Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe 26 Jan 2022. Shahidi wa 12 Luteni Denis Urio kuendelea kutoa ushahidi wake

wewe haujui kitu.
Unaonekana ni empty kabisa.
wakati urio ndo master mind mwenyewe aliyewatafuta.?
Watakubali kumpinga kamanda wao kwani anawalisha au anawatunzia familia zao? Hivi unaongea nini dogo?
 
Unaweza kuniambia mbowe alikuwa anamtu urio hela za kazi gani?
kesi yao ni" kula njama za kufanya matendo ya ugaidi"
Kinachomtia hatiani mbowe ni huko kushirikiana na urio.na.kumtatutia vijana wa kazi,kumpigia Simu urio,na kumtumia fedha.
Haya Mambo ndo yanamuweka hatiani mbowe.
Hakufanya ugaidi Ila alikuwa Ana mipango ya kufanya ugaidi lakini mwenzake akamchoma.
Ina maana urio asingemchoma huo ugaidi ungetekelezeka.ila polisi kwa kuwa walishakuwa na taarifa wakazuia kwa kuwakamata.
 
wewe utakuwa ni mpumbavu.
una AKILI lakini unatumia miguu kufikiri.
na AKILI zenyewe umeshikiwa na mwenyekiti umekuwa Kama kondoo.hauwezi kufikiri mwenyewe.
Mambo yapo wazi.
Wewe kweli ni mjinga.
 
Umesoma habari lakini?
Mara ya kwanza mbowe alikuwa anatumia namba zake .mpaka wanakutana Mara ya kwanza.
Baadae akaamia kwenye telegram na what's app.
Hizo namba alizokua anapigia na mbowe amvazo sio zake shahidi alimpa Kingai?

Kumbuka aliambiwa awe anaripoti kwa Kingaki matukio yote...

Kwakua mbowe alikua anatumia namba za watu, hao watu walimamwatwa kutoa ushahidi kwa simu zao kutumiwa mbowe?
 
Aliyetengeneza hyo kesi ni mbowe mwenyewe.
Anapiga simu kwa namba binafsi,akipigiwa apokei,anatuma hela kwa njia ya wakala.
Kwanini alikuwa anajificha ficha mawasiliano yake na urio?
Unapoongea unatakiwa uwe umejua toka mwanzo, yule mtaalamu wa computer alitaja namba moja tu ambayo Mbowe alikua anawasiliana na Urio, afu Urio anasema alikua anatumia namba tofauti, nani mkweli kati ya hao? Afu unatakiwa kujua kua Mbowe akikutwa na kesi ya kujibu tutaanza kusikia kutoka kwa Mbowe
 
Mbowe kushirikiana na Urio ndo kunamtia hatiani? Unafanya siasa au uelewa wako ni mdogo? Je, Urio ni gaidi kiasi kwamba Mbowe kushirikiana naye liwe kosa? Maana hata kumtumia hela Urio bado haliwezi kumtia hatiani Mbowe, Urio mwenyewe anajichanganya kusema aliwambia akina Adamo kua ni hela ya nauli kwa ajili ya kwenda kufanya kazi ya protection
 
Sasa Kama kumtumia hela urio sio kosa.
Mbona urio amekwenda kumchoma mbowe kwa DCI boaz?
 
Kwa hyo unataka kusema kamanda urio NI MUONGO?
 
SIo KESI NI Tamdhilia nzuri sana,hakika muandika hadhi hii,nimtaalamu Sana. Tamu Sana.
 
Bwire ndo alumwambia urio kuwa madogo wameenda moshi kum Term sabaya,
Urio akatoa ripoti faster kwa kingai kwamba kuna wet mission iko on progress, nadhani kina kingai wakampanick na kupelekea kukamatwa kwa madogo kabla hajatekeleza mission(if true)
Ilikuwaje mtoa taarifa Bwire akamatwe ashtakiwa pamoja na hao kina Adamoo wakati alikuwa Shahidi muhimu, yaani atoke kwenye ushahidi mpaka kubambikiwa kesi.
 
Kwa
1. Kuleta taharuki
2. Kukata miti na kusababisha uharibifu kwenye miji na majiji makubwa
3. Kulipua vituo vya mafuta
4. Kuwadhuru viongozi

Huoni kwamba vijana wa FM waliwekwa kwenye 18 wakiwa wameanza kutekeleza mojawapo ya mbinu hizo chafu?
Kwa ushahidi upi? Maana mashahidi wa serikali waliulizwa wote walishindwa kuthibitisha,

Urio "amehadithia" tu bado "hajashuhudia"

Acha kulazimisha dhamira yako, usisome kama darasa la kwanza.
 
Sasa kama Urio ndio mpishi wa makomandoo alafu anachezea kichapo kutoka kwa Kina Kingai, Mahita et al na kulia kama mtoto napata mashaka na uimara wa jeshi letu.
Acha tu kaka.Sijui mambo ya kijeshi lakin naona kama bado haiingii akilin.Kuna jamaa angu mmoja ndio najua sasa alinidanganya kwamba makomandoo bongo huwa wana train abroad hukoo sio hapa 😁
 
Urio alipata wapi namba ya DCI? Huyu Urio atajuta kusema uongo hii kesi imetengenezwa kijinga sana.
Namba ya Dci hata wewe ukiwa serious unaipata bila shidaa mkuu.Bongo hii kila kitu kipo ni wewe.
 

Mipango ya maana kabisa mwanaume mzima tena afisa wa jeshi iwe chini ya shilingi milioni moja? Hiyo si hela ya kuchukulia Machangudoa hapo corner bar? Ww ni bendera fuata upepo, ndio maana unabeba maneno ya igp unatuletea hapa
 
Ilikuwaje mtoa taarifa Bwire akamatwe ashtakiwa pamoja na hao kina Adamoo wakati alikuwa Shahidi muhimu, yaani atoke kwenye ushahidi mpaka kubambikiwa kesi.
Nadhani kati ya waajiriwa wanne walisafirishwa kwenda kwa mbowe naye bwire alikuwepo
 
Ila kiukwel hapo jamaa kawaonea hao madogo hata kama wangetenda ugaid kwel..kwann awatumbukize kwenye matatizo.Yan unawatoa kwenye deal zao halali za kujitafutia kipato unawalengesha kwenye ugaid wakafie gerezani??
Je hii ni namna serikal/jeshk linawamaliza watu wake waliokwenda nao kinyumbe wakaishie gerezan kwa hofu ya wao kuendelea kukaa mtaani???

Au ndio roho mbaya tu ya urio kwa vijana wenzake.At 42 years urio mbona bado kijana mdogo tu kwanini akose huruma kwa vijana wenzie wanaotafuta maisha na wanafamilia na hawan background za mambo hayo zaid ya kulitumikia taifa??

HII IMENIUMA SANA.
Yan badala ya kuwatafutia vijana wako michongo ya kuendeleza maisha yao nje ya jeshi unaamua kuwatumbukiza segerea kwel??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…