UKAWA hawana uwezo wakuliangusha jembe magufuli!
bora apite magufuli afadhari roho itatulia manake hii nchi ilipofika inatakiwa kupelekwa kibabe
Tanganyika iwe na rais mwanamke mzanzibari!?
Yes Pombe John.Magufuli?
UKAWA hawana uwezo wakuliangusha jembe magufuli!
watakuwa wehu,kwani ccm ikishindwa si ina maana nawao wanapoteza?.
For what you have said I do concur with you my GREAT THINKER!