Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

umenena mkuu chama kikongwe kama hiki ili kianguke ni lazima wakologane ila bado uwezo wa kutengeneza unafki bado wanao ,yaani ule unafki wa kusifiana kwenye majukwaa
Nchimbi , sophia na kimbisa warudishe pesa za fisadi la sivyo ......
 

ni watu wajinga,wapumbavu na washenzi ambao wanaweza kuwaonea akina kingunge na lowasa HURUMA kwa sababu wote ni wana ccm ambao wameshiriki katika kuvunja sheria za nchi na katiba.

watu wa mashirika binahsi,NGO,na vyama vya upinzani wamekuwa wakilalamika juu ya huu uhuni wa kutofuata sheria na taratibu za nchi LAKINI akina kingunge,nchimbi,kimbisa na msindai, na wengineo wengi wamekuwa wakiunga mkono upumbavu wa aina hii

Ni kwa nini kingunge na wenzake hawajawahi kutoka hadhalani na kupinga kwa mfano ushenzi unaofanywa bungeni? au ni kwa vile maslahi yao yameingiliwa ndio maana leo wamekuwa wapinzani?

bunge la katiba walipindisha kanuni za bunge,miswada ya gesi na mafuta, na mikataba mingi iliyo iingiza nchi katika umaskini ilipitishwa na akina kingunge ,lowasa and company.

LOWASA +KINGUNGE+MGEJA,NCHIMBI SOFIA mkae mkijua kwamba ukisikia jilani yako ameingiliwa na vibaka ukakaa kimya ukidhani ni yeye tu aliumbwa kuingiliwa na vibaka ujua zamu inayokuja ni kwako.

Na hii ni PICHA kamili ya jinsi ccm inavyoendesha hii nchi ujanja ujanja

kazi kwenu maana mirija ya maziwa imekatwa
 
naona muhindi na team nan c walikutana hapo jana
 
Mimi ningekuwa Lowasa, huu ni wakati mwafaka wa kulipiza kisasi. Nitafanya hivyo kwa kuhamia chama kingine. Sijui kama anajitambua kwamba ana majority ya kura ukilinganisha na hao vilaza waliobaki. Ahamie chama kingine kukimaliza chama kilichomaliza ndoto yake aliyoishi nayo au niseme malengo yake ya kisiasa yameyeyuka. Alijiudhuru uwaziri mkuu kumstahi mshikaji wake mnafiki. Hadi mtoto wa huyo mnafiki anafanya party ndani ya mfungo.
Lowasa, CCM si mamako, babako,mwanao au nduguyo wa damu. Wengi wamefaidi fadhila zako na wema wako lakini sasa wewe ni fisadi. Toka CCM, watanzania kwanza hawakitaki chama hiki!
 
Ni magufuri migilo name Amina Salem eee mungu mbariki john pombe magufuri aipeperushe bend era ya ccm
 
Magufuri ataitaji nguvu bungeni ili serikali ipelekwe puta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…