Ukitumia instincts, kuna mkanganyiko wa hatariiiiiii wa tarehe
. Wakati wanaona Longido, Mbowe alikuwa gerezani
. Wakati wanaonana moshi, Shahidi alikuwa gerezani
Umeandikaaa nimesomaaa ila sijaelewa ulichoandika kwa kweli
Kwasababu unatumia makalio kufikiri, na ubongo kuendea haja.
Nawe si ni failure wa form 4 or six, utaelewaje? altogether, it might be you have never seen the inside of a modern school. Sana sana madrasa mama D.Umeandikaaa nimesomaaa ila sijaelewa ulichoandika kwa kweli
Usikute wewe nawe unajiita mwanaume... maana unakurupuka kujibu kamtoto kadogoooo kabisaaKwasababu unatumia makalio kufikiri, na ubongo kuendea haja.
Ukikua utaacha hii mihemko ya kitoto. Maada iko mezani duniani tunaijadili tulio hai, wafu wanaingiaje hapaSio lazima kila kitu uelewe kwa sasa au wakati huu, Mengine utaelewa ukifika Mbinguni
Subiri ukifa mengine utayakuta huko huko na utayaelewa vizuri sana
Viongozi wa Dini wanasema uwe na Imani tu, Utayaelewa vizuri kuwa Dunia ilitoka wapi na sisi tunaelekea wapi wakati wako utakapofika tu
Ondoa hofu siku yako ipo karibu sana
Acha kukariri maisha ndugu yanguHuwezi kuelewa maana kaaya si amewaharibu vichwa jana
Nakuhurumia sanamkuu uyu nae anaitwa power😂😂
Rudi Shule, ni uelewa wako mdogo
Ukitumia instincts, kuna mkanganyiko wa hatariiiiiii wa tarehe
. Wakati wanaona Longido, Mbowe alikuwa gerezani
. Wakati wanaonana moshi, Shahidi alikuwa gerezani
Nawe si ni failure wa form 4 or six, utaelewaje? altogether, it might be you have never seen the inside of a modern school. Sana sana madrasa mama D.
Ona sasa andiko lako hili , the way you present your mind, surely you portray the truth of my assumptions as above!Siku ukijua kutenganisha hisia, mihemko na hali halisi ya mambo utaweza kuwa mpiga debe mzuri wa siasa japo hutokaa uweze kuwa mwanasiasa mahiri
Pole mwayego
Muuza k tu uyo.mkuu uyu nae anaitwa power😂😂
yaani ni sawa na kusema wakati mimba ingia baba wa mtoto hakuwepoKwa maelezo ya Shahidi huyo ni kuwa alikutana na Mh. Mbowe kwa Mara ya Kwanza mwezi January 2020 huko Longido lakini wakati huo anasema alikutana na nae, Mbowe alikuwa amefungwa gerezani ukonga hivyo haijulikani walionana vipi huko Longido...
Umehemka ukaishia kutoelewa hata nilichoandika
Ungekua na uelewa japo huo mdogo usingeandika ulichokiandika hapo. Walioelewa wamenielewa kama huyu mapinduzi daima
Pole kwa kuingia Cha kikeUsikute wewe nawe unajiita mwanaume... maana unakurupuka kujibu kamtoto kadogoooo kabisa..
Aah Ndio ule muendelezo wa Royal tours ndugu... nchi ijulikane kwa ushahidi wa kubumba pia longo longo 🙂Ni kivutio cha watalii. Mojawapo ya maajabu ya Tz.
Haki ya mtu haipotei hata siku moja,kumbuka raisi wa sasa wa Zambia vile alivyofanyiwa utaelewa tukinachoendelea mahakamani ni Ze Comedy Hakimu ana maamzi yake mfukoni.
kwa mara ya kwanza nahisi giza kuishinda Nuru.
Mama tunajua hukumu itatolewa na MBOWE atafungwa. Ila ukweli utabaki kuwa ukweli daima. MBOWE sio Gaidi. Umeiona catoone ya Kipanya?? Ile ndio uhalisia WA KESI yenyewe.We mama mpkie mumeo Acha umbea
Ona sasa andiko lako hili , the way you present your mind, surely you portray the truth of my assumptions as above!
Pole kwa kuingia Cha kike