Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
JF rudisheni accessibility ya JF kwa guest? Kwa nini muda huu tu?, mbona siku zingine access ipo?
Hatutaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JF rudisheni accessibility ya JF kwa guest? Kwa nini muda huu tu?, mbona siku zingine access ipo?
kwa akili yako na uzoefu wako unadhani wanaosababisha machafuko kwenye nchi ni kina nani????Weee nchi hii si ya LOWASA wala MEMBE ni ya WATANZANIA. Lowasa awe gentleman kama Mh. Mwandosya akubali matokeo. Kulikuwa na wagombea 38 waliorudisha fomu na bado 33 hawajalalamika. Lowasa anataka kufanya nini na rushwa yake na Gwajima mzee wa poda na Kingunge.
Nchi hiko imara na Mh. Rais ameonyesha ukomavu wa hali ya juu na kwa tukio hili ameturejesha wengi CCM na tunamuunga mkono. Hatuwezi kuongozwa kwa mafuriko.
Yaone mateso haya tuliyo nayo ya dhuluma na ufisadi. Lazima ifike mwisho na Mungu atatusaidia. AMENI
umenena vyema. Tuwape muda zaidi wakati tukiendelea kuwafundisha namna ya kuendesha nchi
paraganyika ccmCCM ni kawaida yao kuwachagula watu mtu wamtakae wao. safari hii alilengwa bw M
embe .lkn kwa hasira za wapambe wa EL watakupa wewe kura zao na huyo bwana ataambulia patupu
napata wasiwasi...Hivi inawezekana kweli Lowasa akahonga watu wote hao?
Kwa fitina zinazoendelea hivi sasa huko Dodoma, naona mwisho wa ccm unakaribia kwa kasi zaidi!!!
Ni kitu cha kushangaza kuona jina la mh. Lowassa linakatwa na la mh. Membe kubaki wakati wote ni wahanga wa shutma za matumizi ya rushwa... Kupita kwa mh membe kunaleta walakini hata kwenye taasisi nyeti ya usalama wa taifa(tiss) kwa kushindwa kutoa maoni kwa kamati kuu juu ya shutma nyingi alizonazo mh. Membe.
Mwenyekiti wa ccm taifa.... tuachie chama chetu kama ulivokikuta, ccm kwanza ukoo wenu badae.
Kukatwa Lowassa sawa, kupita Membe Hapana!!!
ccm safi inawezekana