logician mkuu
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 792
- 221
Wapo ACT Tanzania mkuu.Waislam wapo Chadema.
teh teh teh
Cha kufurahisha zaidi UKAWA ndiyo wamejaa kwenye huu uzi kufuatilia mgombea wa CCM.
UKAWA wanakesha kufuatilia mchakato wa CCM wamesahau kabisa kama kwao wana mgombea urais.
Duuh hivi kwa attention yote hii kwa wa Tz kinachojili huko Dom kuna yoyote ambaye bado anaamini Rais ajaye atatoka UKAWA? Endapo CCM watakuwa kitu kimoja baada ya mchakato huu naamini bado wana nafasi kubwa ya kutoa Rais ajaye. My opinion.
Elyson umenene dawa ni kuwapiga chini magamba tusiumize vichwa
Waiting for the ccm drop-outs
Hadi sasa jibu halijapatilana baada ya ubishani mkali ndani ya MCC,kikao kilichoishia saa tisa jana usiku kilikuwa kinamuomba EL awe makamu wa president ili Augustino Mwezi huu awe Rais
Hongera Lowasa
Na iwe kweli. Lowassa for President is the biggest joke ever!
yani watu wte macho dodoma
mpaka wapinzani wa ccm nao wanaifatilia
Ila chief Iyo account ya Instagram Nina mashaka nayo....
UKAWA wanakesha kufuatilia mchakato wa CCM wamesahau kabisa kama kwao wana mgombea urais.
Wanataka kutumia madhaifu yenu positively!
Jamani utabiri wa Maalim Hassan Hussein Yahaya, unatimia. Kuwa Rais atakuwa na mchanganyiko wa dini mbili. Had wakati huu nasema kwa herufi kubwa JAJI OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.
Watu wamejivika kofia wasizo ziweza yaani fujo tu
Wakuu habari,
Ntakua nawaletea Update ya kile kinachojiri kwenye Vikao vya CCM vinavyoendelea Dodoma. Ntahakikisha kila kitu naweka hapa.
Karibuni sana.
===================
Updates;
1. Update;
Sasa mchakato unaanza rasmi, Wajumbe kamati ya Maadili wanaingia Ukumbini, CC itafuata, haijajulikana kama na NEC itafanyika leo, itategemea na muda utakao tumika na vikao viwili hivyo.
2.Update
Rais Kikwete ameingia Ukumbini muda huu
3. Update
Kikao cha Usalama na maadili kinaendelea. Hiki hata kikiisha hakina briefing. kama kawaida, Ulinzi umeimarishwa na state
4.Update
Wakuu Kuweka Updates sio lahisi kama mnavyodhani sababu ulinzi ni mkali na hakuna aliyeruhusiwa kuingia na simu. Kumbuka hii ni kamati ya maadili, hivyo kuweni wavumilivu. Kikao kinaendelea.
5.Update 14:46
Kamati ya maadili imemaliza kazi yake, sasa ni zamu ya CC kuingia, lakini Rais Kikwete katoka, Kikao kitaanza akirudi.
6. Update 16:00
Wajumbe wa CC ndo wameingia sasa hivi, watapewa majina matano na kamati ya maadili ya Wagombea urais.
7.Update 16:55
Team inayomuunga mkono Edward Lowassa zaidi ya watu 200, wamekutana mchana huu Katika Ukumbi wa St. Gasper, kuweka msimamo iwapo huyo wanayemtaka hatakuwemo kwenye Top 5 ya Wagombea waliopitishwa na kamati ya maadili.
lowasa kapita kwa habari nilizo nazo