MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Utaendelea kuwa mjinga hadi lini? Jaribu kulegeza via vya uzazi wako huenda ukawa na akili timamu.ndo maana nasema mbowe alijichanganya kufanya kazi na hao wanajeshi.
Mpaka akawa anamtumia hela.
Katika akili hata za kawaida hauwezi kufanya mipango ya ulinzi na wanajeshi wakati wewe ni kiongozi wa upinzani.
hamna kesi humo ndugu, ni utoropolo mtupu !! tunapoteteana muda tu watanzania kisa wanasiasa na madaraka.Kiunganishi ni bwire,, akikiri tu kosa imekula kwa mr chairman
Logically:
Urio ni muongo wa kutengenezwa.
Hivi watu unawaambia Kuna kazi ya ulinzi kwa mh.Mbowe,halafu unawaambia wakiona vitendo vya uvunjifu wa amani wakutaarifu?
Haya ni matukio mawili ambayo yamelazimishwa yatokee kwa wakati mmoja.
BUT
God is the rightiest.
Unamaanisha kwamba alitakiwa awaite wanachama wake wote pale ukumbini Mlimani City kisha wapange harakati za ugaidi kwa uwazi bila kificho? Kweli nyie ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo!Hivi kweli Mbowe apange kufanya ugaidi halafu chama chake Cha CHADEMA kisihusike kwa namna yoyote?
Imetumika akili ndogo sana kupanga haya mashitaka.
Alisema pia kwamba mpango mzima ulikuwa wa kufanya uhalifu! Don't forget that!Urio mwenyewe kasema kuwa akina Adamoo aliwaambia kuwa wanahitajika Kwa kazi ya ulinzi!
Endelea kunishangaa mpaka baadaye utanielewa tu. Lt. Urio mwenyewe, ambaye FM alimfanyisha misheni nzima ya ugaidi ameeleza wazi kwamba vijana walikuwa wanatafutwa kwa ajili ya ^kazi maalum.^ Usichokielewa ni nini hapo?Mahakamani, Urio kasema aliwapa pesa hizo wakafanye uhalifu. Wakati anawapa pesa hizo, aliwaambia ni kwenda kufanya kazi ya ulinzi kwa Freeman. Kwamba ni za kufidia usafiri pamoja na kujikimu na wengine kusafiri kutoka Morogoro kwenda Dar. Hayo mengine yote unayosema haya make any sense.
Wote tunasoma kitu kimoja lakini uelewa ni wa tofauti. Nakushangaa.
Hivi hiyo meseji yule jamaa wetu wa juzi aliisoma kweliAlimwamini kwa kigezo cha ^Homeboy^! Jiulize, kwa nini hata alidiriki kufanya naye mawasiliano yoyote? (And, they are not blood-related?) Sababu ni ileile ya HOMEBOY!
FM kukata mawasiliano? Mbowe mwenyewe kwenye Messenger alimwambia Lt. Urio (according to shahidi wa leo): ^Nimeshindwa kupokea simu zako kwa njia ya kawaida kwa sababu (...) (...) (...) Nadhani unajua!^
Kwa sababu hakuulizwa.Hakuiambia Mahakama kuwa kwenye simu yake kulikuwa na balance yoyote ndugu.
Endelea kunishangaa mpaka baadaye utanielewa tu. Lt. Urio mwenyewe, ambaye FM alimfanyisha misheni nzima ya ugaidi ameeleza wazi kwamba vijana walikuwa wanatafutwa kwa ajili ya ^kazi maalum.^ Usichokielewa ni nini hapo?
Hili ni swali au jibu
Mipango ya maana kabisa mwanaume mzima tena afisa wa jeshi iwe chini ya shilingi milioni moja? Hiyo si hela ya kuchukulia Machangudoa hapo corner bar? Ww ni bendera fuata upepo, ndio maana unabeba maneno ya igp unatuletea hapa
Sijui Hata Unaongea utoto gani.
Kwani Mbowe atakua wa kwanza kusingiziwa? Mbona wengi tu wanasingiziwa
Utaendelea kuwa mjinga hadi lini? Jaribu kulegeza via vya uzazi wako huenda ukawa na akili timamu.
Akitokea mtu mmoja mtaani kwenu anatishia usalama wa nchi, utamwacha kwa kigezo kwamba hawezi kuwa na madhara yoyote, just because ni mmoja? Acha kudharau hivyo uwezo wa akili yako!Makomandoo wanne waliofukuzwa Jeshini wakawawa wanafanya vibarua mitaani wanaweza kusimamisha nchi???????? Hii ni Dharau
Sasa kwa vile Urio kasema basi inakuwa ni ukweli. Yaani Urio kukutana na Mbowe mara tatu nne tayari Mbowe angemuamini kumueleza siri kama hiyo ... Seriously!!shida mmeshikiwa akili na mwenyekiti.na mbaya zaidi mnamuona mwenyekiti wenu NI malaika hakosei.
Yeye ndo kaanza kumtafuta urio,mpaka meseji za sikukuuu alikuwa anamtumia,akaanza kumwambia amtafutie vijana ,akamapa mpaka mipango yake.
Sasa unabishana na urio ambaye alikuwa na mbowe wakipanga mipango?
It means FM asingemtafuta Lt. Urio, leo tungekuwa na mada zingine kabisa!Sasa unachokataa nini?
Mbona Mambo yapo wazi?
Kwa mujibu wa kamanda urio mbowe ndiye aliyemtafuta akamwambia amtafutie vijana akampa na malengo yake..
Sasa kwa vile Urio kasema basi inakuwa ni ukweli. Yaani Urio kukutana na Mbowe mara tatu nne tayari Mbowe angemuamini kumueleza siri kama hiyo ... Seriously!! Sasa, hizo messege za Urio kutoka kwa Mbowe si azilete pia kama ushahidi ya kuwa wamekuwa na mawasiliano tangu 2012 kama marafiki ... Yaani hiki kituko walichokifanya kimeaibisha Jeshi na Police kwa ujumla. Urio anakuwa ndiye kachero mkuu, Kingai anapokea taarifa.