogo kwa Ruhusa yako tupo tayari Kuendelea na Shauri

Jaji anaandika Kidogo

Jaji: tarehe 18 November Mahakama hii ilihairisha Kesi hii wakati Shahidi akiwa anatoa Ushahidi Wake

Mahakama inatoa Uamuzi kama ninavyosoma Sasa. Wakati Wa Shauri Hili Dodo Shahidi alikuwa anatoa Ushahidi Kuhusu Kuchukuliwa Maelezo ya Onyo

Shahidi aliomba kutoa Kielelezo ambacho ni Detention Register ambayo alitumia Siku anawapokea Watuhumiwa Namba 2 na Namba 3. Walipo fikishwa kwake na Shahidi namba 1 na Shahidi namba 4. Kwa Maana ACP KINGAI na ASP Jumanne, Wakati anakitoa, Upande wa Utetezi walipinga

Kwamba 1. palikuwa hakuna Disposal Order 2. Mahakama ilikuwa inazuia kwa sababu ilishakijadili Functus Officio 3. KWA issue Estoppel Kwamba Jambo ambalo Limeshajadilowa Mahakamani Upande wa Mashitaka Wanazuiwa Kurudisha tena Mahakamani

Upande wa Utetezi waliwakilishwa na Jeremiah Mtobesya na Peter Kibatala, Kwa Upande wa Mashtaka Waliwakilishwa na Abdallah Chavula na Pius Hilla. Kwa Kutokurudia Mahakama itazungumza Kwa pamoja Hoja zote.

Jaji: Kwa kuanza Upande wa Utetezi walisema Kwamba Hakuna Disposal Order Kwa kupitia Kifungu cha 353, Wakasema Kwamba Kwa Mahakama Kutoa Kielelezo ni Njia Pekee ya DISPOSAL ORDER, Na Kwamba Kielelezo ambacho Kinaombwa Kuingia kilishatolewa Mahakamami na Kutolewa

Na Kwamba Jaji alikwepo au aliyemrithi hakuna Sehemu yoyote ambayo wametoa Mahakamani Disposal Order, Na Kwamba suala la Kutoa Kielelezo Mahakamani linatakiwa Kuwa Shirikishi na Lifuate Taratibu za Utawala na tatu lazima Utoaji wa Disposal Order Ufanyike kwenye Mwenendo wa Wazi

Naibu Msajili Kutoa Kielelezo pasipo Amri ya Mahakama, Ni Kukiuka Misingi na wakaomba basi Mahakama Isipokee. Wakasema haitoshi Palipaswa kuwa na Register Ya DISPOSAL Ambapo kwa Mujibu wa Muongozo wa Jaji Mkuu Unavyosema. Na Mahakama iangalie Katika Muongozo Katika Sehemu ya 4:4

Jaji: Na Hoja ya Pili kuhusu Mahakama Kuwa Funtus officio, Wakiomba kwamba Kwa sababu Mahakama Ilisha toa Maamuzi, Katika kesi Ndogo ndani ya Shitaka Kubwa basi Mahakama Ione kwamba pale ambapo Mahakama Ilisha toa a Maamuzi awezi Tena Kujadili Kuhusu Kielelezo hicho

Na Kwa sababu Mahakama Ilisha letewa Kielelezo hicho na ikakikataa, Na Kwamba Shahidi Namba Moja Alisha letewa na Kwa ajili ya a Utambuzi haijalishi, Wakaomba Mahakama ireje Kesi mbalimbali, Theresia Zackaria Vs Oscar Ukurasa wa Nne, NBC & IMMA ADVOCATE Vs....ya Mahakama ya Rufaa

Issue ya Estoppel Kwamba waliomba Mahakama ione kwamba Upande wa Mashtaka Hauwezi Kuleta Jambo hilo Kisheria, Estoppel Asili yake ni Madai lakini iliingizwa Kwenye a kesi za Jinai, Kwa kesi ISSA TOJO Mbele ya Jaji Mkuu wa wakati huo Jaji Samata,

Alisema Kwamba Kanuni ya Estoppel Ni sehemu za Sheria zetu. Na wakasisitiza Kupitia kesi ya JULIUS MICHAEL Vs JAMHURI. Ambapo Mahakama Ilipolewa na Kufanya Maamuzi. Ambapo Mahakama ili Ombwa Kurejea Kurasa wa 6 Mpaka 9. Waliomba Mahakama Ione kwamba Swala la Upoowa

Detention Register Lilishajadiliwa na alitakiwi Kuletwa Tena Mahakamani. Lengo la Kanuni hiyo ni Kufanya Mfumo wetu wa Jinai Kuwa Mfumo uliokamilika. Na Kwamba Mshtakiwa asiitwe tena Mahakamani. Kulinda Heshima Ya Mahakama na suala la Uchumi..

Kwa Maana hiyo wakaomba Mahakama Kuona kwamba Kanuni ya Estoppel Inaizuia Kuleta tena Mahakamani, Wakaomba Mahakama is Ipokee Detention Register, Na Upande wa Mashtaka Na wao walianza kwa Kupinga, Kwamba Mapingamizi yaliyoletwa yamekosewa yametafsiriwa Vibaya

Jaji: Kwamba suala la Upokelewaji wa Kielelezo ni Vigezo Vitatu vinatumika. Vya Relevance, Competence and Materiality. Kwa Upande wa Mashtaka walisema Kwamba Shahidi alisema wazi ni wapi alipotoa Kielelezo hicho. Hata Maamuzi ya Mahakama Ya wakati huo yalihusu Shahidi Kutokujenga

Misingi na Kwamba Kielelezo Hicho akijawahi Kitamkwa Kwamba ni Incompetent. Hoja ya Pili ilikuwa ni Detention Register ilikuwa inatolewa kwa ajili ya a Utambuzi wakati sasa Kinatolewa Kwa ajili ya Kielelezo. Kuhusiana na Maamuzi ya a kesi ya OSCAR na THERESIA wamesema hawana

Shida na Maamuzi hayo na Kwamba Maamuzi hayo kwenye kesi hii ni Distinguishable. Kwamba Mahakama Iliamua Kanuni ya Funtus Officio ni Kanuni iliyokuwa Inatumika Kwenye Sheria kesi. Kama Kesi ya KAMURI Vs JAMHURI ambapo Kwa Maoni yao wanasema Mashauri hayo ya natengeneza Kanuni kwa

Jinsi gani Kanuni ya Funtus Officio inaweza Kutumika ambapo ni Mashauri yanayo kuwa yamekwishamalizika. Wakaomba turejee Kesi ya THERESIA kuwa Distinguishable. Na tukija Issue Estoppel Walikiri kwamba ni Kanuni za Sheria zetu na Wakapinga kwamba ipo tofauti Kwenye kesi hii..

Wakasema issue Estoppel Inaweza Kutumika Pale ambapo Kesi iliyopo inafanana kabisa na Kesi iliyokwisha, Kwenye Uamuzi wa Mahakama Hii wanasema ujikite katika Shahidi Kushindwa Kujenga Misingi. Na Kwamba Shauri linapswa Kufika Mwisho.. Na Kwa Shauri hili bado haijafika Mwisho

Kwamba Detention Register Ilikataliwa kwenye Shauri hili hili, Na Kwamba Sababu ya a Kukataa Detention Register Ilikuwa haijafika Mwisho na Kwamba Khakuna namna ambapo Shauri Dogo litatengenishwa na Kesi Mama. Issue Estoppel Kama Swala la Kisheria lina Kosa asifa kwa Sababu

Shauri Halikufika Mwisho. Pia haliweI Kuwepo Sababu hata Malengo ya Kwa nini ilikataliwa mara ya kwanza ni tofauti na Sasa. Na suala la Tatu kuhusiana na DISPOSAL ORDER Kama Ilivyo kuwa imesemwa na Upande wa Utetezi..

Jaji: Wamesema Kwamba Amri ya kuachia Kielelezo inatolewa baada ya Shauri Kufika Mwisho. Na Kwamba Kielelezo hakikuombwa Kurudishwa Kwa wenyewe Bali Malengo yalikuwa ni Kukirudisha Mahakamani. Kwamba Malengo yake yameandikwa kwenye Barua hiyo na Naibu Msajili

Na Kwamba wanaomba Mahakama Ione kwamba Kanuni inayohitaji Kuwepo Kwa Amri ya Kuachia Kielelezo Haiwezi Kutumika Katika Shauri hili. Kwa Mujibu wa Kesi ya KONDO GEDE Vs JAMHURI. Inaelezea kwamba Mahakama inaweza Kutumia suala la Mdomo.

Wakaomba Mahakama Ipokee Kielelezo Kwa sababu ambazo wamezieleza. Kuhusiana na Ukweli Kwamba Naibu Msajili hana Uwezo wa Kutoa Kielelezo, Shahidi ameeleza namna gani alipata Kielelezo. Wakaomba Mahakama imuamini Shahidi. Kwa sababu Shahidi anaaminika.

Uombwaji wa Kielelezo Uliombwa Kwa Makusudi Ya Kurudi Mahakamani na Siyo Kurudi kwa Mwenyewe. Kama rejea Ya Kesi ya GANDI, Mahakama itumie Sheria kesi hii. Kwamba Maombi yalikuwa ni Upokelewaji wa Kielelezo. Mahakama ijikite Katika Kanuni za Upokelewaji Wa Kielelezo ambazo ni Competence, Relevance na Materiality. Na Kwamba Maamuzi ya a Mahakama ya lisema kwamba Kielelezo kinaweza Kuna mbwa kwa Njia ya Utawala. Kwa Upande wa Utetezi walipata Muda wa Kufanya Rejoinder. Wakasema Kwamba Kesi Ndogo iliyopo katika kesi Kubwa inajitegemea Kabisa.

Jaji: Kwa Sheria na Utaratibu uliopo pale ambapo Mahakama Unahitaji Kufanya Kesi Ndogo, inaondoka Kabisa katika Kesi Kubwa. Mwenendo Wa Kesi Ndogo katika kesi kubwa ni Suala la Factual Exercise, Suala la Kutafuta ukweli. Kwamba Suala la Kuthibitisha kwamba Maelezo ya Mshtakiwa yalichukuliwa kwa Njia halalali ni Wajibu wa Upande wa Mashtaka Na Upande wa Utetezi wanao Wajibu pia.

Jambo la Tatu ni kwamba Mahakama Ilishawahi Kufanya Kesi Ndogo kwa Mshtakiwa Wa Pili. Na Kwamba Swala la Amri kama ambavyo inatajwa katika Kifungu cha 353 ni Jambo la Msingi katika Kueleza Mnyororo kama. Ulifuta Utaratibu, Wakiendelea Kueleza tofauti kati ya Kesi Ndogo katika kesi Kubwa, na wakaeleza Namna ambavyo Mashahidi wanapewa Utambulisho tofauti. Na Kwamba Kwa Sababu ni Kesi tofauti basi Waliomba Kesi tofauti.

Wakaomba Mahakama ifuatilie na Kusoma Guidelines ambayo imewekwa na Mahakama kuhusu Kushughulika na Kielelezo hicho. Mahakama isome Mwanzo hadi Mwisho Namna ya Mahakama Kushughulika na Kielelezo Hiko..

Jaji: Kwamba Quorum Ya Exhibit Register Inapaswa Amri ya Mahakama Ione Imetolewa na Imetolewa na nani. Na Kwamba Kesi ya DEGE ni Irrelevant. Upande wa Mashtaka Wameangalia Kama Jambo la Kielelezo tu lakini wao wanaangalia Admissibility. Na Kwamba Mahakama inabanwa Kuendelea Kushughulika na suala hilo kupitia Funtus officio. Issue Siyo Conclusivity ya kesi Bali hata Jambo ambalo Lipo Mbele ya Mahakama. Kesi ya Gandhi haihusiani na Kutoa Kielelezo kinyemela na Kesi hiyo ni Distinguishable.

Kwamba Kesi ya Julius Michael na wenzake ndiyo Inajielezea yenyewe, Mahakama Ione inabanwa na Maamuzi yake, Wakaendelea Kusema Hoja walizoleta kwamba Kukosekana kwa Amri ya a Mahakamani, Funtus Officio na Issue Estoppel Kwa sababu hizo Wakaomba Mahakama Ikatae Kielelezo hiko

Na Hizo ndiyo zilikuwa Hoja za pande zote mbili, Na Hoja zote zimenisaidia Kufikia Uamuzi. Siku ya tarehe 19 Mwezi wa September Wakati anatoa Ushahidi Wake Mahakamani aliomba Kutoa Ushahidi Wake Mahakamani. Aliomba Kutoa Kielelezo hicho.

Jaji: Shahidi Aliomba Kutoa Kielelezo hicho, Maombi hayo yalikuwa yamekataliwa. Na Hoja zilikuwa kwamba Shahidi Hakuwa amejenga Misingi wa Namna gani ambapo Kielelezo Kimemfikia. Na namna kilivyotunzwa.

Mahakama Ilitoa Uamuzi wa Kukubali Pingamizi na Kwamba Mahakama Uliona Kweli Shahidi Hakuwa amejenga Misingi. Na Kwamba Mahakama Uliona Kwamba Kielelezo hicho hakikikuwa kimetolewa na Utawala na Njia Nyingine za Kuleta Kielelezo

Kielelezo hicho Kilikataliwa Mahakamani. Ambapo Upande Wa Mashtaka Wakaomba Kielelezo hicho Kwa Ofisi ya naibu Msajili. Naibu Msajili aliwapatia Kielelezo hicho. Na Kwa sababu Shahidi aliomba kutoa Kielelezo Ndiyo Kikapingwa na Upande wa Utetezi.

Jaji: Hoja ya Funtus Officio inaweza Kuathiri Maamuzi ya Mahakama. Na Kwa sababu hiyo naanza na Jambo hili. Kwa sababu hii na Tizama Maamuzi na hoja zilizoletwa. Na rejea Mashauri yote yaliyoletwa Mbele Ya Mahakama.

Maamuzi ya KISOPO MEDARD dhidi ya Waziri wa Ardhi Maamuzi yanakubali kuwa Yanatumika katika Mfumo wetu wa Sheria, Mahakama Imeombwa Irejee eneo linalosomeka hivi, Kwenye Mambo ya Mwenendo Wa Mahakama Kama Maamuzi yalishajulikana basi Inazuiwa Kuyajadili tena.

Na kesi ya OSCAR RWECHUNGURA kama ambavyo nimekwisha Kusema Kwamba Mahakama Ilikuwa Inazuiwa na Kanuni hiyo ya Funtus Officio, kwa hiyo siyo Sawa Hakimu Mkazi Kukubali Kupokea suala hilo katika Mahakama ya Wilaya.

Na katika Kesi ya IMMA ADVOCATE Pia, Kesi ya MWIGURO COSMAS, Pia Kesi ya MAHURI dhidi Ya JAMHURI. Ambapo Iliamua kwamba Katika Mazingira hayo inajitokeza ni Wakati gani Hakimu anakuwa Funtus officio na hawezi Kuendelea na Shauri Mbele yake.

Jaji: Ambapo Iliamua kwamba Katika Mazingira hayo inajitokeza ni Wakati gani Hakimu anakuwa Funtus officio na hawezi Kuendelea na Shauri Mbele yake. Pia Mahakama ya Tanzania SELEMAN Vs SMZ Mahakama Ilisema Kwamba Mahakama Inakuwa Funtus Officio

Maamuzi yote haya ni nayo ya rejea ni wazi kuwa ni Mashauri ambayo imefikisha Mahakama Mwisho. Kwa Upande wa Utetezi Wamesema Siyo lazima Kesi iwe imefika Mwisho. Nakubalina nao lakini inategemea ni Jambo gani.

Jaji: Kwa sababu hiyo Mahakama hii inajiuliza kwamba Je Jambo la Kuijadili Register Ilikuwa inafikisha Mahakama Mwisho? Jibu ni Hapana.. Kielelezo Kinaweza Kutolewa Mahakamani Kwa ajili ya Utambuzi.. Na Inapotolewa kama Utambuzi basi ni tofauti inapopokelewa kwa ajili ya Ushahidi

Kielelezo kinapoitwa kwa ajili ya Utambuzi Kimakosa hadhi ya Mahakama Kutumia kama Kielelezo. Katika mazingira Mengi ambapo Mahakama Imepokea Kielelezo anapokuwa Shahidi ambaye ni Competent anakitumia.

Mahakama Inaona kwamba suala La Kutolewa Kielelezo na Shahidi Hakuwa inafikisha Mahakama Mwisho. Kwa Sheria Kesi nilizozitaja hapo Juu ili Mahakama Iwe Funtus Officio Mambo haya lazima yatimie.

Jaji: MAHAKAMA inakuwa Funtus officio Ikithibitika kwamba Jambo Lililopo Mbele ya Mahakama limesha zungumzwa na Kutolewa Maamuzi. Kwamba Jambo hilo linatakiwa liwe limeimaliza Kesi Kwa Kumkuta Mshtakiwa Ana hatia au Kuitisha Jambo lolote.

Amri hiyo ambayo inakuwa imeinyima Mahakama, inatakiwa iwe na Matokeo ya kufikisha Kesi Mwisho. Ukiangalia Kimantiki Kielelezo mbacho Kimetolewa Baada ya Kielelezo hicho Kukataliwa Kilikuwa Katika suala la Utambuzi Na kwamba Upokelewaji wake siyo Wa Mwisho basi hata Kupokelewa kwake siyo Jambo la Msingi, Hoja ya FUNTUS OFFICIO naitupilia mbali kwa Sababu nilizo eleza.

Jaji: Suala Zima La ISSUE ESTOPPEL ni sehemu ya Sheria zetu, nakubaliana na Maamuzi ya Mahakama kuu. Kwamba ilikusudi ziweze Kutumia ya Issue Estoppel Lazima Mambo haya yawepo

Pale ambapo Jambo limesha amriwa na Mahakama, Maamuzi yalifikiwa kwa manufaa ya Mshtakiwa, Kwamba Maamuzi yakifikisha Mahakama Mwisho. Kwa sababu hiyo ndiyo inatengeneza Falsafa ya Issue Estoppel.

Ni Kuhakikisha kwamba Mshtakiwa Haitwi tena, Pili Kulinda Mfumo unaotambulika katika Mfumo jinai. Kulinda Hadhi ya Taasisi na suala la Kiuchumi. Kama ambavyo imeelezwa Mwanzo. Suala la Detention Register Ilishaletwa Mahakamani na Mahakama ikaikataa.

Kwa Sababu hiyo ilikataliwa, Je Mahakama inajiuliza Je Mahakama inazuiwa? Mahakama Inazingatia Hoja zote za Utetezi na Upande wa Mashtaka. Hakuna Ubishi Kwamba suala la Detention Register Ililetwa kwa ajili ya Utambuzi na Shahidi Alishindwa Kujenga Misingi ya Kielelezo hicho.

Na Kwamba Kukataliwa kwake halikuwa imelifikisha Mwisho Shauri hilo, kama ambavyo Nimeeleza katika Sheria Kesi, Ili Mahakama Iweze Kufikia Maamuzi Ilikuona Kama Issue ya Estoppel inahusika lazima Mahakama Ione kama yanafanana, Katika Context na Substance yake.

Jaji: Katika Shauri Mbali lipo Mbele ya Mahakama hii Utolewaji wa Kielelezo hicho hata Kama Kingepokelewa Isingefika Mwisho. Kielelezo hicho Kilikuwa bado lazima kitolewe na Shahidi ambaye ni Competent. Kama Kupokelewa hakuweziKufikia Mwisho wa Shauri lake.

Mahakama Inaona kwamba Issue ya Estoppel haiwezi Kuwepo, Suala linalobakia ni Kuwepo au Kutowepo Kwa DISPOSAL ORDER. Mahakama Imeelekezwa Kutumia Kifungu cha 353 na Mwongozo wa Mahakama. Na Kwamba Mahakama Imeelekezwa Kwamba bila a Kuwepo Kwa DISPOSAL ORDER, Basi Utolewaji Wa Barua ya Naibu Msajili hakuwezi Kuhalilisha Suala hilo.. Mahakama Imezingatia Hoja zote. Mahakama Inaona kwamba zuala Zima La Upokelewaji wa Kielelezo Mahakamani, Ni Kwa Mujibu wa Sheria, Na Baada Ya Kielelezo Kupokelewa inabaki kuwa Chini ya Mahakama

Jaji: Imeelezwa Vizuri Kwenye Mwongozo wa Mahakama, Mahakama Imefuata kifungu 353(3) kinasema Kwamba Bila Kuathiri Kifungu cha Kwanza nza, Mahakama ikiona Inafaa, Kitu ambacho Kimetolewa Mahakamani kitolewe Na Kurudishwa Mahakamani Kwa Ushahidi.

Kwa Masharti itakayokuwa imeweka. Ni wazi Kwamba Kumbe Kielelezo Kinapokuwa Christmas ni ya Mahakama, Kwamba pale Kielelezo Kinapokuwa Kinatoa Kinapswa Kitolewa kwa Amri ya Mahakama, Nakubaliana na Upande wa Utetezi, Na Kwamba Mahakama inapokiwa imekipokea Kielelezo hicho haihusiki na Kutunza Kielelezo hicho, Ni Jukumu la Hakimu Mfawidhi na Naibu Msajili. Mwongozo Unasema Kwamba watamteua atakaye tunza. Kanuni inampa Naibu Msajili na Hakimu Mfawidhi Uwezo wa Kudhibiti Vielelezo.

Jaji: Kwamba Naibu Msajili ana jukumu ya Kukagua Register ya Vielelezo. Kwa kusudi la Kujiridhisha, Lakini Suala la Kutoa Kielelezo Mahakamani, Sura ya Nne inasema Kwamba Utoaji wa Vielelezo Unafanyika Mwisho Baada ya Shauri Kufika au Rufaa Kukata Katika Shauri hilo

Kama Mwenendo wa Jinai Unavyosema, Ni Msimamo Wa Sheria Kama ambavyo Mahakama Iliamua Katika kesi ya SIAYO, Vielelezo vinatakiwa Vitoke ambapoa Shauri LIMEFIKA Mwisho, Kwamba KATIKA MWONGOZO sehemu Ya Nne inasema Kwamba

Pamoja na Kanuni hiyo Kielelezo Kinaweza Kutoka Mapema Wakati Shauri linaendelea, Kama ambavyo Kifungu cha 353(1), Kwamba Mahakama itatoa Amri ya Kuachiwa kwa Kielelezo, Mpaka Pale Mahakama Itakapokuwa unahitaji Kielelezo hicho.

Mahakama inaweza Kutoa Amri ya Kutoa Kielelezo Pale ambapo Shauri LIMEFIKA Mwisho au Rufaa imefika Mwisho. Mahakama Katika Amri yake inayohusu Disposal Order inahusu Kama Kielelezo Kurudi kwa Mwenyewe, Kielelezo Kiharibiwe, Au Kurudi Serikalini

Jaji: Mahakama U+itasema kwamba ni Kielelezo Gani kiharibiwe Kila Mwisho Mwezi,, Na Mwisho ni kwamba pale ambapo Kielelezo Kinatakiwa kuharibiwa Notisi utolewe Siku 30 kabla kwa Mshtakiwa, Ofisi ya Upelelezi, ofisi ya Mwanasheria. Hiyo ndiyo namna Kielelezo Kinapswa Kitolewe

Mahakama hii inakubaliana na Upande Wa Utetezi kwamba Naibu Msajili hana Mamlaka ya Kutoa Kielelezo, Mamlaka yake ni Kusimamia pale Kielelezo Kinapokuwa Kwenye Chumba Cha Kielelezo. Kusimamia Utolewaji au Kuharibiwa kwa Kielelezo hicho.

Jaji: Kwa namna hiyo basi ni Kweli Kwamba Kielelezo hakiwezi Kutolewa pasipo Amri ya Mahakama. Hata hivyo Mahakama inatakiwa Ijielekeze Katika Sheria Kesi hiyo. Mahakama inatakiwa Kusema Kwamba Kielelezo Kurudi Kwa Mwenyewe, au Kiharibiwe, au Kurudishwa Serikalini

Mahakama haina Mamlaka ya Kutolea Amri nje ya Kazi hizo Juu. Barua ilivyoandikwa Kwa Naibu Msajili Haikuwa imeeleza Mambo hayo hapo Juu. Mahakama Ina maoni kwamba halikuwa Muafaka kwa Kutolea Amri ya kuteketeza

Lakini Naibu Msajili ametajwa Kwamba ana uwezo wa Kutunza Kielelezo, Na Kwamba Kielelezo Kinacho takiwa kwa kesi zaidi ya Moja au Mahakama Moja, Mahakama zaidi ya Moja. Kutokana na hali hiyo basi ni wazi Siyo Kila wakati Kwamba Kila Wakati Kielelezo Kinapokuwa Kutumika Kinatakiwa

Kiwe na Amri ya Mahakama, Kwamba Kinaweza Kutumika Kwa Kesi au Mahakama Zaidi ya moja bila Amri ya Mahakama, Kwamba Naibu Msajili atakuwa ananoti kwenye Register yake Movement ya Kielelezo hicho, KIELELEZO SIYO LAZIMA PAWE NA AMRI YA MAHAKAMA.

Jaji: Nimeona Kwamba Siyo lazima Kielelezo hicho kuwa na Amri ya Mahakamani, Kwa sababu hiyo naitupilia Mbali Sababu zote tatu za Mapingamizi ya Kuzuia Kielelezo hicho, NATOA AMRI

Mawakili wa pande zote mbili Wanasimama na Kukaa

Wakili wa Serikali Pius Hilla: Mheshimiwa Jaji Kufuatilia Maamuzi ya Mahakama naomba Sasa Shahidi aruhusiwe Kuendelea Kutoa Ushahidi Wake

Jaji: Upande wa Utetezi Kuna Hoja yoyote

Kibatala: Hakuna, Endelea

Jaji: Kwa Mujibu wa Utaratibu Kielelezo Kinatakiwa Kisomwe

Wakili wa Serikali: tunaomba sasa tupewe P2 ilishahidi aweze Kusoma

Jaji: Tunaomba Shahidi asome Maeneo ambayo ni Relevant tu

Mallya: Sawa tu

Wakili wa Serikali: Ushahidi wako umesema tarehe 07 August 2020 ulipokea Watuhumiwa walioletwa na Kingai na ACP jumanne, Twende Kwenye eneo ulilowaingiza na utusomee

Shahidi: amemaliza kukifafanua Kitabu cha Mahabusu

Wakili wa Serikali: Mtu huyu aliyetolewa alirejea Saa ngapi

Shahidi: Saa 5 na Dakika 6

Wakili wa Serikali: anaonekana namba Ngapi

Shahidi: Namba 401

Wakili wa Serikali: Wakati anaingia hii mara ya Pili, Alikuwa na Hali gani

Shahidi: Physical Condition ni Good

Wakili wa Serikali: Baada ya Kuingia Tarehe 07 August 2020 saa Tano, ni lini tena alitoka

Shahidi: alitoka tena Tarehe 08 August 2020, Majira ya Sa 4 na Dakika 05 Asubuhi

Wakili wa Serikali: nani alimtoa

Shahidi: Inspector Mahita

Wakili wa Serikali: Sababu za Kumtoa

Shahidi: Nje kwa Upelelezi

Wakili wa Serikali: Mtu Mwingine uliyepokea ni nani

Shahidi: Adam Kasekwa

Wakili wa Serikali: anasema Entry namba Ngapi

Shahidi: 393

Wakili wa Serikali: aliingizwa Saa ngapi

Shahidi: 07 August 2020, Saa 12 na Dakika 9

Wakili wa Serikali: baada ya kumuingiza ni lini alitoka tena

Shahidi: 07 August 2020 Saa 11 na Dakika 11

Wakili wa Serikali: Kwa Mujibu wa Kitabu kuna Entry ya Lesheni

Shahidi: Leseni Supply anatakiwa apewe Asubuhi Mchana na jioni, Kwa Mujibu wa Kitabu Mtuhumiwa amepewa Chakula Asubuhi, Mchana na Jioni

Wakili wa Serikali: Taarifa za Kwenye Kitabu ni za Kituo gani Shahidi Taarifa za Central Dar es Salaam

Wakili wa Serikali: Watu hao uliowapokea hapa Mahakamani Wapo?

Shahidi: Wapo kwenye Kizimba cha Washtakiwa

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama yupi ni yupi

Shahidi: hawa wawili wa Kati kati, Wapili kutoka Kulia ni Adam na huyu Mwingine ni Mohammed Abdilah Ling'wenya

Wakili wa Serikali: Uliwapokea wapi

Shahidi: Dar es Salaam, Central

Wakili wa Serikali: Lini

Shahidi: Tarehe 07 August 2020

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji hatuna Serikali swali lingine kwa Shahidi, Tumemaliza Examination In-chief

Nashon Nkungu: Shahidi Unafahamu Kwamba Washtakiwa Wanasema hawajawahi Kuonana na wewe na hawajawahi Kufika Central Da es Salaam?

Shahidi: Sifahamu Kama Wanasema hivyo

Nashon: Unafahamu kuhusu Station Diary

Shahidi: Ndiyo nafahamu

Nashon: na ni Duty ya CRO

Shahidi: Sahihi

Nashon: Mheshimiwa Jaji naomba Kupatiwa Exhibit P2

Nashon: ni Sahihi Kabisa kwamba Askari anayekuja na anayetoka lazima wasainishane kwenye Station Diary

Shahidi: Ni sahihi

Nashon: ni sahihi Kwamba inatajwa kwamba Nimemkabidhi, pamoja na Silaha na Majina ya Mahabusu

Shahidi: Nafahamu kwamba nitakwa la Kisheria

Nashon: na Kutaja Watuhumiwa na mali

Shahidi: Kwenye suala la Watuhumiwa sijafahamu

Nashon: uoni kwamba Station Diary Ingekuwa ya Muhimu Kuwepo Mahakamani

Shahidi: Siyo ya Umuhimu

Nashon: Pale Kituo cha Central Police Dar es Salaam, palikuwa na Askari Wengine wakati Wakina Kingai wanatoka MOSHI

Shahidi: Ndiyo palikuwa na Askari Wengine

Nashon: Je Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Katika Askari Waliokuwepo Kituoni Hapakuwa na Askari Wengine ambao wangewachukua Maelezo Watuhumiwa?

Shahidi: Sikusema

Nashon: Je ulipata Kufahamu kama Kuna Ndugu au Wakili Waliokwepo wakati wanachukuliwa Maelezo

Shahidi: Hapana

Nashon: Je, kuna Ndugu au Mawakili walikuja kuwatembelea Washitakiwa

Shahidi: Hakuna
Hivi mnahangaika na maamuzi ambayo yako tayari? Mawakili wa Mbowe, jitoeni Tiganga atoe hukumu apandishwe kuwa Justice of Appeal.
 
Jaji: Nimeona Kwamba Siyo lazima Kielelezo hicho kuwa na Amri ya Mahakamani, Kwa sababu hiyo naitupilia Mbali Sababu zote tatu za Mapingamizi ya Kuzuia Kielelezo hicho, NATOA AMRI
Yaani kila pingamizi halina maana? Kazi ipo kweli kweli, njaa mbaya sana
 
Uamuzi wa jaji ni wa kuunga unga ili tu aweze kutimiza yale ambayo wabambikaji wa kesi hii wameamuwa kuyatimiza. Jaji ametupilia mbali hoja ya kielelezo kutolewa kwa amri ya mahakama kama kielelezo hicho kinatakiwa kwenye kesi zaidi ya moja na mahakama zaidi ya moja. Je ni kweli kielelezo hicho kinatumika kwenye kesi nyingine? Mahakama nyingine?

Kwanza alisema hivi…


Jaji: Kwa namna hiyo basi ni Kweli Kwamba Kielelezo hakiwezi Kutolewa pasipo Amri ya Mahakama.
Kisha akasema hivi…
Jaji: Na Kwamba Kielelezo Kinacho takiwa kwa kesi zaidi ya Moja au Mahakama Moja, Mahakama zaidi ya Moja. Kutokana na hali hiyo basi ni wazi Siyo Kila wakati Kwamba Kila Wakati Kielelezo Kinapokuwa Kutumika Kinatakiwa kiwe na Amri ya Mahakama, Kwamba Kinaweza Kutumika Kwa Kesi au Mahakama Zaidi ya moja bila Amri ya Mahakama, Kwamba Naibu Msajili atakuwa ananoti kwenye Register yake Movement ya Kielelezo hicho, KIELELEZO SIYO LAZIMA PAWE NA AMRI YA MAHAKAMA.
Kwa maoni yangu, jaji amekuwa very contradictory! Anasema “kielelezo kinaweza kutumika kwa kesi au mahakama zaidi ya moja”, hakusema kwamba hicho kielelezo kinatumika kwenye kesi zaidi ya moja au mahakama zaidi ya moja. Bali amesema “kinaweza”

Duh!
 
Leo tarehe 22/11/2021 kesi ya Mwenyekiti wa CHEDEMA Freeman Mbowe inaendelea baada ya kuahirishwa siku siku ya Ijumaa, tarehe 18 Novemba, 2021.

Kujua kesi ilipoishia, soma: Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 18, 2021. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 22, 2021

Ungana nami katika uzi huu ili kujua kila kinachojiri Mahakamani.

=========

UPDATES:

JAJI AMEINGIA MAHAKAMANI


Kesi imetajwa..

Wakili wa Serikali Pius Hilla Anatambulisha Jopo la Mawakili wa Serikali

Esther Martin
Nassoro Katuga
Jenitreza Kitali
Tulimanywa Majige
Ignasi Mwinuka

Wakili Peter Kibatala anatambulisha Jopo la Mawakili wa Utetezi

Nashon Nkungu
John Malya
Dickson Matata
Seleman Matauka
Sisty Aloyce
Maria Mushi
Khadija Aron

Jaji anaita Majina ya Washtakiwa wote wanne,

Wanaitika

Wakili wa Serikali Pius Hilla: Shauri limekuja kwa ajili ya Kupokea Uamuzi na Tupo tayari Kuendelea na Shauri..

Kibatala: sisi pia Mh Jaji Shauri lilikuwa kwa ajili ya Uamuzi Mdogo kwa Ruhusa yako tupo tayari Kuendelea na Shauri

Jaji anaandika Kidogo

Jaji: tarehe 18 November Mahakama hii ilihairisha Kesi hii wakati Shahidi akiwa anatoa Ushahidi Wake

Mahakama inatoa Uamuzi kama ninavyosoma Sasa. Wakati Wa Shauri Hili Dodo Shahidi alikuwa anatoa Ushahidi Kuhusu Kuchukuliwa Maelezo ya Onyo

Shahidi aliomba kutoa Kielelezo ambacho ni Detention Register ambayo alitumia Siku anawapokea Watuhumiwa Namba 2 na Namba 3. Walipo fikishwa kwake na Shahidi namba 1 na Shahidi namba 4. Kwa Maana ACP KINGAI na ASP Jumanne, Wakati anakitoa, Upande wa Utetezi walipinga

Kwamba 1. palikuwa hakuna Disposal Order 2. Mahakama ilikuwa inazuia kwa sababu ilishakijadili Functus Officio 3. KWA issue Estoppel Kwamba Jambo ambalo Limeshajadilowa Mahakamani Upande wa Mashitaka Wanazuiwa Kurudisha tena Mahakamani

Upande wa Utetezi waliwakilishwa na Jeremiah Mtobesya na Peter Kibatala, Kwa Upande wa Mashtaka Waliwakilishwa na Abdallah Chavula na Pius Hilla. Kwa Kutokurudia Mahakama itazungumza Kwa pamoja Hoja zote.

Jaji: Kwa kuanza Upande wa Utetezi walisema Kwamba Hakuna Disposal Order Kwa kupitia Kifungu cha 353, Wakasema Kwamba Kwa Mahakama Kutoa Kielelezo ni Njia Pekee ya DISPOSAL ORDER, Na Kwamba Kielelezo ambacho Kinaombwa Kuingia kilishatolewa Mahakamami na Kutolewa

Na Kwamba Jaji alikwepo au aliyemrithi hakuna Sehemu yoyote ambayo wametoa Mahakamani Disposal Order, Na Kwamba suala la Kutoa Kielelezo Mahakamani linatakiwa Kuwa Shirikishi na Lifuate Taratibu za Utawala na tatu lazima Utoaji wa Disposal Order Ufanyike kwenye Mwenendo wa Wazi

Naibu Msajili Kutoa Kielelezo pasipo Amri ya Mahakama, Ni Kukiuka Misingi na wakaomba basi Mahakama Isipokee. Wakasema haitoshi Palipaswa kuwa na Register Ya DISPOSAL Ambapo kwa Mujibu wa Muongozo wa Jaji Mkuu Unavyosema. Na Mahakama iangalie Katika Muongozo Katika Sehemu ya 4:4

Jaji: Na Hoja ya Pili kuhusu Mahakama Kuwa Funtus officio, Wakiomba kwamba Kwa sababu Mahakama Ilisha toa Maamuzi, Katika kesi Ndogo ndani ya Shitaka Kubwa basi Mahakama Ione kwamba pale ambapo Mahakama Ilisha toa a Maamuzi awezi Tena Kujadili Kuhusu Kielelezo hicho

Na Kwa sababu Mahakama Ilisha letewa Kielelezo hicho na ikakikataa, Na Kwamba Shahidi Namba Moja Alisha letewa na Kwa ajili ya a Utambuzi haijalishi, Wakaomba Mahakama ireje Kesi mbalimbali, Theresia Zackaria Vs Oscar Ukurasa wa Nne, NBC & IMMA ADVOCATE Vs....ya Mahakama ya Rufaa

Issue ya Estoppel Kwamba waliomba Mahakama ione kwamba Upande wa Mashtaka Hauwezi Kuleta Jambo hilo Kisheria, Estoppel Asili yake ni Madai lakini iliingizwa Kwenye a kesi za Jinai, Kwa kesi ISSA TOJO Mbele ya Jaji Mkuu wa wakati huo Jaji Samata,

Alisema Kwamba Kanuni ya Estoppel Ni sehemu za Sheria zetu. Na wakasisitiza Kupitia kesi ya JULIUS MICHAEL Vs JAMHURI. Ambapo Mahakama Ilipolewa na Kufanya Maamuzi. Ambapo Mahakama ili Ombwa Kurejea Kurasa wa 6 Mpaka 9. Waliomba Mahakama Ione kwamba Swala la Upoowa

Detention Register Lilishajadiliwa na alitakiwi Kuletwa Tena Mahakamani. Lengo la Kanuni hiyo ni Kufanya Mfumo wetu wa Jinai Kuwa Mfumo uliokamilika. Na Kwamba Mshtakiwa asiitwe tena Mahakamani. Kulinda Heshima Ya Mahakama na suala la Uchumi..

Kwa Maana hiyo wakaomba Mahakama Kuona kwamba Kanuni ya Estoppel Inaizuia Kuleta tena Mahakamani, Wakaomba Mahakama is Ipokee Detention Register, Na Upande wa Mashtaka Na wao walianza kwa Kupinga, Kwamba Mapingamizi yaliyoletwa yamekosewa yametafsiriwa Vibaya

Jaji: Kwamba suala la Upokelewaji wa Kielelezo ni Vigezo Vitatu vinatumika. Vya Relevance, Competence and Materiality. Kwa Upande wa Mashtaka walisema Kwamba Shahidi alisema wazi ni wapi alipotoa Kielelezo hicho. Hata Maamuzi ya Mahakama Ya wakati huo yalihusu Shahidi Kutokujenga

Misingi na Kwamba Kielelezo Hicho akijawahi Kitamkwa Kwamba ni Incompetent. Hoja ya Pili ilikuwa ni Detention Register ilikuwa inatolewa kwa ajili ya a Utambuzi wakati sasa Kinatolewa Kwa ajili ya Kielelezo. Kuhusiana na Maamuzi ya a kesi ya OSCAR na THERESIA wamesema hawana

Shida na Maamuzi hayo na Kwamba Maamuzi hayo kwenye kesi hii ni Distinguishable. Kwamba Mahakama Iliamua Kanuni ya Funtus Officio ni Kanuni iliyokuwa Inatumika Kwenye Sheria kesi. Kama Kesi ya KAMURI Vs JAMHURI ambapo Kwa Maoni yao wanasema Mashauri hayo ya natengeneza Kanuni kwa

Jinsi gani Kanuni ya Funtus Officio inaweza Kutumika ambapo ni Mashauri yanayo kuwa yamekwishamalizika. Wakaomba turejee Kesi ya THERESIA kuwa Distinguishable. Na tukija Issue Estoppel Walikiri kwamba ni Kanuni za Sheria zetu na Wakapinga kwamba ipo tofauti Kwenye kesi hii..

Wakasema issue Estoppel Inaweza Kutumika Pale ambapo Kesi iliyopo inafanana kabisa na Kesi iliyokwisha, Kwenye Uamuzi wa Mahakama Hii wanasema ujikite katika Shahidi Kushindwa Kujenga Misingi. Na Kwamba Shauri linapswa Kufika Mwisho.. Na Kwa Shauri hili bado haijafika Mwisho

Kwamba Detention Register Ilikataliwa kwenye Shauri hili hili, Na Kwamba Sababu ya a Kukataa Detention Register Ilikuwa haijafika Mwisho na Kwamba Khakuna namna ambapo Shauri Dogo litatengenishwa na Kesi Mama. Issue Estoppel Kama Swala la Kisheria lina Kosa asifa kwa Sababu

Shauri Halikufika Mwisho. Pia haliweI Kuwepo Sababu hata Malengo ya Kwa nini ilikataliwa mara ya kwanza ni tofauti na Sasa. Na suala la Tatu kuhusiana na DISPOSAL ORDER Kama Ilivyo kuwa imesemwa na Upande wa Utetezi..

Jaji: Wamesema Kwamba Amri ya kuachia Kielelezo inatolewa baada ya Shauri Kufika Mwisho. Na Kwamba Kielelezo hakikuombwa Kurudishwa Kwa wenyewe Bali Malengo yalikuwa ni Kukirudisha Mahakamani. Kwamba Malengo yake yameandikwa kwenye Barua hiyo na Naibu Msajili

Na Kwamba wanaomba Mahakama Ione kwamba Kanuni inayohitaji Kuwepo Kwa Amri ya Kuachia Kielelezo Haiwezi Kutumika Katika Shauri hili. Kwa Mujibu wa Kesi ya KONDO GEDE Vs JAMHURI. Inaelezea kwamba Mahakama inaweza Kutumia suala la Mdomo.

Wakaomba Mahakama Ipokee Kielelezo Kwa sababu ambazo wamezieleza. Kuhusiana na Ukweli Kwamba Naibu Msajili hana Uwezo wa Kutoa Kielelezo, Shahidi ameeleza namna gani alipata Kielelezo. Wakaomba Mahakama imuamini Shahidi. Kwa sababu Shahidi anaaminika.

Uombwaji wa Kielelezo Uliombwa Kwa Makusudi Ya Kurudi Mahakamani na Siyo Kurudi kwa Mwenyewe. Kama rejea Ya Kesi ya GANDI, Mahakama itumie Sheria kesi hii. Kwamba Maombi yalikuwa ni Upokelewaji wa Kielelezo. Mahakama ijikite Katika Kanuni za Upokelewaji Wa Kielelezo ambazo ni Competence, Relevance na Materiality. Na Kwamba Maamuzi ya a Mahakama ya lisema kwamba Kielelezo kinaweza Kuna mbwa kwa Njia ya Utawala. Kwa Upande wa Utetezi walipata Muda wa Kufanya Rejoinder. Wakasema Kwamba Kesi Ndogo iliyopo katika kesi Kubwa inajitegemea Kabisa.

Jaji: Kwa Sheria na Utaratibu uliopo pale ambapo Mahakama Unahitaji Kufanya Kesi Ndogo, inaondoka Kabisa katika Kesi Kubwa. Mwenendo Wa Kesi Ndogo katika kesi kubwa ni Suala la Factual Exercise, Suala la Kutafuta ukweli. Kwamba Suala la Kuthibitisha kwamba Maelezo ya Mshtakiwa yalichukuliwa kwa Njia halalali ni Wajibu wa Upande wa Mashtaka Na Upande wa Utetezi wanao Wajibu pia.

Jambo la Tatu ni kwamba Mahakama Ilishawahi Kufanya Kesi Ndogo kwa Mshtakiwa Wa Pili. Na Kwamba Swala la Amri kama ambavyo inatajwa katika Kifungu cha 353 ni Jambo la Msingi katika Kueleza Mnyororo kama. Ulifuta Utaratibu, Wakiendelea Kueleza tofauti kati ya Kesi Ndogo katika kesi Kubwa, na wakaeleza Namna ambavyo Mashahidi wanapewa Utambulisho tofauti. Na Kwamba Kwa Sababu ni Kesi tofauti basi Waliomba Kesi tofauti.

Wakaomba Mahakama ifuatilie na Kusoma Guidelines ambayo imewekwa na Mahakama kuhusu Kushughulika na Kielelezo hicho. Mahakama isome Mwanzo hadi Mwisho Namna ya Mahakama Kushughulika na Kielelezo Hiko..

Jaji: Kwamba Quorum Ya Exhibit Register Inapaswa Amri ya Mahakama Ione Imetolewa na Imetolewa na nani. Na Kwamba Kesi ya DEGE ni Irrelevant. Upande wa Mashtaka Wameangalia Kama Jambo la Kielelezo tu lakini wao wanaangalia Admissibility. Na Kwamba Mahakama inabanwa Kuendelea Kushughulika na suala hilo kupitia Funtus officio. Issue Siyo Conclusivity ya kesi Bali hata Jambo ambalo Lipo Mbele ya Mahakama. Kesi ya Gandhi haihusiani na Kutoa Kielelezo kinyemela na Kesi hiyo ni Distinguishable.

Kwamba Kesi ya Julius Michael na wenzake ndiyo Inajielezea yenyewe, Mahakama Ione inabanwa na Maamuzi yake, Wakaendelea Kusema Hoja walizoleta kwamba Kukosekana kwa Amri ya a Mahakamani, Funtus Officio na Issue Estoppel Kwa sababu hizo Wakaomba Mahakama Ikatae Kielelezo hiko

Na Hizo ndiyo zilikuwa Hoja za pande zote mbili, Na Hoja zote zimenisaidia Kufikia Uamuzi. Siku ya tarehe 19 Mwezi wa September Wakati anatoa Ushahidi Wake Mahakamani aliomba Kutoa Ushahidi Wake Mahakamani. Aliomba Kutoa Kielelezo hicho.

Jaji: Shahidi Aliomba Kutoa Kielelezo hicho, Maombi hayo yalikuwa yamekataliwa. Na Hoja zilikuwa kwamba Shahidi Hakuwa amejenga Misingi wa Namna gani ambapo Kielelezo Kimemfikia. Na namna kilivyotunzwa.

Mahakama Ilitoa Uamuzi wa Kukubali Pingamizi na Kwamba Mahakama Uliona Kweli Shahidi Hakuwa amejenga Misingi. Na Kwamba Mahakama Uliona Kwamba Kielelezo hicho hakikikuwa kimetolewa na Utawala na Njia Nyingine za Kuleta Kielelezo

Kielelezo hicho Kilikataliwa Mahakamani. Ambapo Upande Wa Mashtaka Wakaomba Kielelezo hicho Kwa Ofisi ya naibu Msajili. Naibu Msajili aliwapatia Kielelezo hicho. Na Kwa sababu Shahidi aliomba kutoa Kielelezo Ndiyo Kikapingwa na Upande wa Utetezi.

Jaji: Hoja ya Funtus Officio inaweza Kuathiri Maamuzi ya Mahakama. Na Kwa sababu hiyo naanza na Jambo hili. Kwa sababu hii na Tizama Maamuzi na hoja zilizoletwa. Na rejea Mashauri yote yaliyoletwa Mbele Ya Mahakama.

Maamuzi ya KISOPO MEDARD dhidi ya Waziri wa Ardhi Maamuzi yanakubali kuwa Yanatumika katika Mfumo wetu wa Sheria, Mahakama Imeombwa Irejee eneo linalosomeka hivi, Kwenye Mambo ya Mwenendo Wa Mahakama Kama Maamuzi yalishajulikana basi Inazuiwa Kuyajadili tena.

Na kesi ya OSCAR RWECHUNGURA kama ambavyo nimekwisha Kusema Kwamba Mahakama Ilikuwa Inazuiwa na Kanuni hiyo ya Funtus Officio, kwa hiyo siyo Sawa Hakimu Mkazi Kukubali Kupokea suala hilo katika Mahakama ya Wilaya.

Na katika Kesi ya IMMA ADVOCATE Pia, Kesi ya MWIGURO COSMAS, Pia Kesi ya MAHURI dhidi Ya JAMHURI. Ambapo Iliamua kwamba Katika Mazingira hayo inajitokeza ni Wakati gani Hakimu anakuwa Funtus officio na hawezi Kuendelea na Shauri Mbele yake.

Jaji: Ambapo Iliamua kwamba Katika Mazingira hayo inajitokeza ni Wakati gani Hakimu anakuwa Funtus officio na hawezi Kuendelea na Shauri Mbele yake. Pia Mahakama ya Tanzania SELEMAN Vs SMZ Mahakama Ilisema Kwamba Mahakama Inakuwa Funtus Officio

Maamuzi yote haya ni nayo ya rejea ni wazi kuwa ni Mashauri ambayo imefikisha Mahakama Mwisho. Kwa Upande wa Utetezi Wamesema Siyo lazima Kesi iwe imefika Mwisho. Nakubalina nao lakini inategemea ni Jambo gani.

Jaji: Kwa sababu hiyo Mahakama hii inajiuliza kwamba Je Jambo la Kuijadili Register Ilikuwa inafikisha Mahakama Mwisho? Jibu ni Hapana.. Kielelezo Kinaweza Kutolewa Mahakamani Kwa ajili ya Utambuzi.. Na Inapotolewa kama Utambuzi basi ni tofauti inapopokelewa kwa ajili ya Ushahidi

Kielelezo kinapoitwa kwa ajili ya Utambuzi Kimakosa hadhi ya Mahakama Kutumia kama Kielelezo. Katika mazingira Mengi ambapo Mahakama Imepokea Kielelezo anapokuwa Shahidi ambaye ni Competent anakitumia.

Mahakama Inaona kwamba suala La Kutolewa Kielelezo na Shahidi Hakuwa inafikisha Mahakama Mwisho. Kwa Sheria Kesi nilizozitaja hapo Juu ili Mahakama Iwe Funtus Officio Mambo haya lazima yatimie.

Jaji: MAHAKAMA inakuwa Funtus officio Ikithibitika kwamba Jambo Lililopo Mbele ya Mahakama limesha zungumzwa na Kutolewa Maamuzi. Kwamba Jambo hilo linatakiwa liwe limeimaliza Kesi Kwa Kumkuta Mshtakiwa Ana hatia au Kuitisha Jambo lolote.

Amri hiyo ambayo inakuwa imeinyima Mahakama, inatakiwa iwe na Matokeo ya kufikisha Kesi Mwisho. Ukiangalia Kimantiki Kielelezo mbacho Kimetolewa Baada ya Kielelezo hicho Kukataliwa Kilikuwa Katika suala la Utambuzi Na kwamba Upokelewaji wake siyo Wa Mwisho basi hata Kupokelewa kwake siyo Jambo la Msingi, Hoja ya FUNTUS OFFICIO naitupilia mbali kwa Sababu nilizo eleza.

Jaji: Suala Zima La ISSUE ESTOPPEL ni sehemu ya Sheria zetu, nakubaliana na Maamuzi ya Mahakama kuu. Kwamba ilikusudi ziweze Kutumia ya Issue Estoppel Lazima Mambo haya yawepo

Pale ambapo Jambo limesha amriwa na Mahakama, Maamuzi yalifikiwa kwa manufaa ya Mshtakiwa, Kwamba Maamuzi yakifikisha Mahakama Mwisho. Kwa sababu hiyo ndiyo inatengeneza Falsafa ya Issue Estoppel.

Ni Kuhakikisha kwamba Mshtakiwa Haitwi tena, Pili Kulinda Mfumo unaotambulika katika Mfumo jinai. Kulinda Hadhi ya Taasisi na suala la Kiuchumi. Kama ambavyo imeelezwa Mwanzo. Suala la Detention Register Ilishaletwa Mahakamani na Mahakama ikaikataa.

Kwa Sababu hiyo ilikataliwa, Je Mahakama inajiuliza Je Mahakama inazuiwa? Mahakama Inazingatia Hoja zote za Utetezi na Upande wa Mashtaka. Hakuna Ubishi Kwamba suala la Detention Register Ililetwa kwa ajili ya Utambuzi na Shahidi Alishindwa Kujenga Misingi ya Kielelezo hicho.

Na Kwamba Kukataliwa kwake halikuwa imelifikisha Mwisho Shauri hilo, kama ambavyo Nimeeleza katika Sheria Kesi, Ili Mahakama Iweze Kufikia Maamuzi Ilikuona Kama Issue ya Estoppel inahusika lazima Mahakama Ione kama yanafanana, Katika Context na Substance yake.

Jaji: Katika Shauri Mbali lipo Mbele ya Mahakama hii Utolewaji wa Kielelezo hicho hata Kama Kingepokelewa Isingefika Mwisho. Kielelezo hicho Kilikuwa bado lazima kitolewe na Shahidi ambaye ni Competent. Kama Kupokelewa hakuweziKufikia Mwisho wa Shauri lake.

Mahakama Inaona kwamba Issue ya Estoppel haiwezi Kuwepo, Suala linalobakia ni Kuwepo au Kutowepo Kwa DISPOSAL ORDER. Mahakama Imeelekezwa Kutumia Kifungu cha 353 na Mwongozo wa Mahakama. Na Kwamba Mahakama Imeelekezwa Kwamba bila a Kuwepo Kwa DISPOSAL ORDER, Basi Utolewaji Wa Barua ya Naibu Msajili hakuwezi Kuhalilisha Suala hilo.. Mahakama Imezingatia Hoja zote. Mahakama Inaona kwamba zuala Zima La Upokelewaji wa Kielelezo Mahakamani, Ni Kwa Mujibu wa Sheria, Na Baada Ya Kielelezo Kupokelewa inabaki kuwa Chini ya Mahakama

Jaji: Imeelezwa Vizuri Kwenye Mwongozo wa Mahakama, Mahakama Imefuata kifungu 353(3) kinasema Kwamba Bila Kuathiri Kifungu cha Kwanza nza, Mahakama ikiona Inafaa, Kitu ambacho Kimetolewa Mahakamani kitolewe Na Kurudishwa Mahakamani Kwa Ushahidi.

Kwa Masharti itakayokuwa imeweka. Ni wazi Kwamba Kumbe Kielelezo Kinapokuwa Christmas ni ya Mahakama, Kwamba pale Kielelezo Kinapokuwa Kinatoa Kinapswa Kitolewa kwa Amri ya Mahakama, Nakubaliana na Upande wa Utetezi, Na Kwamba Mahakama inapokiwa imekipokea Kielelezo hicho haihusiki na Kutunza Kielelezo hicho, Ni Jukumu la Hakimu Mfawidhi na Naibu Msajili. Mwongozo Unasema Kwamba watamteua atakaye tunza. Kanuni inampa Naibu Msajili na Hakimu Mfawidhi Uwezo wa Kudhibiti Vielelezo.

Jaji: Kwamba Naibu Msajili ana jukumu ya Kukagua Register ya Vielelezo. Kwa kusudi la Kujiridhisha, Lakini Suala la Kutoa Kielelezo Mahakamani, Sura ya Nne inasema Kwamba Utoaji wa Vielelezo Unafanyika Mwisho Baada ya Shauri Kufika au Rufaa Kukata Katika Shauri hilo

Kama Mwenendo wa Jinai Unavyosema, Ni Msimamo Wa Sheria Kama ambavyo Mahakama Iliamua Katika kesi ya SIAYO, Vielelezo vinatakiwa Vitoke ambapoa Shauri LIMEFIKA Mwisho, Kwamba KATIKA MWONGOZO sehemu Ya Nne inasema Kwamba

Pamoja na Kanuni hiyo Kielelezo Kinaweza Kutoka Mapema Wakati Shauri linaendelea, Kama ambavyo Kifungu cha 353(1), Kwamba Mahakama itatoa Amri ya Kuachiwa kwa Kielelezo, Mpaka Pale Mahakama Itakapokuwa unahitaji Kielelezo hicho.

Mahakama inaweza Kutoa Amri ya Kutoa Kielelezo Pale ambapo Shauri LIMEFIKA Mwisho au Rufaa imefika Mwisho. Mahakama Katika Amri yake inayohusu Disposal Order inahusu Kama Kielelezo Kurudi kwa Mwenyewe, Kielelezo Kiharibiwe, Au Kurudi Serikalini

Jaji: Mahakama U+itasema kwamba ni Kielelezo Gani kiharibiwe Kila Mwisho Mwezi,, Na Mwisho ni kwamba pale ambapo Kielelezo Kinatakiwa kuharibiwa Notisi utolewe Siku 30 kabla kwa Mshtakiwa, Ofisi ya Upelelezi, ofisi ya Mwanasheria. Hiyo ndiyo namna Kielelezo Kinapswa Kitolewe

Mahakama hii inakubaliana na Upande Wa Utetezi kwamba Naibu Msajili hana Mamlaka ya Kutoa Kielelezo, Mamlaka yake ni Kusimamia pale Kielelezo Kinapokuwa Kwenye Chumba Cha Kielelezo. Kusimamia Utolewaji au Kuharibiwa kwa Kielelezo hicho.

Jaji: Kwa namna hiyo basi ni Kweli Kwamba Kielelezo hakiwezi Kutolewa pasipo Amri ya Mahakama. Hata hivyo Mahakama inatakiwa Ijielekeze Katika Sheria Kesi hiyo. Mahakama inatakiwa Kusema Kwamba Kielelezo Kurudi Kwa Mwenyewe, au Kiharibiwe, au Kurudishwa Serikalini

Mahakama haina Mamlaka ya Kutolea Amri nje ya Kazi hizo Juu. Barua ilivyoandikwa Kwa Naibu Msajili Haikuwa imeeleza Mambo hayo hapo Juu. Mahakama Ina maoni kwamba halikuwa Muafaka kwa Kutolea Amri ya kuteketeza

Lakini Naibu Msajili ametajwa Kwamba ana uwezo wa Kutunza Kielelezo, Na Kwamba Kielelezo Kinacho takiwa kwa kesi zaidi ya Moja au Mahakama Moja, Mahakama zaidi ya Moja. Kutokana na hali hiyo basi ni wazi Siyo Kila wakati Kwamba Kila Wakati Kielelezo Kinapokuwa Kutumika Kinatakiwa

Kiwe na Amri ya Mahakama, Kwamba Kinaweza Kutumika Kwa Kesi au Mahakama Zaidi ya moja bila Amri ya Mahakama, Kwamba Naibu Msajili atakuwa ananoti kwenye Register yake Movement ya Kielelezo hicho, KIELELEZO SIYO LAZIMA PAWE NA AMRI YA MAHAKAMA.

Jaji: Nimeona Kwamba Siyo lazima Kielelezo hicho kuwa na Amri ya Mahakamani, Kwa sababu hiyo naitupilia Mbali Sababu zote tatu za Mapingamizi ya Kuzuia Kielelezo hicho, NATOA AMRI

Mawakili wa pande zote mbili Wanasimama na Kukaa

Wakili wa Serikali Pius Hilla: Mheshimiwa Jaji Kufuatilia Maamuzi ya Mahakama naomba Sasa Shahidi aruhusiwe Kuendelea Kutoa Ushahidi Wake

Jaji: Upande wa Utetezi Kuna Hoja yoyote

Kibatala: Hakuna, Endelea

Jaji: Kwa Mujibu wa Utaratibu Kielelezo Kinatakiwa Kisomwe

Wakili wa Serikali: tunaomba sasa tupewe P2 ilishahidi aweze Kusoma

Jaji: Tunaomba Shahidi asome Maeneo ambayo ni Relevant tu

Mallya: Sawa tu

Wakili wa Serikali: Ushahidi wako umesema tarehe 07 August 2020 ulipokea Watuhumiwa walioletwa na Kingai na ACP jumanne, Twende Kwenye eneo ulilowaingiza na utusomee

Shahidi: amemaliza kukifafanua Kitabu cha Mahabusu

Wakili wa Serikali: Mtu huyu aliyetolewa alirejea Saa ngapi

Shahidi: Saa 5 na Dakika 6

Wakili wa Serikali: anaonekana namba Ngapi

Shahidi: Namba 401

Wakili wa Serikali: Wakati anaingia hii mara ya Pili, Alikuwa na Hali gani

Shahidi: Physical Condition ni Good

Wakili wa Serikali: Baada ya Kuingia Tarehe 07 August 2020 saa Tano, ni lini tena alitoka

Shahidi: alitoka tena Tarehe 08 August 2020, Majira ya Sa 4 na Dakika 05 Asubuhi

Wakili wa Serikali: nani alimtoa

Shahidi: Inspector Mahita

Wakili wa Serikali: Sababu za Kumtoa

Shahidi: Nje kwa Upelelezi

Wakili wa Serikali: Mtu Mwingine uliyepokea ni nani

Shahidi: Adam Kasekwa

Wakili wa Serikali: anasema Entry namba Ngapi

Shahidi: 393

Wakili wa Serikali: aliingizwa Saa ngapi

Shahidi: 07 August 2020, Saa 12 na Dakika 9

Wakili wa Serikali: baada ya kumuingiza ni lini alitoka tena

Shahidi: 07 August 2020 Saa 11 na Dakika 11

Wakili wa Serikali: Kwa Mujibu wa Kitabu kuna Entry ya Lesheni

Shahidi: Leseni Supply anatakiwa apewe Asubuhi Mchana na jioni, Kwa Mujibu wa Kitabu Mtuhumiwa amepewa Chakula Asubuhi, Mchana na Jioni

Wakili wa Serikali: Taarifa za Kwenye Kitabu ni za Kituo gani Shahidi Taarifa za Central Dar es Salaam

Wakili wa Serikali: Watu hao uliowapokea hapa Mahakamani Wapo?

Shahidi: Wapo kwenye Kizimba cha Washtakiwa

Wakili wa Serikali: Ifahamishe Mahakama yupi ni yupi

Shahidi: hawa wawili wa Kati kati, Wapili kutoka Kulia ni Adam na huyu Mwingine ni Mohammed Abdilah Ling'wenya

Wakili wa Serikali: Uliwapokea wapi

Shahidi: Dar es Salaam, Central

Wakili wa Serikali: Lini

Shahidi: Tarehe 07 August 2020

Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji hatuna Serikali swali lingine kwa Shahidi, Tumemaliza Examination In-chief

Nashon Nkungu: Shahidi Unafahamu Kwamba Washtakiwa Wanasema hawajawahi Kuonana na wewe na hawajawahi Kufika Central Da es Salaam?

Shahidi: Sifahamu Kama Wanasema hivyo

Nashon: Unafahamu kuhusu Station Diary

Shahidi: Ndiyo nafahamu

Nashon: na ni Duty ya CRO

Shahidi: Sahihi

Nashon: Mheshimiwa Jaji naomba Kupatiwa Exhibit P2

Nashon: ni Sahihi Kabisa kwamba Askari anayekuja na anayetoka lazima wasainishane kwenye Station Diary

Shahidi: Ni sahihi

Nashon: ni sahihi Kwamba inatajwa kwamba Nimemkabidhi, pamoja na Silaha na Majina ya Mahabusu

Shahidi: Nafahamu kwamba nitakwa la Kisheria

Nashon: na Kutaja Watuhumiwa na mali

Shahidi: Kwenye suala la Watuhumiwa sijafahamu

Nashon: uoni kwamba Station Diary Ingekuwa ya Muhimu Kuwepo Mahakamani

Shahidi: Siyo ya Umuhimu

Nashon: Pale Kituo cha Central Police Dar es Salaam, palikuwa na Askari Wengine wakati Wakina Kingai wanatoka MOSHI

Shahidi: Ndiyo palikuwa na Askari Wengine

Nashon: Je Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Katika Askari Waliokuwepo Kituoni Hapakuwa na Askari Wengine ambao wangewachukua Maelezo Watuhumiwa?

Shahidi: Sikusema

Nashon: Je ulipata Kufahamu kama Kuna Ndugu au Wakili Waliokwepo wakati wanachukuliwa Maelezo

Shahidi: Hapana

Nashon: Je, kuna Ndugu au Mawakili walikuja kuwatembelea Washitakiwa

Shahidi: Hakuna
Je!Kwa maamuzi haya haki imetendeka na kuoneka kuwa imetendeka?
 
Jaji anatafuta kila njia ya kumfurahisha Samia. Labda pengine atabahatisha cheo kama mwenzake.

1) Jaji Mkuu - kada wa CCM aliyekuwa akishiriki vikao na Magufuli, Bashiru na Polepole
2) Msajili wa mahakama - TIS
2) Jaji Kiongozi - TIS
3) Jaji Tiganga - TIS (baada ya kesi lazima naye apewe cheo)
4) Wapo majaji wengine 8, wote waliteuliwa na marehemu kuwa majaji - TIS

Kesi ya Mbowe, haitasikilizwa na jaji yeyote wa mahakama, zaidi ya hawa maafisa wa TIS waliochomekwa mahakamani kuvuruga mfumo wa mahakama.
 
Back
Top Bottom