Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Magufuru huyu aliye sema wananchi wapigembizi kuvuka kigamboni kama hawata toa miambilimiambili au mwingine duh!
 
Hivi si walisema wale ni #boyztoMen hawaachani au kundi limekufa 

walisema hawakukutana barabarani

Zaidi Lowasa alivokuwa bagamoyo akasema kwa kikwete pia ni kwake

Ile kauli niliitafakari sana.

Ina maana na Salma pia Ni wa kwake Lowasa
 
Kwa fitina zinazoendelea hivi sasa huko Dodoma, naona mwisho wa ccm unakaribia kwa kasi zaidi!!!
Ni kitu cha kushangaza kuona jina la mh. Lowassa linakatwa na la mh. Membe kubaki wakati wote ni wahanga wa shutma za matumizi ya rushwa... Kupita kwa mh membe kunaleta walakini hata kwenye taasisi nyeti ya usalama wa taifa(tiss) kwa kushindwa kutoa maoni kwa kamati kuu juu ya shutma nyingi alizonazo mh. Membe.

Mwenyekiti wa ccm taifa.... tuachie chama chetu kama ulivokikuta, ccm kwanza ukoo wenu badae.

Kukatwa Lowassa sawa, kupita Membe Hapana!!!

ccm safi inawezekana
 

hatuitaji rais wa kuongozwa na washauri wake tunataka rais anaejua anachokifanya,
 
Lowassa hakatwi nasema. Tunaanzisha vita tuuane.

hahahahaha...Ameshakatwa mkuu

Argument hapa inaweza kuwa waliopitishwa ni dahifu

Lakini kwa Lowasa ilikua ni sahihi kabisa kukatwa

Amecheza Rafu nyingi
 
.... Taarifa zinazosambazwa juu ya majina yaliyopenyeza 5 bora siyo rasmi.


Taarifa rasimi itatolewa leo asubuhi majira ya saa nne.


Binafsi nina imani makongoro ndani

fungua star tv nape yupo live
 
Ni mapema sana Tanzania kuongozwa na mwanamke! Kati ya Migiro au balozi Amina, itabidi mmoja awe makamu wa rais; na huenda nafasi ikaenda kwa Mzenji balozi Amina ili kudumisha kamuungano ketu haka,
 
Nape anaongea Star Tv anasema majina ndio hayo ambao hawajaridhika eti wakate rufaa
 
mkuu ungeachana kwanza na kutuwekea hayo mavideo yako,, nani ana muda wa kuyaangalia sasa hivi?
Mkuu,
Kwani wewe umekuwa msemaji wa jukwaa hili?

Kama wewe huna muda hata wa kusoma comment zangu unaweza kuzipita kama vile huzioni!

Maandiko yangu hayawezi kubadili hali ya kisiasa!

Mimi siwezi kulaumiwa kwa maamuzi yaliyofanywa na wazee wa CCM!

Mimi ni msomaji na mchangiaji tu!

Ninafahamu ukisikia kelele...
 
Magufuru huyu aliye sema wananchi wapigembizi kuvuka kigamboni kama hawata toa miambilimiambili au mwingine duh!

wewe unataka rais wa kudekeza watu hata kama wanafanya ujinga ,hiyo haitakuwa nchi kila mtu anaamua kufanya anavyota,
tunataka rais wa kuwambia watu wafate sheria na wakafata,
 
Nape mkali jamani anaulizwa maswali na waandishi wa habari anawaambia wakitaka wakasome katiba ya chama inasemaje...

Kawa mkali kama Mbogo...
 
Kingunge -Lowasa akikatwa patachimbika
cc.msalani njooni Ukawa


Hakuna wa kufurukuta Jina lake likikatwa...

Hata hao wanaojifanya kupinga matokeo, ukweli wanaujua ila walikula hela za Mzee.. Sasa watajibu nini.
 
nawahurumia mawaziri watakao kuwa chini ya magufuli aswa wale waliozoea kulala ofisini badara ya kuwatumikia wananchi,
 
😆😆😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😤😤😤😤😤😤🙈🙈🙈🙈🙈👺👺low assa wamem😭😭😭😭😭😭🔪🔪🔪🔪🔪🔪🔪💉💉💉💣💣💣💣🔫🔫🔫🔫✂✂✂✂✂✂✂✂✂✂✂✂✂✂✂ hahahaha UKAWAAAAAAAAAA HAOOOOOOOOOOOO MAFISADI CCM MNALO MWAKA HUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…