mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hapa unajibu hoja gani au hii Ndiyo laana ya ujinga uliojitwisha kama jina lako lilivyo, jielekeze kwenye hoja. Wewe Hadi sasa una kitu kichwani si bure.
Hilo la uhalifu,Kwa maelezo yake Urio anasema hakuwaambia akina Adamoo!Alisema pia kwamba mpango mzima ulikuwa wa kufanya uhalifu! Don't forget that!
Akili zako na za huyo Urio zinafanana.Ugumu upoo.
Maana mbowe na kamanda urio walikutana mikocheni.
Wakapanga mipango.
Ndo maana nasema ili mbowe aonekane Hana hatia anatakiwa kwanza AMKANE URIO KUWA HAMJUI Wala hamfahamu.
Vinginevyo sioni mbowe akichomoka.
Na hukumu ya hapa duniani si hukumu ya haki,hukumu ya haki ni siku ya paradisoKesi iwe ya michongo ama iswe ya michongo:-
- ni kesi
- Mbowe yuko rumande
- kesi inaendelea
- tusubiri hukumu
Na Urio nae inabidi achukuliwe hatua kali za kisheria jeshini baada ya hii kesi kuishaKati ya mbowe na kamanda urio Nani aliyewaambia hao makamanda kuwa kuwa Kuna kazi ya ulinzi?
Akili zako na za huyo Urio zinafanana.
Huyu jamaa kajaa mavi kichwani .. wazaz wangepiga nyetoWewe na AKILI za mwenyekiti wako Zina fanana.
Hauwezi kufanya mipango na JW
Huyo sio lt.
Huu ni uuaji mkubwa. Kwani akina Bwire walimkosea nini Urio hadi awachomekee likesi la mchongo kama hilo? Kama kweli Mbowe alitaka kuchukua Dola si Urio angehusika moja kwa moja kuwezesha hayo mapinduzi? Kwanza ni mapinduzi gani ya nchi yafanywe na Mbowe na hao vijana wa watu? Yaani unawatafutia vijana wa watu kazi ya ulinzi halafu unaenda kwa DCI kuwachongea ili wakamatwe kwa Ugaidi! Jamani kwani ubinadamu umeenda wapi?Ila kiukwel hapo jamaa kawaonea hao madogo hata kama wangetenda ugaid kwel..kwann awatumbukize kwenye matatizo.Yan unawatoa kwenye deal zao halali za kujitafutia kipato unawalengesha kwenye ugaid wakafie gerezani??
Je hii ni namna serikal/jeshk linawamaliza watu wake waliokwenda nao kinyumbe wakaishie gerezan kwa hofu ya wao kuendelea kukaa mtaani???
Au ndio roho mbaya tu ya urio kwa vijana wenzake.At 42 years urio mbona bado kijana mdogo tu kwanini akose huruma kwa vijana wenzie wanaotafuta maisha na wanafamilia na hawan background za mambo hayo zaid ya kulitumikia taifa??
HII IMENIUMA SANA.
Yan badala ya kuwatafutia vijana wako michongo ya kuendeleza maisha yao nje ya jeshi unaamua kuwatumbukiza segerea kwel??
Inasikitisha maana mmoja alikua anapiga deal za kusafirisha gari za IT mwingine yuko zake anapiga mzigo SGR...Huu ni uuaji mkubwa. Kwani akina Bwire walimkosea nini Urio hadi awachomekee likesi la mchongo kama hilo? Kama kweli Mbowe alitaka kuchukua Dola si Urio angehusika moja kwa moja kuwezesha hayo mapinduzi? Kwanza ni mapinduzi gani ya nchi yafanywe na Mbowe na hao vijana wa watu? Yaani unawatafutia vijana wa watu kazi ya ulinzi halafu unaenda kwa DCI kuwachongea ili wakamatwe kwa Ugaidi! Jamani kwani ubinadamu umeenda wapi?