Yaliyojiri katika kesi ya Mbowe na Wenzake. Tumaini Swila amaliza ushahidi. Mawikili wa Serikali wafunga Ushahidi. Jaji kutoa uamuzi 18/02/2022

Toka maktaba:

MAGAZETI NA MITANDAO FEBRUARY 9, 2022


SHAHIDI KESI YA MBOWE AUGUA KIZIMBANI, KESI YAAHIRISHWA



Source : wasafi media
 
Mkuu ninadhani mawakili wa utetezi wameshindwa kutoboa ushahidi wa upande wa mashtaka pamoja na madodoso ya siku tatu kwa shahidi mmoja bila narudia bila kuufunika ushahidi.
Wao walikuwa wanatikisa ila kutikisa siyo kuangusha.
Kweli unaandika haya ukiwa na free mind?Daaah,Kuna ushahidi gani relevant mpaka wanasitisha kuleta mashahidi 11?Labda na Mimi Niko biased,lakini kila nikijiweka upande wako Bado sioni ushahidi wa maana wa kumtia Mbowe hatiani!
 
🀣🀣🀣🀣kazi kweli kweli
 
Mbona tuliambiwa jamhuri ina mashahidi 24, wengine wameenda wapi, hatujamwona sabaya amabe ni victim, hatujamwona DCI, mimi nilitegemea hadi hangaya atakua shahidi wa jamhuri maana alisema wenzake mbowe wamefungwa
 
Kingai alikuwa na msemo wake wa kukutwa na kete za madawa kulevya kwa washitakiwa huu. Msemo haupo tena. Hawa akina Kingai wameshiriki kufanya ujinga sana wa kubambikia watu kesi. Jeshi linaweza kuwa na watu kama akina Kingai, Swila, Goodluck na Jumanne. Hii kesi ilimalizwa na Ndowo na Goodluck leo Swila kaja kumzodoa SSH.
 
Shahidi anazidi kudhihirisha madhaifu ya tanpol aibu sana.
 
Kweli unaandika haya ukiwa na free mind?Daaah,Kuna ushahidi gani relevant mpaka wanasitisha kuleta mashahidi 11?Labda na Mimi Niko biased,lakini kila nikijiweka upande wako Bado sioni ushahidi wa maana wa kumtia Mbowe hatiani!
Umewaza kwa nini Jaji kakataa ombi la Kibatala la wakilisho la HANA KESI YA KUJIBU?
 
Thubutu,hakuna gazeti litakaloandika hivyo,wataremba remba headline hutaamini,pumbavu zao
 
Urio nae alipiga oenati ya ushindi
 
Mlisema
  1. hatakamatwa
  2. hatafikishwa mahakamani
  3. 14/12 Nolle prosequi italetwa na DPP
  4. Shahidi wa 13 amekimbia
  5. Tutamlisha Mbowe milo yote kama MFALME
  6. MAWAKILI WAPO NA HAWAHITAJI MALIPO
  7. nk nk

NANI AWAAMINI? TUSUBIRI
Mkuu kwa hiyo na wewe uko upande wa watesi? Mie nadhani haki ijadiliwe na watu wote. Hata kama upo CCM na kichwani ubongo hakuna, basi jaribu kumhurumia binadamu mwenzako.
 
Na impendeze Mungu hivyo.
 
Mkuu ninadhani mawakili wa utetezi wameshindwa kutoboa ushahidi wa upande wa mashtaka pamoja na madodoso ya siku tatu kwa shahidi mmoja bila narudia bila kuufunika ushahidi.
Wao walikuwa wanatikisa ila kutikisa siyo kuangusha.
Kwahiyo kwa waliositisha ushahidi ndio washindi?
 
DCI mstaafu Boaz kaamua kesi iishe ataonekana zuzu
Zuzu ni zuzu...

Natamani jaji aseme washtakiwa wana kesi ya kujibu. Najua washtakiwa watatesekeka, lakini labda hii ndio sadaka yao kwa Mungu....

Boaz atakuja mahakamani.... atake asitake
Hussein Ally Hassan Mwinyi
Samia Suluhu Hassan

Wote waliozungumzia kesi hii watatakiwa watoe ushahidi kwenye utetezi.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…