Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Hata kwenye daladala wamo kuonesha hakatwi.
 
Duuh hivi kwa attention yote hii kwa wa Tz kinachojili huko Dom kuna yoyote ambaye bado anaamini Rais ajaye atatoka UKAWA? Endapo CCM watakuwa kitu kimoja baada ya mchakato huu naamini bado wana nafasi kubwa ya kutoa Rais ajaye. My opinion.

Jiulize hilo, hii ina maana moja tu, wote pamoja na mapenzi yetu lakini tunatambua ukweli huu kuwa Rais atatoka hapo Dodoma kwenye mchakato huu.
 
Leo hii CCM itarudisha heshima kwa kukata mafisadi na kusafisha chama, nguvu ya pesa si kila kitu!!
 
Hadi sasa jibu halijapatilana baada ya ubishani mkali ndani ya MCC,kikao kilichoishia saa tisa jana usiku kilikuwa kinamuomba EL awe makamu wa president ili Augustino Mwezi huu awe Rais
Hongera Lowasa

haa haa toka ugombea urais mpaka umakamu wa rais duh. kwani makamu wa rais anachukuliwa yeyote yule bila kuangalia sifa?
 
Ila chief Iyo account ya Instagram Nina mashaka nayo....

Ni kweli, hailekei kuwa yake. Ni mbinu za wapinzani wake kama zilivyo za kwake. La msingi EL OUT!

Sasa mchakato na uanze. Labda aende kwa Zitto lakini atakuwa na wasiwasi.
 
UKAWA wanakesha kufuatilia mchakato wa CCM wamesahau kabisa kama kwao wana mgombea urais.

Ritz pamoja na ubishi humu ndani,lakin kila mmoja hapa anajua Rais anatoka CCM ndio maana wote tupo hapa, na usidhani ni wapenzi tu, ata Dr Slaa hawezi kulala mpaka ajue Dodoma kumeendaje.
 
Jamani utabiri wa Maalim Hassan Hussein Yahaya, unatimia. Kuwa Rais atakuwa na mchanganyiko wa dini mbili. Had wakati huu nasema kwa herufi kubwa JAJI OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.

huyo atachaguliwa zanzibar na umagambani. hatuwezi chagua rais wa tanganyika toka nchi jirani kamwe.
 

Wewe muongo hauko kwenye kamati wala nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…