Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

Je alijiuzia au aliwauzia wananchi wa tanzania?? bado hili haliwezi kumfanya awe na doa kama ilivyokuwa kwa lowassa au chadema na ubadhilifu wa mali za chama
chadema Kuwa wabadhirifu kama ni kweli hayo ni matokeo ya Kuwa na serikali mbovu ambayo magufuli muda wote alikuwa waziri.
 
magufuri alisimamia kwa ukamilifu mnada wa nyumba za serikali na hiyo kitu itamtafuna hadi kaburini , kumbuka hili ni kati ya mambo mabaya kabisa kuwahi kufanywa na viongozi katika nchi hii .

hahaha hizo nyumba alijiuzia???
 
Hakuna kiongozi yeyote kutoka ccm awe mwanamke AU mwanamme atakayekuja kuleta nafuu ya maisha kwa mtanzania pasi kufuata taratibu na muongozo ambao uletwa mbele yako kabla ya kuapishwa, ili ukubali na kuweka nadhiri.
...........Nafuu apate mwanamke, wanaume wameshashindwa kuendeleza hii nchi.
 
Kuna mtu kakwambia haya mambo huyajui unajua tu diamond na alikiba, sasa nakubaliana nae, hujui chochote hapa, nenda celebrity ndio saizi yako mambo ya umbea,sio hapa maana unaandika usichokijua, nani msafi?

hahahaha mlimtaka lowassa ila mnapoamkia ndio chama kilipolalia. kidumu chama cha mapinduzi
 
Kama tatu bora bro hyo....naiona tanzania nyingine kabisa...nitarudi kuilezea tanzania niionayo baada ya confirmation ya top 3 ya ccm 2015
 
Naona Team Lowassa Wameamua Kufa na Membe bora yeyote apite na si Membe!
 

Kura zinzpigwa na watu wa el ndio maana unaona matokeo hayo membe kachapwa na makamba sasa wanaenda kumchapa migiro na magufuli ili abaki amina na kuwakomoa jamaa waliomkata .labda mikakati ya goli la mkono ije kuharibu lakini tim el inataka kushangaza watu sio kujenga utamsikia magufuli chali
 

na kama "I smell SONETHING" ni tusi, mwenyeweee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…