Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na wenzake: Kaaya amaliza kutoa ushahidi. Shauri kuendelea 29/10/2021

Ukitumia instincts, kuna mkanganyiko wa hatariiiiiii wa tarehe

. Wakati wanaona Longido, Mbowe alikuwa gerezani

. Wakati wanaonana moshi, Shahidi alikuwa gerezani

Wewe umeona nilichokiona ndio maana nimeoma weeeeee ila sikuelewa

Mkanganyiko wa hatari..... loshoroo, pizza, makange, mtindi humohumo🤣🤣
 
Umeandikaaa nimesomaaa ila sijaelewa ulichoandika kwa kweli
Nawe si ni failure wa form 4 or six, utaelewaje? altogether, it might be you have never seen the inside of a modern school. Sana sana madrasa mama D.
 
Kwasababu unatumia makalio kufikiri, na ubongo kuendea haja.
Usikute wewe nawe unajiita mwanaume... maana unakurupuka kujibu kamtoto kadogoooo kabisaa

Ukikua utaacha hii mihemko ya kitoto. Maada iko mezani duniani tunaijadili tulio hai, wafu wanaingiaje hapa

Wewe ni marehemu wa baadae kama walivyo wengine wote wenye uhai. Usijisahau


Huwezi kuelewa maana kaaya si amewaharibu vichwa jana
Acha kukariri maisha ndugu yangu


mkuu uyu nae anaitwa power😂😂
Nakuhurumia sana
 
Rudi Shule, ni uelewa wako mdogo

Umehemka ukaishia kutoelewa hata nilichoandika
Ungekua na uelewa japo huo mdogo usingeandika ulichokiandika hapo. Walioelewa wamenielewa kama huyu mapinduzi daima
Ukitumia instincts, kuna mkanganyiko wa hatariiiiiii wa tarehe

. Wakati wanaona Longido, Mbowe alikuwa gerezani

. Wakati wanaonana moshi, Shahidi alikuwa gerezani
 
Nawe si ni failure wa form 4 or six, utaelewaje? altogether, it might be you have never seen the inside of a modern school. Sana sana madrasa mama D.

Siku ukijua kutenganisha hisia, mihemko na hali halisi ya mambo utaweza kuwa mpiga debe mzuri wa siasa japo hutokaa uweze kuwa mwanasiasa mahiri

Pole mwayego
 
Siku ukijua kutenganisha hisia, mihemko na hali halisi ya mambo utaweza kuwa mpiga debe mzuri wa siasa japo hutokaa uweze kuwa mwanasiasa mahiri

Pole mwayego
Ona sasa andiko lako hili , the way you present your mind, surely you portray the truth of my assumptions as above!
 
Kwa maelezo ya Shahidi huyo ni kuwa alikutana na Mh. Mbowe kwa Mara ya Kwanza mwezi January 2020 huko Longido lakini wakati huo anasema alikutana na nae, Mbowe alikuwa amefungwa gerezani ukonga hivyo haijulikani walionana vipi huko Longido...
yaani ni sawa na kusema wakati mimba ingia baba wa mtoto hakuwepo
 
Umehemka ukaishia kutoelewa hata nilichoandika
Ungekua na uelewa japo huo mdogo usingeandika ulichokiandika hapo. Walioelewa wamenielewa kama huyu mapinduzi daima

Rudi Shule utaelewa kilichoandikwa, hata haya nayoandika si unaona nayo huelewi?
 
mashaidi wanazidi kujamba na kujinyea kila kukicha !

unaulizwa kizungu unajifanya kukijua !
heti terrorist ni ugaidi alafu terrorism ni utalii
[emoji23][emoji23]
 
Ona sasa andiko lako hili , the way you present your mind, surely you portray the truth of my assumptions as above!

Vyeti ulivyo navyo leo ukirudishwa darasani sifuri tuu

Maana una akili za kukopa wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…