Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Mkuu,
Mimi siku ile anatangaza nia ya kuwa mgombea niliangalia/kusoma body language nikagundua kuna mtu/kikundi kiko nyuma ya Makongoro Nyerere.

Makongoro alikuwa ni proxy solder huku akitumia majukwaa ya kuomba udhamini kama uwanja wa kumwaga sumu ambayo viongozi wa juu wa CCM walishindwa kuimwaga.

Niliuliza maswali kwenye Thread hii,

Hata mdahalo maalum wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere uliofanyika juzi ulikuwa na malengo yale yale aliyokuwa akiyatafuta Makongoro.

Butiku, Warioba na Polepole walitumia muda mwingi kwenye mdahalo kumshambulia Lowassa na watu wake.

Hii ni video ya yaliyosemwa katika Mdahalo huo maalum

[video]https://youtu.be/d8SdnhJNOlM[/video]

Tumekuwa tunaambiwa Lowassa ana 'maamuzi magumu', tunayasubiri kwa sasa hayo maamuzi magumu!

mkuu ungeachana kwanza na kutuwekea hayo mavideo yako,, nani ana muda wa kuyaangalia sasa hivi?
 
Kweli Lowassa kajifunganyia nguvu kubwa sana kumzunguka. Yani kila mtu anazungumzia sio waliopitishwa, bali ALIEKATWA!! Sasa siasa haina majibu kamili. Kwa nguvu aliyoikusanya, ningelikua ENL ningelitoa hotuba kukubali kushindwa na ningelisihi wafuasi wangu wote waunge mkono atakaeteuliwa.

Hiyo ndio namna bora zaidi ya kukinusuru chama kikongwe (GOP) cha Tanzania. Vinginevyo mpasuko mkuu wa GOP unanukia ukiambatana na harufu ya damu ndani yake. Kwa mpango huo huo wa siasa kutotabirika, basi GOP kwishney na ENL pia kwishney.

ENL ana hasara zaidi hapo. Aepuke hiyo 'tukose wote' situation!! Maslahi yake akiwa ndani ya GOP na kusapoti aliepitishwa yatamea zaidi. Tofauti na hapo, kila mtu anaeza tabiri kinachokuja kutokea mpaka kufikia Oktoba.

Kuna jambo jingine. GOP ilivyo, kwa sasa ENL hana la kufanya. Hadi wamejasirika kumkata, then ameshasetiwa kila aina ya mtego kutokufurukuta. Akamuulize 6 kilichomfanya aanzishe chama na akashindwa kujiunga nacho ingawa ananyanyasika alipo!!
 
Safari ya Matumaini
Safari ya Matumai
Safari ya Matuma
Safari ya Matum
Safari ya Matu
Safari ya Mat
Safari ya Ma
Safari ya Monduli
😂😂😂😂😂😂
 
Wakuu hapa Dodoma ni kama kumepita ugonjwa wa mnyoofu sababu hali si muhali hata kidogo!

Watu wamenyong'onyea sana and keep my word CCM inaenda kupitia kipindi kigumu sana.
 
Membe ww sio mtendaji na wala vigezo hauna..ni basi tu una mvuto na hendisamu..sasa basi tunakuomba uache porojoo nyingii uache usaniii ufanye kazi km ukipita ukichaguliwa...Tunakuomba sana maana taifa linaangamia..umebebwa ndio hiyo inaoenekana kabisa wazi ila basi tunaomba ubebeke na uwe mtendaji ufanye kazi utupe maendeleo..in short prove thrm wrong.mambo ya kupenda kusafirisafiri kwa sasa achana nayo hatutaki muendelezo wa jk maana na ww unapenda sana goodtime ilo linaeleweka! Cha msingi bebeka basii tupo nyuma yako.

No comment....Siasa za Uchaguzi za Vyama zote zikianza tutajua
 
Kuna haja ya kutafuta pop corn hapa mana movie bado inaendelea kwa waliokatwa
AMESHAKATWA
 
Membe ni jembeeeeeeeeeeeeee, Magufuli ni Mkurupukaji.

kwa lipi alilotufanyia sisi masikini wa vijijini?
magufuli kila kona ya nchi hii unakutana nae,sijui utatwambia nini kajipange upya
 
Hivi si walisema wale ni #boyztoMen hawaachani au kundi limekufa 🏃🏃🏃💇💇
 
Magufuli ana lack dipomat skills. wote hawa ni watu smart, nadhan wakiweza kufanya colaboration mmoja akawa raisi na mwingine pm na imani nao sana nchi inakuwa ya viwanda na uchumi wa kati ila Prof Muhongo wamrudishe wizara ya nishati bado tunamtaka sisi watu wa wizara ya nishati tulimkubali

Umeongea point kuhusu Muhongo.Membe hata km ni Diplomat, bado nadhani magufuri anaweza bora zaidi.
 
Ng'wamapalala Makongoro alikuwepo pale kwa lengo maalum

Na kazi yake ameifanya vizuri

Ila inajulikana makongoro hangeweza kupewa kwa sababu tu ya Yeye kuwahi kuwa Mpinzani
 
Last edited by a moderator:
Niliandika mapema sana kuwa Urais kanda ya kaskazini unatakiwa kwa udi na uvumba, hivo el kwenda ukawa/act haitashangaza kwangu labda jf member wengine.
Vinginevo awe ameitwa na vigogo ccm na kuambiwa atulie aje apewe zile big 3chance.
Kwa msisitizo, rais bado ni Lowassa ila kupitia nje ya CCM, infact nashauri ndie awe mgombea wa UKAWA!.
 
system imemuandaa Membe kuwa Rais kwa muda wa miaka 10......Amekuwa exposed kwenye maeneo yote muhimu ya nchi hii

Kwa Tanzania CCM kushinda ni Pie....kwa sababu kila kitu ni cha kwao...hakuna namna ya kusema eti wanakubali kushindwa

Whether kutakuwa na mpasuko au la...The next president is Membe...Usalama wa Taifa wamemuandaa muda mrefu

Prime Minister ni Magufuli

Ni rahisi sana kuitawala Tanzania kwa nature ya Watanzania tulivyo Mazezeta

Lowassa hakatwi nasema. Tunaanzisha vita tuuane.
 
MAGUFLI ndo mkombozi wa ccm mwaka huu,kila sehemu anajulikana kwa kazi alizozifanya ,
 
Back
Top Bottom