Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake leo 20/01/2022. Shahidi 10 amaliza, shahidi wa 11 mwingine kuanza ushahidi kesho 21/01/2022

Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake leo 20/01/2022. Shahidi 10 amaliza, shahidi wa 11 mwingine kuanza ushahidi kesho 21/01/2022

Kweli naona imekuwa kwa ufupi sana seems kama hawakujipanga vyema.
... sio kwamba hawakujipanga bali ukweli ukidhihiri, uongo hujitenga. Wamepigwa ganzi na spana za jana; shahidi wako, tena shahidi muhimu, anapotoa ushahidi kinyume na matarajio yenu tena in favor of the other side lazima mtafutane!

Na bahati mbaya ndio imetoka hiyo ama jaji atupilie mbali mashtaka au wakakutane rufaa.
 
... sio kwamba hawakujipanga bali ukweli ukidhihiri, uongo hujitenga. Wamepigwa ganzi na spana za jana; shahidi wako, tena shahidi muhimu, anapotoa ushahidi kinyume na matarajio yenu tena in favor of the other side lazima mtafutane!

Na bahati mbaya ndio imetoka hiyo ama jaji atupilie mbali mashtaka au wakakutane rufaa.
Wacha tusubiri tujue mbivu na mbichi
 
Inaonesha wazi kuwa mawakili wa serikali wanavuta siku ili kuwachosha mawakili wa utetezi, semina za mashahidi zinachukua muda wa kesi.

Hivi wako mashahidi 25 kama walivyosema upande wa Jamhuri?
 
...Reexamination ya leo imekuwa fupi sana; nilitegemea mawakili wa serikali wangetaka ufafanuzi kutoka kwa shahidi kwenye yale maeneo "aliyoonekana ku-support" upande wa utetezi lakini wapi! Kwa mfano, nilitegemea maswali kama;
  • ulimaanisha nini uliposema hukuona neno Sabaya kwenye extraction? (Sikusikia hilo swali).
  • jana nilikusikia ukisema hukuona mipango ya vitendo vya ugaidi kwenye extraction yako; ulimaanisha nini wakati kesi hii ni ya ugaidi? (Sikusikia hilo swali).
  • jana ulisema wewe ni askari polisi na kama ungeona mipango ya vitendo vya uhalifu ungeandika kwenye ripoti yako; mweleze mheshimiwa jaji ulimaanisha nini; (Sikusikia hilo swali)..
Hizo ni kati ya hoja za msingi zinazobeba shauri zima la uhalifu/ugaidi wa Mbowe na wenzake; badala ya kutaka ufafanuzi wa kina wanauliza maswali ya kijinga na kuomba shauri liahirishwe hadi kesho kwani leo hawana shahidi mwingine! Ok, waendelee kutafuna pa diemu fedha za serikali hazina mwenyewe.
Hayo ni maoni yako- siyo fact
 
Kweli naona imekuwa kwa ufupi sana seems kama hawakujipanga vyema.
Sio hawakujipanga bali hawana kipya cha kuuliza maana shahidi jana ameitaarifu dunia kuwa hakuna kiashiria chochote cha uhalifu/ugaidi kwenye vifaa alivyochunguza, sana-sana wanahofia wakiendelea kumuuliza maswali shahidi huyu maswali atazidi kuivua nguo jamuhuri.
 
...Reexamination ya leo imekuwa fupi sana; nilitegemea mawakili wa serikali wangetaka ufafanuzi kutoka kwa shahidi kwenye yale maeneo "aliyoonekana ku-support" upande wa utetezi lakini wapi! Kwa mfano, nilitegemea maswali kama;
  • ulimaanisha nini uliposema hukuona neno Sabaya kwenye extraction? (Sikusikia hilo swali).
  • jana nilikusikia ukisema hukuona mipango ya vitendo vya ugaidi kwenye extraction yako; ulimaanisha nini wakati kesi hii ni ya ugaidi? (Sikusikia hilo swali).
  • jana ulisema wewe ni askari polisi na kama ungeona mipango ya vitendo vya uhalifu ungeandika kwenye ripoti yako; mweleze mheshimiwa jaji ulimaanisha nini; (Sikusikia hilo swali)..
Hizo ni kati ya hoja za msingi zinazobeba shauri zima la uhalifu/ugaidi wa Mbowe na wenzake; badala ya kutaka ufafanuzi wa kina wanauliza maswali ya kijinga na kuomba shauri liahirishwe hadi kesho kwani leo hawana shahidi mwingine! Ok, waendelee kutafuna pa diemu fedha za serikali hazina mwenyewe.
Hata Mimi kwakweli nimeshangaa,maswali ya msingi yanayoibeba kesi wanaya-skip sijui kwanini lakini sikuona mantiki yao kabisa.

Haiwezekani eti re-examination iwe na maswali machache na mepesi namna Ile.

Jana Sabaya alijitetea huko mahakamani akimtuhumu Mbowe kuwa yeye ndiye amemsababishia matatizo Hadi kupelekea kufungwa, sasa kwa maana hiyo kwasababu hizo hawa mawakili wangejikita kuchimba Juu ya suala la Sabaya ili kuubainisha ukweli.
 
Hata Mimi kwakweli nimeshangaa,maswali ya msingi yanayoibeba kesi wanaya-skip sijui kwanini lakini sikuona mantiki yao kabisa.

Haiwezekani eti re-examination iwe na maswali machache na mepesi namna Ile.

Jana Sabaya alijitetea huko mahakamani akimtuhumu Mbowe kuwa yeye ndiye amemsababishia matatizo Hadi kupelekea kufungwa, sasa kwa maana hiyo kwasababu hizo hawa mawakili wangejikita kuchimba Juu ya suala la Sabaya ili kuubainisha ukweli.
... shahidi wa jana kamsafisha Mbowe dhidi ya tuhuma za kumdhuru Sabaya; labda shahidi mwingine atakuja kumtia hatiani; ila kwa jana limebuma.
 
Hawa mawakili wa serikali toka kesi imeanza wanaonekana kurefusha muda wa kusikilizwa kwa kesi Zaid maana haiwezekani mashahidi Kila mara wanaudhuru, ni wazi hawakutegemea kukutana na moto wa mawakili wa utelezi
 
...Reexamination ya leo imekuwa fupi sana; nilitegemea mawakili wa serikali wangetaka ufafanuzi kutoka kwa shahidi kwenye yale maeneo "aliyoonekana ku-support" upande wa utetezi lakini wapi! Kwa mfano, nilitegemea maswali kama;
  • ulimaanisha nini uliposema hukuona neno Sabaya kwenye extraction? (Sikusikia hilo swali).
  • jana nilikusikia ukisema hukuona mipango ya vitendo vya ugaidi kwenye extraction yako; ulimaanisha nini wakati kesi hii ni ya ugaidi? (Sikusikia hilo swali).
  • jana ulisema wewe ni askari polisi na kama ungeona mipango ya vitendo vya uhalifu ungeandika kwenye ripoti yako; mweleze mheshimiwa jaji ulimaanisha nini; (Sikusikia hilo swali)..
Hizo ni kati ya hoja za msingi zinazobeba shauri zima la uhalifu/ugaidi wa Mbowe na wenzake; badala ya kutaka ufafanuzi wa kina wanauliza maswali ya kijinga na kuomba shauri liahirishwe hadi kesho kwani leo hawana shahidi mwingine! Ok, waendelee kutafuna pa diemu fedha za serikali hazina mwenyewe.
Kumbuka jana wakili wa serikali alisema shahidi wao anaulizwa maneno magumu! Wakati maneno hayo ndiyo yanayohusu kazi yake shahidi! Mawakili wa serikali wasingeweza kuyataja maneno ya progulamu zilizotumika hivyo wakaona isiwe shida wacha lipite maisha yaendelee.
 
...Reexamination ya leo imekuwa fupi sana; nilitegemea mawakili wa serikali wangetaka ufafanuzi kutoka kwa shahidi kwenye yale maeneo "aliyoonekana ku-support" upande wa utetezi lakini wapi! Kwa mfano, nilitegemea maswali kama...
Mkuu hawa Jamaa lazima wapoteane kwani mwanzoni kabisa Hangaya alisema hawa Watuhumiwa wenzake na Mbowe walishahukumiwa Kwa kosa la ugaidi. Mara ya pili akajakusema kinachowakabili Watuhumiwa wale hasa Mbowe ni kosa la kutoheshimu Mamlaka.

Sasa hapo unategemea nn Mkuu? Mawakili wa upande wa Jamhuri lazima wakate tamaa na ndiyo maana wala hawahangaiki tena kwenye kumuandaa vema Wakili wao.
 
Pamoja sana Mkuu; mnapiga kazi iliyotukuka sana kwa hakika; kazi mnayofanya ya kujitolea kutupasha habari za "kesi hii kubwa" kuwahi kutokea katika nchi yetu, kesi ambayo vyombo vyote vya chama na serikali vimepigwa ganzi havitaki hata kuuhabarisha umma, Mungu atawalipa.
Ni kweli mkuu, Hata hivyo ni vizuri kufahamu kadri siku zinavyokwenda ndivyo CCM inaendelea kuharibika na kuoza. Hii siyo kesi kubwa na kihistoria kwa nchi yetu kumewahi kuwepo na kesi nzito Kama za uhaini ambazo adhabu yake ni kunyongwa,lakini enzi hizo CCM iliyokuwa imara haikuogopa,kesi nzima iliandikwa kwenye magazeti ya chama na serikali bila woga. Hii kesi hata wenyewe wanaionea aibu tu,kwa vile hawawezi kusema tu.

Toka kesi imeanza ni vioja tu tunashuhudia,mpaka Sasa hakuna mahali wanaonyesha tuhuma za ugaidi za moja kwa moja. Angalia ushahidi wa msg Jana, unaelewa nini Sasa. Bila kujua wanaiharibu CCM na kumuaibisha baba wa Taifa bure aliyekuwa na malengo mazuri ya kuanzisha CCM.
 
Ni kweli mkuu, Hata hivyo ni vizuri kufahamu kadri siku zinavyokwenda ndivyo CCM inaendelea kuharibika na kuoza. Hii siyo kesi kubwa na kihi...
... ndio maana maneno "kesi kubwa" yapo ndani ya quote Mkuu.
 
Back
Top Bottom