Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

nyerere alisema mkimuweka mtu asiyekubalika na wananchi mnaweza kulia kilio ambacho hakuna wa kukufuta machozi. sasa hasira za wananchi ccm watszishuhudia
 
Najiuliza maswali mpaka sasa na bado sipati majibu! Januari Mkamba ndani ya 5 bora kwa kigezo gani? Amekuwa Naibu waziri kwa Muhula mmoja tu, amekuwa Mbunge kwa Mihula miwili tu, sasa ni kipi kilichomfanya hata ateuliwe?
 
Halafu asubuhi hii wanakimbilia St Gasper Hotel wameenda kujipanga walete (sijui ni fujo huko NEC?)
Huli kundi la akina Kingunge, Nchimbi, Sofia, Kimbisa na team zao wataadhirika sasa hivi ni bora kukubali kushindwa maana zaidi ya hapo ni kipigo hakuna cha kuchimbika wala Balali kurudishwa

Balali ashapanda pipa anakuja. Tunaanzisha vita
 
Tusubiri 3 bora kama Magufuli atawekwa! Hapo ndio patamu,ukiona jina lake halipo Basi ujue president ni Huyo among then3. Lakini Magufuli amewekwa kama chambo tu he is not going to go through top 3. Ni Membe January and Migiro!
 
Urafiki wa Kikwete na Lowassa vimeakisi misemo ifuatayo:Lakuvunda halina ubani,si kila king'aacho ni dhahabu,damu nzito kuliko maji,mali/fedha si kila kitu,urafiki wa mashaka,tenda wema uende zako.Tuendelee kusubiri yanayojiri.
 
kamanda mimi nimefurahi zaidi ya saaaana! Rais gani anahonga hadi wadhamini alafu anatuahidi kukomesha rushwa!? Marafiki zake ni chenge , tibaijuka, rostam na........!!! Tafakaruni watanzania!
kwa hisia kali nasema. Ccm wamekula dumeeeeee. Na nasema, palikuwepo misukule kwenye siku ya kutangaza nia. Yahani hile ilikuwa nguvu ya giza kubwa na yesu ametunasua kwenye mitego ya shetani.
Kweli huu ni mwezi mtukufu na jk ametenda kweli hakuna kupindisha
 
Kamanda mimi nimefurahi zaidi ya saaaana! Rais gani anahonga hadi wadhamini alafu anatuahidi kukomesha rushwa!? Marafiki zake ni Chenge , Tibaijuka, Rostam na........!!! Tafakaruni watanzania!

your CEREBRAL HAS SHAKEN, nani hakuhonga wadhamini?
 
Tujadiliane kwa lugha nzuri kuniita mimi chizi usijione hizo lugha unazijua peke yako na mimi nikirudisha kwa lugha hiyo tutachafua jukwaa.
Maneno ya busara sana haya. Ni vema kuyazingatia
 
Atakayeungwa mkono na Lowasa ndiye atapita.Ifahamike kuwa makucha ya JK hayafui dafu ktk kura za NEC na mkutano mkuu.Kama Lowasa ana nguvu huko,tegemea kura za kumkomoa JK,Magufuli anapita kilaini kabisa
 
Asanten sana jaman ndugu Jakay Mrisho Kikwete na kamati zote za usalama wataifa bila kusahau wazee wetu wa taifa hili bila kuisahau idaray nyeti ya Tis. Kweli haki imetendeka namuona Magufuli akichukua nchi. Haki imetendeka na msg sent for all fisadi people in ths nation. Son of late Eng Maruwa.
 
Huku ni kukifukia chama kaburi asubuh na mapema. Ngoja mimi niweke hakiba ya maneno lakini udini unakiangamiza chama cha Mapinduzi. Ingesound kama wangemtoa na MEMBE lakini kumuweka Membe ni kutaka tuamini sasa kwamba hii vita ya makundi ya kidini imefikia pabaya.
 
Back
Top Bottom