chadema Kuwa wabadhirifu kama ni kweli hayo ni matokeo ya Kuwa na serikali mbovu ambayo magufuli muda wote alikuwa waziri.Je alijiuzia au aliwauzia wananchi wa tanzania?? bado hili haliwezi kumfanya awe na doa kama ilivyokuwa kwa lowassa au chadema na ubadhilifu wa mali za chama