Yaaaani watanzania pengine amjui mchezo mchafu uliofanyika ni kwamba
kamati kuu hupokea majina yote na kuyahakiki then kuyachagua 5
kilichotokea baadhi ya wahuni wamekwenda na majina 5 walipofika wakaambiwaaa
ati kikao kinatakiwa kuizinisha haya matatno na sio kuchagua....dk nchimbi amesema
toka ajue siasa ajawahi kuona michezo michafu ya kihuni kama kilichotokea dodoma
loh...nchi inaongozwa kijeshi hadi kwenye maslahi ya taifa,,,uwiiiii
haya wakachague na hao 3 basi walete moja ....nec wamekataa uhuni wa kamati kuuu