Mimi kuna mmoja kaniambia Lowasa akipita Top 5 atanipa Binti yake anaesoma Chuo,sasa hivi ndio nimefika maeneo anayokaa nipo hapa Bar napiga Nyagi kabisa.
kuna mtu amesema lowassa akipita 5 bora atanipa mke wake, ndiyo nasubiri kwa hamu kweli naona muda hauendi kabisa maana nina hamu
Waiting for the ccm drop-outsSeriously when did UKAWA get eaten in this CCM propaganda machine?i have not heard of anything about UKAWA presidential hopefuls or procedures in any platform in the same extent CCM has theirs, yet UKAWA wants to win the election.
UKAWA needs to get it's PR team together.., amateur time is seriously over.
Ni hatari sana kama CCM itamkabidhi bendera kiongozi wa kidini.
Mbuzi wangu, na kuku wangu, si zangu! samahani lakini mkuu!
Daa akili zangu zote siitaki ccm
Waislam wapo Chadema.Yaani hamna mwislamu hata mmoja?
CCM imeanza kuwabagua waislamu?
mkuu hiyo nyagi taratibu nayo maana utaua mtoto wa mtu
Mkuu, hawawezi kufanya kosa hilo. Huyo jamaa kajiweka sawa kwenye NEC na mkutano mkuu. Kizingiti kwake ni kuvuka CC
Ni hatari sana kama CCM itamkabidhi bendera kiongozi wa kidini.
Wanataka kutumia madhaifu yenu positively!UKAWA wanakesha kufuatilia mchakato wa CCM wamesahau kabisa kama kwao wana mgombea urais.
Du! unataka kulianzisha nini?Swali ni je,tayari AMEKATWA?
Hizo zingine mbwembwe tu!