Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

kwa taarifa hilo ndo chaguo la mkuu. angalia nafasi ya uwaziri alioipata. aliwekwa ile mkuu aliokua nayo kabla ya ukuu ahifadhi MAMBO. ILE ya mambo ya nje. SASA Mkuu anang'atuka anataka ashike nafasi yake ili ahifadhi MAMBO

Duuuh nimeshangazwa na kuwepo kwa membe kwenye top 5.. kwa lipi? hatuwezi kucopy and paste bana, au mkuu anataka baadae tuseme afadhali ya JK? naomba team lowassa wahamie kwa Magufuli tupelekwe mchakamchaka
 
KUTOKA DODOMA 4U MOVEMENT
TANGAZO:
Tunawatangazia kwamba kufikia saa nne kamili asubuhi kwa wana 4U ambao si wa NEC wala wajumbe wa mkutano mkuu wawe wameshakabidhi vyumba katika hotel walizofikia, Pia wale wajumbe wa NEC na mkutano mkuu 4U hatutaendelea kugharamia uwepo wenu hapa dodoma!

Mwisho:
Hakutakuwa na usafiri wa mabasi yetu kuwarudisha wale wana 4U huko mikoani kila mtu atajigharamia.
asante
Mr Hemed Ally
Mratibu Taifa (National Coordinator)
@4u movement
www.4umovement.blogspot.com
 
Pamoja sana mkuu kanone. Huyu Membe amekijeruhi sana chama kwa kuendeleza siasa za makundi. Pia uwezo wake ni mdogo sana

Leo umeongea jambo... huyo jamaa ni weakest of them all sijui hata kwenye tano kaingiaje
 
Katika hali ya kushangaza na kustaajabisha kwa kila mtanzania na mwenye kupenda maendeleo ni jinsi ambavyo mambo yanaendelea ndani ya chama chetu tawala.Twakipenda chama chetu tawala na twampenda mh.Lowasa kutuongoza wananchi katika kipindi hiki.Hakika twaamini mh.Lowasa ndiye ataibuka kinara katika haya na hakuna haja ya kukata rufaa wala nini bali Mungu ndiye atatenda kwani pale tunapoona pagumu ndipo Yeye huibuka na kujitukuza .Asante ccm kwa haya kwani mwazidi kutuonyesha kuwa Lowasa ndiye chaguo sahihi kwa wakati huu.Hatutoogopa kamwe kwa hali yoyote kwa hali yoyote inayoendelea kwani twaamini mh.Lowasa ndiye kinara ,twakupenda rais wetu mtarajiwa twakupenda Lowasa.
Team Lowasa forever

Never gv up
 
Wawarudishe watu wa watu...
 

wasipompitisha magufuli tusiwaone kuomba kura.
 
Sasa nayakumbuka yale maneno ya JK aliposema kuwa kuna mgombea aliwachukua watu kwa gari lake wakampigie kura. Alipokosa aliwatelekeza watu hao
 
Tuweni wakweli jamani! Mbona kama siamini hivi kwa kile kilichotokea!
Kama kweli kigezo ilikua ni usafi wa mtu utaamini vipi kwamba waliopitishwa na kamati kuu ni bora kuliko waliachwa? Kama kigezo ilikua ni kukubalika kwa mtu utakubaliana vipi kwamba walipitishwa na kamati kuu ni bora kuliko walioachwa? Duh hatari.
 
Reactions: Gor
CCM mkishindwa kumpitisha Lowassa jueni kuwa Ukawa wanataka kuwaangusha na "Enemy of their enemy is their friend" UKAWA watachukua nchi kupitia yeye na itajulikana baadaye watakavyo simama kumbukeni alisema watanzania wanataka mabadiliko na wasipoyapata ndani ya CCM watayapata nje ya CCM kuweni makin.
Kama mnaogopa kwa wizi na ubadhilifu mlioufanya mtaanguka vibaya kuliko mtakavyoanguka mkimweka LOWASSA.
:amen::amen::amen:
 

hiyo tano bora haipo hapo kwa bahati mbaya..wenzenu wanajua nini kinafuata na wamejipanga kwa mda mrefu..we subiri utaona....membe ndiye...
 
Tunaendelea kufuatilia kwa karibu na soon mtajulishwa kila kitu. Hakika wamechanganyikiwa sana. Kwa vile daktari wake alifika toka Ujerumani, bila shaka anamhandle ipasavyo

Pamoja mkuu, shukrani kwa taarifa
 
Mkuu, umechelewa sana. Lowasa kakatwa
 
Ukawa pokeeni kura zetu make CCM wamerudisha mchwa wameshindwa kuleta wazalendo ..peopleees ....!
 
hah hah hah hah mtalia sana mwaka huu
ila mjue tu mama keshasema anamtaka shemeji Membe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…