Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Je alijiuzia au aliwauzia wananchi wa tanzania?? bado hili haliwezi kumfanya awe na doa kama ilivyokuwa kwa lowassa au chadema na ubadhilifu wa mali za chama
chadema Kuwa wabadhirifu kama ni kweli hayo ni matokeo ya Kuwa na serikali mbovu ambayo magufuli muda wote alikuwa waziri.
 
Hakuna kiongozi yeyote kutoka ccm awe mwanamke AU mwanamme atakayekuja kuleta nafuu ya maisha kwa mtanzania pasi kufuata taratibu na muongozo ambao uletwa mbele yako kabla ya kuapishwa, ili ukubali na kuweka nadhiri.
...........Nafuu apate mwanamke, wanaume wameshashindwa kuendeleza hii nchi.
 
Kuna mtu kakwambia haya mambo huyajui unajua tu diamond na alikiba, sasa nakubaliana nae, hujui chochote hapa, nenda celebrity ndio saizi yako mambo ya umbea,sio hapa maana unaandika usichokijua, nani msafi?

hahahaha mlimtaka lowassa ila mnapoamkia ndio chama kilipolalia. kidumu chama cha mapinduzi
 
Kama tatu bora bro hyo....naiona tanzania nyingine kabisa...nitarudi kuilezea tanzania niionayo baada ya confirmation ya top 3 ya ccm 2015
 
Naona Team Lowassa Wameamua Kufa na Membe bora yeyote apite na si Membe!
 
Hawawezi kupitisha wanawake wawili kuwa mgombea rais na mgombea mwenza. Coz yule wa zenji tayari ashakwaa ugombea mwenza. Na kwa jinsi kiktwete alivyovurugana na wakristo hawawezi kuleta muislamu tena kututawala. So magufuli ana mwanya mzuri wa kupita. Na mama migiro ni kipenzi cha mkwere so watu wa lowassa hawawezi kumpa kura wako radhi wampe mama mzenji au magufuli kuliko asha..................................mwisho wa yote bi.kiroboto ameshaharibu sifa za wanawake kuongoza so asha nae ni walewale

Kura zinzpigwa na watu wa el ndio maana unaona matokeo hayo membe kachapwa na makamba sasa wanaenda kumchapa migiro na magufuli ili abaki amina na kuwakomoa jamaa waliomkata .labda mikakati ya goli la mkono ije kuharibu lakini tim el inataka kushangaza watu sio kujenga utamsikia magufuli chali
 
I smell something fishy! Hivi Migiro si amewahi kuwa kiongozi wa kimataifa?ni mwanamke na pia ni international figure! Well..well..well, , tulishatahadharishwa humu kuwa care na hawa watu wa kimataifa, some big fishes are behind them...mnamtaja Magufuli but...but..I smell sonething..

na kama "I smell SONETHING" ni tusi, mwenyeweee
 
Back
Top Bottom